RAIS MAGUFULI AHUDHURIA KUSIMIKWA KWA ASKOFU MKUU WA TANO WA KANISA LA...
Askofu wa Tano wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Mteule Mch. Can. Jackson Sosthenes Jackson akiweka sahihi hati ya kiapo baada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi...
View ArticleTUME YA UCHAGUZI (NEC) YAJIBU UPOTOSHWAJI WA CHADEMA KUHUSU KUHAMISHA VITUO...
Hussein Makame, NECTume ya Taifa ya Uchaguzi imesema uamuzi wa kuhamisha vituo 46 vya kupigia kura katika jimbo la Kinondoni umezingatia matakwa ya kanuni za Uchaguzi kwa kuvishirikisha vyama vyote vya...
View ArticleRasimu ya Katiba Mchezo wa Ngumi ya kabidhiwa kwa Waziri Mwakyembe
Na Anitha Jonas – WHUSM-Dar es SalaamWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ameipongeza Kamati iliyoandaa rasimu ya katiba ya mchezo wa ngumi nchini kwa kumaliza kazi hiyo...
View ArticleWANA CCM MUHEZA WAADHIMISHA MIAKA 41 KUSHRIKI MSARAGAMBO UJENZI WA HOSPITALI
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kulia akiwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Desderia Haule kushoto wakishirikiana na wananchi na wanachama wa chama hicho kushiriki msaragambo wa ujenzi wa...
View ArticleWANANCHI BOMBABILI WAPEWA SOMO UPIMAJI WA ARDHI
Na David John WANANCHI wa mtaa wa Bombambili Kata ya Kivule wamepewa somo kuhusu suala zima la upimaji wa ardhi, huku wakielezwa umuhimu wa kurasimisha ardhi yao kwa lengo la kuzifikia huduma...
View ArticleWilaya Tano Zitakazofanya Vizuri Ujenzi wa Vituo vya Afya Kupata Vyeti.
Na: Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amesema wilaya tano zitakazofanya vizuri katika ujenzi wa vituo vya afya...
View ArticleWAZIRI MAHIGA AHITIMISHA ZIARA NCHINI KOREA KUSINI, AAHIDI USHIRIKIANO WENYE...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga ameahidi kusimamia uimarishwaji wa uhusiano wa kiuchumi na biashara kati ya Tanzania na Korea Kusini ili wananchi...
View ArticleTATUMZUKA YACHANGIA VIFAA VYA SHULE NA MATANKI YA MAJI WILAYA YA UBUNGO.
Katibu Tawala wilaya ya Ubungo ,James Mkumbo akizungumza na Waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuhusu wilaya hiyo kupokea msaada wa baadhi ya vifaa Vya shule,kama vile Madawati 25,Vitabu 131 pamoja...
View Articletaarifa ya maadhimisho ya 19 kumbukizi ya prof Kairuki
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Herbert Kairuki Memorial, Prof. Chales Mgone akiongea na waandishi wa habari kwenye mkutano nao uliohusu maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwasisi na Mmiliki wa Shirika la...
View ArticleMAADHIMISHO YA 19 YA KUMBIKIZI YA PROF. HUBERT KAIRUKI
Marehemu Prof. Hubert Clemence Mwombeki Kairuki na mkewe Mama Kushubila Kairuki; mwanzilishi mwenza wa Shirika la Afya na Elimu la Kairuki (KHEN)Utangulizi: Hospital ya Kairuki (KH), Shule ya Uuguzi...
View ArticleWAZIRI MKUU KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA MCHANA NA WATU WENYE ULEMAVU
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, katika hafla ya chakula cha mchana kwa ajili ya watu wenye ulemavu, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond...
View ArticleCCM PWANI YAPOKEA WAPINZANI 31,WANACHAMA WAPYA 331 RUFIJI NA MKURANGA
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniVIGOGO 27 kutoka chama cha wananchi (CUF) na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)waliotikisa uchaguzi mkuu 2015,maeneo mbalimbali wilayani Rufiji Mkoani Pwani ,wamevihama...
View Article
More Pages to Explore .....