Masogange anendelea kukwamisha kesi yake
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.ANDE wa mashitaka katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili Agnes Gerald maarufu kama ‘Masogange’ umeiomba Mahakama kuuonya upande wa utetezi kwa...
View ArticleWAZIRI KAMWELWE AZINDUA MIRADI YA SHILINGI BILIONI 2.76 MTWARA
Na Athumani Shariff- MoWI Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe leo amezindua miradi miwili ya maji ambayo ipo Halmashauri za Wilaya ya Mtwara na Masasi Mkoani Mtwara ilyogharimu jumla...
View ArticleWAZIRI MKUU AMKABIDHI MHANDISI WA MAJI KWA NAIBU WAZIRI TAMISEMI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemkabidhi Mhandisi wa Maji wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya, Mhandisi Obetto Sasi kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Bw. Josephat Kandege baada ya...
View ArticleWAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO ZANZIBAR ATILIANA SAINI NA BALOZI MDOGO WA CHINA...
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed kushoto akitiliana saini na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu kulia Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MAWAZIRI WA ELIMU NA TAMISEMI, APIGA MARUFUKU...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani S. Jafo na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa...
View ArticleWATOTO YATIMA 150 WAPATIWA MSADA WA VIFAA VYA SHULE
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Mchembe (mwenye nguo ya njano), Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Gairo, Mhe. Andrea Sendeha (wa tatu toka kulia) pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wakiwa...
View ArticleWCF YAWANOA WAAMUZI, WASULUHISHI NA MAKATIBU MUHTASI KUTOKA TUME YA...
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, MorogoroMFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), umejipanga vema kuendelea kutoa huduma bora kwa wadau, hususan katika kipindi hiki ambacho Mfuko unategemea ongezeko kubwa la...
View ArticleMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MAONESHO YA BIASHARA MAISARA...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi kulia akipata maelezo kutoka kwa Afisa uhusiano wa Taasisi ya Viwango Zanzibar Aisha Abdulkheir Mohammed wakati alipotembelea Banda hilo katika...
View ArticleKATIBU UVCCM IRINGA MJINI ANUSURIKA KUFA BAADA KITU CHENYE MLIPUKO KURUSHWA...
Aelezea hatua kwa hatua namna nyumba yote ilivyoteketea kwa moto.Na Said Mwishehe-GlobuKATIBU wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Alophance Myunga amenusurika kifo baada ya...
View ArticleMICHANGO SHULE ZA SERIKALI KUONDOKA NA MLOLONGO WA VIONGOZI
*Rais Dkt.Magufuli apiga marufuku, asema asisikie mchango wa aina yoyote shuleniNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiHivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Rais Dkt.John Magufuli kusema ni marufuku watoto...
View ArticleDK.MABODI AIPONGEZA SMZ
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar kimesema mafanikio yliyofikiwa na Serikali ya awamu ya Saba chini ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk.Ali...
View ArticleMahakama kwenda Kidijitali
Na Mary Gwera, MahakamaMahakama ya Tanzania imedhamiria kufanya malipo yote ya huduma zake na ukusanyaji wa mapato kielektroniki ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya Teknolojia na vilevile kuboresha...
View ArticleFINLAND YAONESHA NIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI NCHINI
Na Veronica Simba – Dodoma.Ujumbe kutoka Kampuni ya Fortum ya Finland umemtembelea Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na kueleza nia yao kuwekeza kwenye sekta ya nishati nchini.Ujumbe huo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKAGUA UJENZI UKUTA BAHARI YA HINDI DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa ukuta wa bahari Kigamboni wenye urefu wa mita 500. (Picha na...
View ArticleWANAOOMBA UFADHILI WA MASOMO CHINA, JAPAN WATAHADHARISHWA
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiMKURUGENZI Mtendaji wa Elimu Solutions (T) Limited Neithan Suedy amesema ni vema Watanzania hasa wanafunzi nchini kuwa makini na matapeli wanaochukua fedha za wanafunzi...
View ArticleKAMATI YA RAIS KUCHUNGUZA TANZANITE YAANZA MAZUNGUMZO NA TANZANITE ONE
Kamati iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuchunguza biashara ya madini ya Tanzanite imeanza kufanya mazungumzo na kampuni ya Tanzanite One.Kwa mujibu...
View ArticleUCHAGUZI WA BFT KUFANYIKA TAREHE 24 MWEZI FEBRUARI MWAKA HUUA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza uchaguzi wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi februari mwaka huu.Akizungumzia...
View ArticleMadaktari Bingwa wa upasuaji wa Moyo kutoka Taasisi ya JKCI wakifanya...
Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Moyo na Mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia mgonjwa ambaye mshipa mkubwa unaosambaza damu upande wa kushoto wa moyo umeziba upasuaji...
View Article
More Pages to Explore .....