MKUTANO WA MAWAZIRI WA SEKTA MALIASILI,MAZINGIRA WA JUMUIYA AFRIKA YA...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba wakati wa mkutano wa tano wa Baraza la...
View ArticleMBIVU NA MBICHI KWA WANYOGE WA RC MAKONDA KUFAHAMIKA KESHO.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawaalika Wananchi wote waliofika kwenye Wiki ya Sheria na kusikilizwa Kero na malalamiko yao na jopo la Wanasheria kufika ukumbi wa Diamond Jubilee...
View ArticleAKIBA YA FEDHA ZA KIGENI YAONGEZEKA-MAJALIWA
*Asema rekodi hiyo haijawahi kufikiwa kwa miaka minneWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema akiba ya fedha za kigeni imeongezeka na kufikia dola za Marekani bilioni 5.91 kiwango ambacho hakijawahi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOANI IRINGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo ameanza ziara ya siku nne mkoani Iringa ikiwa na lengo la kuhamasisha shughuli mbalimbali za maendeleo na kuzindua mradi...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AWAANDALIA SHEREHE YA MWAKA MPYA MABALOZI WANAOWAKILISHA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kuwakaribisha Mabalozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni Februari 9, 2018 kabla ya kuanza kwa hafla ya...
View ArticleDUKA LA VIFAA VYA UJENZI LAFUNGULIWA JIJINI DAR ES SALAAM.
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKAMPUNI ya Kimataifa ya Kohler ya bidhaa bora za ujenzi imefungua duka la kusambaza bidhaa zake katika Kampuni ya ABC Emproria jijini Dar es Salaam.Akizungumza na...
View ArticleTUME ya Uchaguzi yavikumbusha vyama vya siasa kwasilisha orodha ya mawakala wao
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevikumbusha vyama vya siasa ambavyo vimesimamisha wagombea ubunge na udiwani katika majimbo mawili na kata tisa kuwa kesho (Februari 10) ndio siku ya mwisho ya...
View ArticleKUKAMILIKA UWANJA WA NDEGE CHATO KUTAFUNGUA FURSA ZA UTALII GEITA
Na Joel Maduka-ChatoKukamilika kwa ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege wilayani Chato mkoani Geita unatarajia kuwavutia watalii wengi kutembelea kivutio cha hifadhi ya Taifa cha Rubondo Kilichopo mkoani...
View ArticleWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MWENYEKITI WA CWT SINGIDA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtembelea na kumpa pole Mwenyekiti wa Chama Cha Walimu (CWT) mkoa wa Singida Mwalimu Aron Jumbe aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).Akiwa...
View Article
More Pages to Explore .....