SERIKALI KUBORESHA MAFUNZO KWA WATU WENYE ULEMAVU
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMASerikali kwa kushirikiana na wadau imeendelea kuboresha Vyuo vya Mafunzo ya Ufundi vya Watu wenye Ulemavu ili kuwawezesha kuajiriwa na kujiajiri na kupata ujuzi...
View ArticleWAZIRI MKUU USO KWA USO NA WADAU WA PAMBA JIJIN MWANZA
WAZIRI Mkuu Kassimu Majaliwa, ameitisha kikao cha wadau wa pamba nchini, ili kujadili namna bora ya kuongeza tija ya zao hilo.Kikao hicho kitakachofanyika jijini Mwanza Februari 15 hadi 16, 2018,...
View ArticleZIMAMOTO YAJIWEKA TAYARI KWA MAOKOZI MAJINI
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye katika picha ya pamoja na Kikosi cha Maokozi cha Jeshi hilo, wakati alipotembelea Kikosi hicho kilipokuwa kikionesha zoezi la...
View ArticleTIBA MTANDAO KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI
Serikali imejipanga kutumia tiba mtandao kuboresha huduma za afya nchini kwenye hospitali zote za ngazi ya taifa, rufaa na wilaya ili kuwawezesha wagonjwa waishio sehemu mbali mbali nchini kupata...
View ArticleRAIS MAGUFULI AONGOZA MAZIKO YA MZEE KINGUNGE NGOMBALE MWIRU MAKABURI YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Marehemu Mzee Kingunge Ngombale Mwiru katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Rais wa...
View ArticleKishapu yafikia lengo upigaji chapa ng’ombe
Na Robert Hokororo- Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya wilaya ya Kishapu imeweza kupiga chapa jumla ya ng’ombe 225,131 katika zoezi la utambuzi na usajili wa mifugo linalofanyika katika kata zote zenye...
View ArticleJaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu aongea na wanahabari
Na Ali Issa - MAELEZO Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu amesema uwendeshaji wa kesi kwa mwaka uliomaliza haukuwa mbaya na kwamba kiasi Idara ya Mahakama imefanikiwa katika utekeleza wa...
View ArticleKENYA – A Country At Economic and Political Crossroads by ZURIEL ODUWOLE: The...
Believing that the best way to change the negative perception on Africa is to show investors potential partners on the continent, Film Maker Zuriel Oduwole has continued her series, focusing on the...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA UTAFITI WA MAPATO,MATUMIZI KWA...
Na,Consolata Evarist,GeitaWananchi Mkoa wa Geita wametakiwa kutoa ushirikiano kwenye zoezi la utafiti wa mapato na matumizi kwenye Kaya binafsi ili kutoa takwimu za hali ya umasikini zitakazosaidia...
View ArticleUjumbe Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Lesotho Wakutana na Naibu Waziri Kwandikwa
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa (kushoto) akizungumza katika kikao cha kubadilishana uzoefu kati ya wajumbe wa nchi ya Lesotho na Tanzania. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi...
View ArticleKUMBUKUMBU YA MAMA OMWANA THERESIA NYAMICHWO RUTAGERUKA
TAREHE 6 – FEBRUARI 2018, UMETIMIZA MIAKA 24 TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA. TUNAADHIMISHA KUMBUKUMBU HII TUKIOMBA...
View Articlewanahabari wapewa somo USIMAMIZI WA MABENKI NA TAASISI ZA FEDHA mkoani Mtwara
Meneja Usimamizi wa Mabenki (BOT), Eliamringi Mandari akiwasilisha mada ya Usimamizi wa shughuli za Mabenki na Taasisi za Fedha katika semina ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali...
View ArticleSERIKALI YATOA SIKU SABA WANANCHI WALIOVAMIA JUMUIYA HIFADHI WANYAMAPORI YA...
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na wa TAMISEMI imetoa siku saba kwa wananchi waliovamia kwa kuendesha maisha yao na kufanya shughuli za kilimo pamoja na kulisha mifugo ndani ya...
View ArticleVILABU VITATU VYA MICHEZO VYAPONGEZWA KWA KUPANDA DARAJA
Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kinazipongeza timu za JKT Tanzania, KMC na African Lyon kwa kufanikiwa kuwa miongoni mwa timu sita zilizopanda ligi kuu daraja (VODACOM Premier...
View ArticleCCM LUSHOTO YATOA MSAADA KITUO CHA KULELEA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU...
Katika kusherehekea miaka 41 ya CCM , Katibu wa CCM wilaya ya Lushoto Ramadhani Mahanyu ameongozana na wanachama wa CCM wengine kutembelea kituo cha kulelea watoto yatima cha Irente na kuwakabidhi...
View Article
More Pages to Explore .....