Awamu ya pili Zabuni mradi wa Ujenzi Bwawa la Kuzalisha Umeme teigler's Gorge...
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam.Zabuni kwa ajili ya mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme wa Megawati 2100 la Steigler's Gorge katika Maporomoko ya Maji ya Mto Rufiji zimefunguliwa leo tarehe...
View ArticleUGENI MAHAKAMA YA JUU NCHINI GUATEMALA WAKUTANA NA JAJI MKUU WA TANZANIA
Na Mary GweraKatika mwendelezo wa Utekelezaji wa Mpango Mkakati wake wa miaka mitano (5) (2015/2016-2019/2020), Mahakama ya Tanzania inaendelea na jitihada za kupata uzoefu na ujuzi kutoka katika...
View ArticleMWANANCHI MWENYE ULEMAVU YUSUF ABDULRAHMAN NDEMANGA AKABIDHIWA BAJAJI...
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Bw. Gerson Msigwa wakimwongoza mlemavu wa maungo Bw. Yusuf Abdulrahman Ndemanga kwenye Bajaji ambayo aliahidiwa na Rais Dkt...
View ArticleTUSIIME YATESA TENA KIDATO CHA NNE
Shule ya Tusiime imeendelea kufanya vizuri katika matokeo ya kitaifa ya kidato cha nne kwa kufaulisha asilimia 100 ya watahiniwa wake wote 303.Kwenye matokeo yaliyotangazwa jana na Baraza la Taifa la...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AWAPA POLE FAMILIA YA RUBANI WA SERIKALI KAPTENI BOMANI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amehudhuria msiba wa Rubani wa Ndege za Serikali, Marehemu Kapteni Dominic Bomani aliyefariki jana kwa ajali ya ndege...
View ArticleAZAM FC YAANZA TAMBO KUELEKEA MCHEZO DHIDI YA NDANDA
Na Agness Francis, Globu ya Jamii MABINGWA wa Afrika Mashariki na Kati Azam Fc wanatarajia kushuka dimbani kesho kuumana na Wanakuchere NdandaFc katika mchezo wao wa marudiao raundi ya pili, Ligi kuu...
View ArticleBALOZI MWAPACHU AMLILIA KINGUNGE KWA UJUMBE MZITO
Na Balozi Juma MwapachuBALOZI Juma Mwapachu ameamua kuandika tanzia ambayo ameamua kumuelezea mwanasia mkongwe na maarufu nchini Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ambaye amefariki dunia leo.Amemuelezea kwa...
View ArticleMATOKEO YA LIGI DARAJA LA KWANZA LEO
FDL KUNDI BMawenzi-0 Vs Coast-2Mufindi-1 Vs Polisi Tz-2Mbeya Kwanza-3 Vs Polisi Dar-1JKT Mlale-0 Vs KMC-1MSIMAMO1) KMC-282) Coast-263) Jkt Mlale-254) Polisi Tz-245) Mbeya Kwanza-226) Mufindi-137)...
View ArticleShilingi milioni 208 zanufaisha kaya maskini TASAF Kishapu
Na Robert Hokororo, Ofisi ya Mkurugenzi.Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imetoa sh. milioni 208.5 kwa ajili ya kuwezesha kaya maskini katika kipindi cha...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA: MUSWADA SHERIA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII KUNUFAISHA WATUMISHI...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amesema kupitishwa kwa muswada wa Sheria ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...
View ArticleTRA YAZIFUNGIA HOTEL TATU IKIWEMO NAFF HOTEL NA KITUO CHA MAFUTA MKOANI MTWARA
Mamlaka ya mapato mkoani Mtwara (TRA) imezifungia hotel tatu mkoani humo pamoja na kituo cha kuuza mafuta kwa kushindwa kulipa kodi ya malimbukizo ya madeni.Hotel zilizofungiwa ni Naff Beach, Naf blue,...
View ArticleRC MTAKA AHIDIWA USHIRIKIANO NA BALOZI WA IRELAND,INDONESI NCHINI TANZANIA
Na Mathias CanalBalozi wa Ireland nchini Tanzania H.E Ambassador Paul Sherlock amemuahidi Mkuu wa Mkoa wa simiyu Mhe Antony Mtaka kuendeleza ushirikiano na Mkoa wa Simiyu ili kuboresha sekta ya Afya...
View ArticleMKURUGENZI MANISPAA YA DODOMA GODWIN KUNAMBI AKABIDHI VITAMBULISHO KWA...
Na Ramadhani Juma-Ofisi ya MkurugenziMKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi amekabidhi vitambulisho kwa Wafanyabiashara ndogo maarufu kama m Machinga wanaofanya shughuli zao...
View ArticleMBUNGE MGIMWA AFANIKISHA MASOMO KWA MTOTO MLEMAVU
Na Fredy Mgunda, IringaMBUNGE wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mahamud Mgimwa amemwokoa mtoto wa kike ambaye ni mlemavu wa viungo kwa kumpeleka shule baada ya wazazi wake kushindwa gharama za...
View ArticleDKT MWIGULU AZINDUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WANANCHI KUPATA VITAMBULISHO VYA...
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dkt. Mwigulu Nchemba akizindua zoezi la uandikishaji wa wananchi kupata kitambulisho cha uraia mkoani Tabora kushoto kwake ni kaimu mkurugenzi mkuu wa NIDA Andrew...
View ArticleMKUCHIKA AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNICEF NCHINI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Mwakilishi wa UNICEF nchini Bi. Maniza Zaman alipomtembelea...
View ArticleTAA Yakabidhi Gari Kituo Cha Zimamoto
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) jana imekabidhi gari aina Toyota Hilux kwa Idara ya Zimamoto na Uokoaji ya Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), ili kuchocheo ufanisi...
View Article
More Pages to Explore .....