WALIOPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA BILA KIBALI WAPANDISHWA KIZIMBANI
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Mkurugenzi wa Saha Limited na mwingine wa Lucky Shipping Co.Ltd, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka mawili ya uhujumu...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA UJENZI AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA DARAJA KWA WAKATI
Naibu waziri wa ujenzi ELIAS KWANDIKWA amemwagiza mkandarasi anayejenga daraja la RUHUHU liliopo lituhi wilayani nyasa mkaoni ruvuma ambalo pia linganisha mkoa wa LUDEWA kukamilisha kwa wakati ili...
View ArticleKAMATI YA RAIS YA KUCHUNGUZA BIASHARA YA MADINI YA TANZANITE YAANZA...
Mwenyekiti wa Kamati iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuchunguza biashara ya madini ya Tanzanite ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria Prof....
View ArticleWATEJA SOKO LA KUKU SHEKILANGO WAPUNGUA
Na Agness Francis, Globu ya Jamii WAFANYABIASHARA wa kuku katika soko la Kuku lililopo Shekilango jijini Dar es Salaam wamesema kwa sasa soko limekuwa gumu kidogo kutokana na kupungua kwa wateja...
View ArticleSERIKALI YATOA SHILINGI BILIONI 24.4 KUJENGA NA KUKARABATI MELI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa shilingi bilioni 24.496 kwa ajili ya kujenga meli mpya mbili na kukarabati meli tano ili ziweze kutoa huduma ya uchukuzi wa kusafirisha abiria na...
View ArticleZANTEL YAZINDUA KAMPENI YA ‘JERO YAKO TU' KUWAZAWADIA WATEJA WAKE
Kampuni ya Mawasiliano ya ZANTEL, leo imezindua kampeni yake kabambe inayoitwa 'JERO YAKO TU', promosheni ambayo imelenga kuwashukuru wateja kwa kuwapa zawadi mbalimbali mara wanapoongeza salio la...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ATAKA WANANCHI KUACHA TABIA YA KUHARIBU MAZINGIRA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuchana na vitendo vya uharibifu wa mazingira kwa lengo la kujiepusha na athari zitokanazo na mabadiliko ya...
View ArticleUPELELEZI KESI YA KUISABABISHIA HASARA SERIKALI BILIONI 2.4/- MBIONI KUKAMILIKA
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiUPELELEZI katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia hasara Serikali ya Shilingi bilioni 2.4 inayomkabili Mkurugenzi wa Tathmini ya Madini, Archard Kalugendo na...
View ArticleOPERESHENI YA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YASHIKA KASI KWA WANUFAIKA WA...
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB) imesema kuwa kwa kipindi cha miezi mitatu ya operesheni ya kudai mikopo kwa wanufaika hao watafikiwa katika ofisi zao kutokana...
View ArticleMPINA AKAMATA MAROBOTA 1152 YA NYAVU HARAMU MWANZA NA SINGIDA ZENYE THAMANI...
Na John MapepeleWaziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Joelson Mpina amekamata marobota 1152 ya aina mbalimbali za nyavu haramu zisizoruhusiwa kisheria kutumika kuvulia samaki zenye thamani ya shilingi...
View ArticleDkt. Abbas Atembelea Vyombo vya Habari Mkoani Dodoma
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO, DODOMAMkurugenzi wa Idara Habari( MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi ameanza ziara ya kutembelea vyombo vya habari Mkoani Dodoma kwa lengo la kuona na kujua changamoto za...
View ArticleMBUNGE NJALU AFANYA HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE SIMIYU
Na Mwandishi wa Globu, Simiyu.Mbunge wa jimbo la Itilima Mkoani Simiyu Njalu Daudi Silanga ameshiriki ibaada katika kanisa la SDA liliopo Kijiji cha Itubilo na kufanya harambee ya uchangiaji wa ujenzi...
View ArticleSIJARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA SIRARI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na ubora wa ujenzi wa kituo cha forodha cha Sirari kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya.Kufuatia hali hiyo amemtaka Kamishna wa Mamlaka ya...
View ArticleHII NDIO ASILI YA JINA LA MKOA WA MBEYA
Mkoa wa Mbeya ni moja kati ya Mikoa 32 ya Tanzania, unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi yetu hii. jina la mkoa wa Mbeya ni neno la kiasili la kabila la Kisafwa lilikuwa likitamkwa ‘Ibheya’...
View ArticleSERIKALI YATOA TAMKO SAFARI YA SIMBU, YAWAONYA TFF
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.SERIKALI imetoa tamko kuhusu ushiriki wa mwanariadha Alphonce Simbu katika mashindani ya Jumuiya ya Madola yanayotarajiwa kufanyika April mwaka huu.Mashindano hayo...
View ArticleMAKALA YA SHERIA:JE ALIYETEULIWA NA MAREHEMU KWENYE WOSIA KUSIMAMIA MIRATHI...
Na Bashir Yakub. Wako wasimamizi wa mirathi wa aina mbili. Kwanza ni yule ambaye marehemu mwenyewe amemteua kabla ya kufa kwake na akaandika/kusema kwenye wosia kuwa fulani...
View ArticleELIMU BURE KWA WOTE: TULIAHIDI TUMETEKELEZA
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg. John Lipesi Kayombo akiwaonyesha utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2015 - 2020 wajumbe wa Kamati ya siasa Wilaya ya Ubungo inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa...
View ArticleMWENYEKITI WA UVCCM KHERI JAMES AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI...
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Cha Mapinduzi Ndugu Kheri Denis James (MCC) jana amekutana na kufanya mazungumzo na kamati ya Utekelezaji ya Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wajumbe wa Baraza la Vijana...
View Article
More Pages to Explore .....