PROF. KABUDI AMUWAKILISHA WAZIRI MKUU
Leo Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb), Waziri wa Katiba na Sheria amemuwakilisha Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Ibada ya kuwekwa Wakfu...
View ArticleReli ya ‘Standard Gauge” Sasa kutandazwa kutoka Dar es salaam Mpaka Kigali,...
Na. Judith Mhina Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuunganisha Reli ya Kisasa (Standard Gauge) kutoka Isaka mkoani...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AONGEA NA KUAGANA NA RAIS KAGAME BAADA YA ZIARA YAKE YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika mazungumzo rasmi na Rais Paul Kagame wa Rwanda na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 14, 2018 Rais Paul Kagame wa...
View ArticleMwanamke wa Kiislam na yeyote unaependa vazi la Hijab,karibu ujumuike na...
Tupia vazi la Pink,Peach ama Red kuendana na siku yenyewe halafu tukutane DIAMOND JUBILEE HALL tarehe 03 - 02 - 2018,kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku.kutakuwa na maonyesho ya bidhaa za...
View ArticleJOTO, MSONGAMANO, KUCHELEWA KWA HUDUMA JNIA KWASABABISHA MAWAZIRI WANNE KUKUTANA
Said Mwishehe,Globu ya jamii MAWAZIRI wa wizara nne tofauti wameamua kufanya jitihada za kuondoa changamoto ya utoaji huduma kwa muda mrefu na kusababisha msongamano wa wageni wanaiongia na kutoka...
View ArticleMBUNGE LUSHOTO AWATAKA MAAFISA UGANI KUACHA KUKAA OFISINI
MAAFISA Ugani wa Kata na Vijiji wilayani Lushoto mkoani Tanga wametakiwa kuacha tabia ya kukaa ofisini badala yake wahakikisha wanakwenda kwa wakulima ili kuwapa elimu ya namna ya kulima kilimo cha...
View ArticleTBA YATAKIWA KUHAKIKISHA MAENEO YAO YANA HATI
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, ametoa agizo kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuhakikisha wanazitambua na kuzisajili nyumba zote na viwanja vya Serikali zinazomilikiwa na Wakala huo...
View ArticleWANANCHI WA MKOA WA SONGWE WAANZA ZOEZI LA MAPINGAMIZI DHIDI YA WASIO RAIA...
Pamoja na zoezi la Usajili linalohusisha ujazwaji wa fomu za maombi pamoja na kuchukuliwa alama za Kibaiologia pamoja na Picha, Mkoa wa Songwe umeanza zoezi msingi la Mapingamizi ambapo wananchi...
View ArticleMAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) YASHIRIKI TAMASHA LA NNE LA BIASHARA...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ofisi ya Zanzibar inashiriki kwa mara nyingine tena Tamasha la Nne la Biashara linaloendelea viwanja vya Maisara mjini Unguja Zanzibar kama sehemu ya...
View ArticleMRADI WA BILIONI 1.8 KUONDOSHA SHIDA MAJI KATA YA MTWANGO HALMASHAURI YA...
Na Afisa Habari MufindiHatimaye Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi imetiliana saini na Kampuni ya Siha Enterprises Limited, kutekeleza ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji Sawala, wenye thamani ya shilingi...
View ArticleWAGONJWA 64,093 WATIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KWA MWAKA 2017
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa mwaka wa 2017 imeona jumla ya wagonjwa 64,093 kati ya hawa wagonjwa wa nje ni 60,796 na waliolazwa 3297. Wagonjwa waliolazwa 3010 waliruhusiwa baada ya hali...
View ArticleSERIKALI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA NYOTA KATIKA KUVIPIMA VITUO VYA AFYA NA...
Na WAMJWW. RUKWA-NKASI Serikali yaanza kutumia mfumo wa nyota kupima huduma zitolewazo na Vituo vya Afya, Hospitali na Zahanati nchini ili kupima utendaji kazi wa watumishi wa Sekta ya Afya katika...
View ArticleWAZIRI KALEMANI ATOA MAAGIZO MAZITO KWA WANAOTEKELEZA MIRADI YA UMEME VIJIJINI
- Mkandarasi asiyeanza kazi ifikapo Machi 2 kukiona cha moto- Viongozi TANESCO, REA wawasilishe taarifa kila robo mwakaNa Veronica Simba – Dodoma.Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amekutana na...
View ArticleSEKTA YA MADINI LAZIMA IWE NA MCHANGO MKUBWA KWENYE PATO LA TAIFA: MHE DOTTO...
Na Mathias Canal, DodomaSekta ya Madini inachangia kati ya asilimia 3.5 mpaka 4 katika Pato la Taifa ukilinganisha na sekta zingine ambazo zimejitutumua kwa kiasi kikubwa katika mchango mahususi wa...
View ArticleNEWZ ALERT :AJALI YAUA WATU 11 MKOANI KAGERA
Na Ripota wa Globu ya Jamii Kagera.WATU 11 wamefariki Dunia na wengine sita kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari aina ya hiace kugongana na malori matatu iliyotokea mnamo majira ya saa tano usiku wa...
View Article
More Pages to Explore .....