DKT.MABODI AMTUMIA SALAMU ZA RAMBI RAMBI DKT.MAGUFULI
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla ‘Mabodi’ ametuma salamu za rambi rambi kwa familia ya mtumishi wa Chama hicho Zanzibar Marehemu Bi. Nakia Khamis...
View ArticleSHIRIKA LA CSI LAPANIA KUOKOA MAISHA YA MAMA MJAMZITO
*Mkurugenzi aelezea namna wanavyotoa elimu ya kuokoa maisha ya mama mjamzito*Wapania kumfanya mwanamke mjamzito kuwa malkia, mwanamke shujaa na mwenye thamani *Aprili 6 mwaka huu Rais Mstaafu ,...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA UJUMBE WA RAIS KAGAME, AMUAGA BALOZI WA ZIMBABWE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Dkt Donald Kaberuka, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame (kushoto kwa Rais), katika mazungumzo...
View ArticleRWEGASIRA AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA ASKARI MAGEREZA UKONGA, JIJINI DAR ES...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Mstaafu, Projest Rwegasira (wapili kushoto) akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Askari Magereza, Mhandisi Khadija Salum,...
View ArticleMKOA KASKAZINI PEMBA WENYEJI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI...
Katibu Tawala Mkoa Kaskazini Pemba Ahmed Khalid Abdalla akiwakaribisha wageni katika Mkutano wa kujadili madhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani yanayotarajiwa kufanyika katika Mkoa huo.Mkuu wa Mkoa...
View ArticleDC MJEMA AKAGUA UKARABATI SEKONDARI YA JANGWANI, AZANIA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMKUU wa Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, Sophia Mjema amefanya ziara ya kukagua ukarabati wa majengo unaofanyika kwenye Sekondari ya Wasichana Jangwani na Sekondari ya...
View ArticleSERIKALI YASITISHA SHUGHULI ZA WAKALA BINAFSI WA HUDUMA ZA AJIRA WALIOKIUKA...
Serikali yasitisha Shughuli za Kampuni Tatu (3) za Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira hapa Nchini kutokana na kukiuka matakwa ya sheria ya Huduma za Ajira Na.9 ya mwaka 1999 na Kanuni zake.Akitoa tamko...
View ArticleWataalamu Ujenzi,Uchukuzi SMT na SMZ wakutana kuboresha sekta hiyo
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Bi. Elizabeth Tagora akifungua rasmi kikao cha ushirikiano na uboreshaji masuala ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi...
View ArticleMAVUNDE,NDEJEMBI WAZINDUA KAMPENI UPANDAJI MITI KONGWA
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Anthony Mavunde leo amezindua kampeni ya upandaji miti milioni moja katika kijiji cha Ibwagwa,Wilayani Kongwa Dodoma ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya...
View ArticleZIDANE AKALIA 'KUTI KAVU' REAL MADRID
Na Agnes Francis, Globu ya JamiiKOCHA Mkuu wa kikosi cha Real Madrid, Zinedine Zidane ameendelea kusakamwa na matokeo mabaya anayoyapata baada ya jana kuondolewa kwa jumla ya mabao 2-2 dhidi ya...
View ArticleDK. KIGWANGALLA ATAJA ORODHA WATUHUMIWA UJANGILI LEO MJINI DODOMA
Na Hamza Temba - DodomaWaziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla leo Januari 25, 2018 mjini Dodoma ametaja majina ya watuhumiwa wa ujangili ambao wengi wao ni wamiliki na washirika wa...
View ArticleDC MJEMA AWAKUMBUSHA WAZAZI UMUHIMU WA KUWATUNZA WATOTO WA KIUME
Mkuu wa Wilaya Ilala,Sophia Mjema akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Muhimbili wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Tumkumbuke Mtoto wa kiume, inayoendeshwa na Tasisi ya Dahuu Foundation...
View ArticleWAMILIKI NYUMBA 59 KIPUNGUNI A WAPEWA SIKU SABA WAHAME
JOPO la maofisa wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA), limefanya utambuzi wa nyumba 59 zilizopo eneo la Kipunguni A, jijini Dar es Salaam na kutoa notisi ya siku saba kwa wakazi wake...
View ArticleMHALIFU ATAINGIA DAR AKIWA SALAMA LAKINI HATATOKA SALAMA-MAMBOSASA
*Asema wamedhibiti uhalifu, azungumzia Panya road Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiKAMANDA wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema iwapo kuna mhalifu yoyote na wa kutoka sehemu yoyote...
View Articlemvua iliyoambatana na upepo yaezua paa za nyumba 30 tanganyika mkoani Katavi
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika,Salehe Muhando (Mwenye miwani pichani juu na chini) akikagua athari ya Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha jana na kusababisha kuezua mapaa ya nyumba 30 na...
View ArticleWanafunzi saba wafanya mtihani na kufaulu kupandishwa madaraja ya mkanda...
Na Sultani Kipingo wa Globu ya JamiiWanafunzi waandamizi saba wa shule za Karate (dojo) mtindo wa Okinawa Goju Ryu za Kaizen na Hekalu la Kujilinda za jijini Dar es salaam na Dodoma wamefanya...
View Article