RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA PASIPOTI MPYA YA TANZANIA YA KIELEKTRONIKIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 31 Januari, 2018 amezindua mfumo wa uhamiaji mtandao (e-Immigration) ambao utasaidia kuimarisha ulinzi na usalama wa...
View ArticleMKUNGU WA NDIZI TUNAUZA 15000/- SOKO LA MABIBO-WAFANYABISHARA
Na Neemalisa Nambeye, Globu ya JamiiWAFANYABISHARA wa ndizi katika soko la Mahakama ya Ndizi lililopo Mabibo jijini Dar es Salaam wamesema kuwa katika soko hilo bei ya mkungu mmoja wa ndizi wanauza...
View ArticleWAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AHIMIZA MAHAKAMA KUTENDA HAKI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi ameitaka Mahakama kutenda Haki bila kufungwa na masharti ya kiufundi yanayoweza kukwamisha Haki kutendeka.Pia...
View ArticleNHIF YATOA USHAURI KWA WANANCHI, YAPOKEA MALALAMIKO
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeshiriki katika Wiki ya Sheria kwa kutoa ushauri na kupokea malalamiko mbalimbali kutoka kwa wananchi waliofika kutembelea...
View ArticleKAMATI YA MAADILI TFF YAMUADHIBU MJUMBE BODI YA LIGI
Na Agness Francis Globu ya jamii.KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) imemfungulia mashitaka Mwenyekiti wa Abajalo FC na Mjumbe wa Bodi ya Ligi Edgar Chibula kwa tuhuma ya...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MSANII MKONGWE KING MAJUTO HOSPITALINI DAR ES...
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimjulia hali msanii mkongwe Amri Athumani maarufu kama King Majuto aliyelazwa katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam leo Januari 31, 2018 Rais wa Jamhuri...
View ArticleVIGOGO TFF KUHUDHURIA MKUTANO MKUU CAF
Na Agness Francis, Globu ya Jamii VIONGOZI wa tatu wa ngazi za juu katika Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) wanatarajia kuhudhuria mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani...
View ArticleKING MAJUTO AUZUNGUMZIA UONGOZI WA RAIS MAGUFULI
*Amwambia alikuwa wa kwanza kumtabiria atakuwa Rais *Amsifu misimamo yake, namna alivyorudisha nidhamu ya kaziNa Ripota Wetu, Globu ya jamiiGWIJI wa maigizo nchini Amri Athuman a.k.a Mzee Majuto,...
View ArticleCCM KIBAHA MJINI YAKAMIA KUUZIKA UPINZANI UCHAGUZI 2019/2020
Na Mwamvua Mwinyi,KibahaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mjini Kibaha, Mkoani Pwani ,Maulid Bundala amezitaka jumuiya zote za CCM na chama kijumla ziungane kuendelea kuisemea serikali na...
View ArticleWafanyakazi JKC Wapewa Mafunzo na kampuni ya Medtronic ya Mfumo wa Umeme wa...
Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwtete (JKCI) Peter Kisenge na Prof. Ahmed Osman wa Broward General Medical Centre ya nchini Marekani wakimfanyia mgonjwa upasuaji...
View ArticleSERIKALI KUZIFIKIA KAYA ZOTE MASIKINI NCHINI
Serikali imepanga kuimarisha Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini ambao umo ndani ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ili kuzifikia kaya zote masikini nchini.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya...
View ArticleMajaliwa arejea kutoka kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim, kwenye Hoteli ya Radisson Blue, mjini Addis Ababa, wakati akiondoka kurejea Dar es salaam, kushoto ni Mke wa Salim Ahmed...
View ArticleBan Ki-moon ashiriki ufunguzi wa Ubalozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini
Mheshimiwa Matilda Masuka Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea akiwakaribisha na kuwashukuru wageni waalikwa waliohudhuria kwa wingi kwenye ufunguzi rasmi wa Ofisi za...
View Article
More Pages to Explore .....