WATANZANIA TISA KUCHEZESHA NA KUSIMAMIA LIGI YAMABINGWA NA KOMBE LA...
Waamuzi nane kutoka Tanzania wameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF kuchezesha mechi za Ligi ya Mabingwa Africa na Kombe la Shirikisho.Waamuzi wanne wameteuliwa kuchezesha mchezo...
View ArticleRais Magufuli atuma salamu za rambirambi kifo cha Jaji Mstaafu Robert Kisanga
Jaji Mstaafu Robert Kisanga enzi za uhai wake.
View ArticleTRA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA KODI KWA WADAU MBALIMBALI
Na: Veronica Kazimoto.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepongezwa kwa kuendelea kutoa elimu ya kodi kwa wadau mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wa ofisi za Serikali na Asasi za Kiraia kwa ajili ya...
View ArticleCAF YATAJA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA MECHI YA YANGA NA SAINT LOUIS FC LIGI YA...
Shirikisho la Mpira wa miguu Barani Africa CAF limetaja waamuzi watakaochezesha mchezo wa kwanza na mchezo wa pili wa Ligi ya mabingwa Africa kati ya Yanga ya Tanzania dhidi ya Saint Louis FC ya...
View ArticleWANANCHI WAVUTIWA NA HUDUMA KATIKA BANDA LA MAONYESHO LA MAMLAKA YA...
Mamia ya wananchi wa Tanzania Zanzibar wameendelea kufurika katika viwanja vya Maisara Zanzibar kunakofanyika Tamasha la Nne la Maonyesho ya Biashara la Zanzibar; yakiwa ni sehemuu ya maadhimisho ya...
View ArticleHALMASHAURI ISIYOPANDA MITI MILIONI 1.5 MWAKA HUU ITATOZWA FAINI- RC WANGABO
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameziagiza Halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa kuhakikisha zinafikia lengo la kupanda miti milioni 1.5 kila moja hadi kufikia mwisho wa mwaka wa 2017/2018 ili...
View ArticleCAF YATAJA WAAMUZI SIMBA, GENDARMERIE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Waamuzi kutoka Sudan Kusini wameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF kuchezesha mchezo wa kombe la Shirikisho kati ya Simba ya Tanzania na Gendarmerie Tnale ya Djobouti...
View ArticleSIMBA SC WAJINOA UWANJA WA BANDARI
Kocha mkuu wa Simba SC, Pierre Lechantre katikati na kushoto ni kocha Msaidizi Masoud Djuma wakipeana maelekezo katika mazoezi hayo kulia ni Meneja wa Simba SC, Robert Richard Uwanja wa Bandari...
View ArticleMrisho Mpoto atoa msaada kwa yatima, awapa msingi wa maisha
Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto kwa kushirikiana na team yake ya Mpoto Foundation alitembelea kituo cha watoto yatima cha Mwandaliwa na madrasa ya Tidaiya iliyopo Tandale jijini Dar es salaam...
View ArticleSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAKABIDHI NYUMBA ZA MAKAZI 63 ZA IYUMBU SATELLITE...
Meneja wa Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Itandula Gambalagi kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa na Kamishna wa Fedha, Ndugu Peter Chogero kwa niaba ya Kamishna Mkuu wa...
View ArticleKILA MWAKA WATANZANIA 50,000 HUPATA SARATANI
*Yaelezwa saratani ya shingo ya kizazi ndiyo inayoongoza *Wanafunzi wa kike kuanzia darasa la nne kupewa chanjoNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiTAASISI ya Saratani ya Ocean Road imesema imekuwa ikipokea...
View ArticleWAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZA WILAYA MKOA WA MARA WAIMWAGIA SIFA AGPAHI
Wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoa wa Mara wamelipongeza Shirika la Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI) kwa kutekeleza kikamilifu mradi wa “Boresha” unaotoa huduma za...
View Article
More Pages to Explore .....