HAFLA YA KUWAREHEMU NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI YAFANYIKA LEADERS CLUB JIJINI...
Mtoto wa marehemu Cisco Mtiro na dada yake walijumuika na umati mkubwa uliojitokeza kwenye hafla ya kila mwaka ya kuwarehemu ndugu, jamaa na marafiki waliotangulia mbele ya haki katika viwanja vya...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU WA...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) Humphrey Polepole kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar...
View ArticleOLD SCHOOL REUNION PARTY DMV, MAREKANI
Its all About Fun, Food, Drinks, Fashion,Sports and Nyama chomaFrom Fri JULY 6 to Sun JULY 8, 2018 Oxford Center 9700 Martin L King Jr Hwy,Lanham, MD 20706Friday July 6, 2018 from 9pm DMV International...
View ArticleWANANCHI MKOANI MARA WAITIKIA WITO WA MKUU WA MKOA KUSAJILIWA VITAMBULISHO...
Wananchi mkoani Mara wamejitokeza kwa wingi kutekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa Mhe. Adam Kighoma Ali Malimaambaye amewataka wakazi wote wa mkoa huo kuhakikisha wanasajiliwa Vitambulisho vya Taifa ndani...
View ArticleDKT. FAUSTINE AWAAGIZA VIONGOZI WA MKOA WA RUKWA KUTOKOMEZA UDUMAVU...
Na WAMJWW. RUKWA-SUMBAWANGANaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanapambana na kutokomeza udumavu kwa...
View ArticleSERIKALI YAMCHARUKIA MKANDARASI DOTT
Serikali imemtaka Mkandarasi Dott Services anayejenga barabara ya Mtwara-Mnivata yenye urefu wa KM 50 kwa kiwango cha lami kuongeza vifaa na kasi katika ujenzi wa barabara hiyo ili kurahisisha huduma...
View ArticleCHUO CHA UHASIBU ARUSHA WATILIANA SAINI MKATABA MPYA WA USHIRIKIANO NA CHUO...
Kushoto ni mkuu wa chuo cha ukamanda na unadhimu Duluti Meja Jenerali H.Masebu akitiliana saini na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Dk.Faraji Kasidi mkataba mpya wa ushirikiano (MoU) kati ya chuo...
View ArticleMIGODI YA WACHIMBAJI WADOGO BUHEMBA YAFUNGULIWA
Hatimaye Serikali imefungua Migodi ya Dhahabu ya Wachimbaji Wadogo iliyopo katika eneo la Buhemba Wilaya ya Butiama Mkoani Mara baada ya kujiridhisha hali ya usalama katika migodi hiyo.Migodi hiyo...
View ArticleNAIBU WAZIRI KIJAJI AFANYA UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHUO CHA UHASIBU...
Naibu Waziri wa fedha na mipango Mh.Dkt Ashatu Kijaji(Mb)katikati akinyoosha juu mkataba wa kuunda baraza ambao umehakikiwa na kusainiwa na Kamishna wa kazi,wa pili kulia niKaimu Mkuu wa Chuo cha...
View ArticleRC MNYETI KUWACHUKULIA HATUA WANASIASA WACHOCHEZI
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti ametoa onyo kali kwa viongozi wa kisiasa wa Wilaya ya Kiteto kuwa atawachukulia hatua kali wote watakaosababisha migogoro ya ardhi kwa wananchi. Akizungumza...
View ArticleRAIS WA RWANDA PAUL KAGAME AWASILI NCHINI NA KUPOKEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Rwanda Paul Kagame mara baada ya kumpokea katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius...
View ArticleBITEKO AWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUZINGATIA SHERIA YA USALAMA KWENYE MAENEO...
Na Joel Maduka-Geita.Naibu waziri wa madini Doto Biteko amewataka wachimbaji ambao wanamiliki leseni kuhakikisha wanazingatia sheria ambazo wamepewa likiwemo suala la kuweka mazingira mazuri ya...
View ArticleWaziri Mkuu Kassim Majaliwa akutana na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Kampuni ya Mkulazi kupata taarifa ya maendeleo ya Uwekezaji katika uzalishaji Sukari Nchini, Ofisini kwake Mlimwa, mjini...
View ArticleWAZIRI MKUU AUVUNJA MFUKO WA WAKFU WA KUENDELEZA KAHAWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameuvunja Mfuko wa Wakfu wa Kuendeleza zao la Kahawa (CDTF) na amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuchunguza mwenendo wa mfuko huo tangu...
View Article