Serikali ifikirie upya marufuku ya kukaririsha darasa
HIVI karibuni Serikali kupitia Kamishina wa elimu Dk. Edicome Shirima ilitoa taarifa kwa umma ikizitaka shule binafsi kuwarejesha mara moja katika madarasa yao wanafunzi waliokaririshwa madarasa au...
View ArticleAmirali Karim is No More With Us
Salaams and Dwa.Tunachukua nafasi hii kutoa Pole kwa familia ya ndugu Amirali Karim. Kwa msiba mkubwa iliotokea.Ila yote haya ni mipango ya Allah.Tumuombee Allah umpumzishe kwa amani. From Izaas Staff
View ArticleUtambulisho wa nyimbo mpya inayoitwa BROTHER kutoka kwa DABO
DABO Tanzanian Best Reggae and Ragga / Dancehall Star Artist. Occupations: Songwriter, Singer, Melody Maker, Performer, Entertainer, Actor, Story Maker and Script Writer. Achievements: Awards Winner...
View ArticleMPIGIE KURA LADY JAYDEE NA WASANII WENGINE WASHINDE
Piga kura kwa kufungua website hii, kisha fuata maelekezo:https://www.amiawardsafrika.com/pc-nominees
View ArticleWAVUVI WALIA NA UPEPO MPALI BAHARINI
Wavuvi wakiwasili katika ufukwe wa Kunduchi jijini Dar es salaam baada ya kutoka kuvua samaki, Baadhi ya wavuvi hao wamesema kuwa kipindi hiki ambacho ni cha upepo mkali kumekuwa na uhaba sana wa...
View ArticleMWENYEKITI WA UVCCM AINGIA RASMI KAZINI
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Kheri D James akisalimiana na Mtumishi wa Makao Makuu ya Umoja wa Vijana wa CCM Bi.Sheila Alipowasili katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Umoja wa...
View ArticleVIONGOZI WANNE WASHTAKIWA KAMATI YA MAADILI
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF imewapeleka kwenye kamati ya Maadili viongozi wanne kwa kughushi na udanganyifu. Viongozi walioshtakiwa kwenye Kamati ya Maadili ni msimamizi...
View ArticleKABATI ATOA MSAADA WA MAFUTA MAALUM YA KUPAKA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI...
Na Fredy Mgunda,IringaJAMII imetakiwa kuwalea, kuwatunza na kuwajali watu wenye ulemavu wa ngozi albino kwa kuhakikisha kwamba wanaishi katika mazingira mazuri, yenye usalama na sio kuwanyanyapaa pale...
View ArticleMitambo ya Kisasa Kutumika Kusafisha Maji Taka Dar
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ali Hapi amepongeza utendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam DAWASA na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya Maji Taka katika Wilaya ya...
View ArticleWaziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele.
Kaim Mkurugenzi wa Taasisi yaUtafiti wa Kilimo NALIENDELE Iliyopo Mkoani Mtwara Dkt Omar Mponda akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Dkt.Charles Tizeba kuhusiana na Mbegu za Muhogo ambazo zinazalishwa...
View ArticleNAIBU WAZIRI KWANDIKA AMESEMA BARABARA YA MBINGA HADI MBAMBA BAY NYASA...
Wilaya ya nyasa nI kati ya wilaya zenye vivutio vingi vya utalii kutokana na uwepo wa ziwa nyasa, kufungaka kwa barabara ya mbinga hadi nyasa ambayo ujenzi wake unatarajia kuanza hivi karibuni...
View Article