Kesi ya Wema, Kibatala nje Msando ndani
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Wakili wa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, Peter Kibatala ameiandikia barua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuomba kujitoa kumuwakilisha katika kesi ya dawa za...
View ArticleJKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA
Na Mwandishi Wetu, 09/1/2018 Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) umewaahidi watanzania kuendelea kutoa huduma bora za matibabu kwa kiwango cha kimataifa kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na...
View ArticleWAKAZI WA WILAYA YA BAHI MKOANI DODOMA WATAKIWA KUWARIPOTI WALE WOTE WATAKAO...
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Dodoma Jamii imetakiwa kuacha kabisa tabia ya kuozesha watoto wadogo ambao awajafikia umri wa kuolewa na matokeo yake wawezeshe kupata elimu hili iweze kuwasaidia...
View ArticleNEC yatangaza uchaguzi mdogo wa madiwani
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata nyingine sita utafanyika Februari 17 mwaka huu.Mwenyekiti wa NEC Jaji Semistocles Kaijage alisema jana kuwa uchaguzi huo...
View ArticleSMZ yaving’arisha vijiji vya Mlilile, Mbuyumaji kwa umeme
Kijakazi Abdalla na Mwashungi Tahir-MAELEZOWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, amesema mapinduzi ya Zanzibar ndio yaliyowakomboa...
View ArticleWATANZANIA WAHAMASISHWA KUCHANGIA DAMU SALAMA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Kutokana na ukosefu wa damu katika benki ya damu salama, Prosper Magali ameamua kuhamasisha watanzania kuchangia damu kwa ajili ya kufikia malengo ya benki ya damu kwa...
View ArticleDKT.KIGWANGALA AZINDUA KAMATI KUANDAA MWEZI WA URTIHI WA TAIFA LA TANZANIA
Said Mwishehe,Globu ya jamiiWAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk Hamisi Kigwangala amekutana na Kamati ya Kitaifa ya kuratibu shughuli za maandalizi ya Mwezi Maalum wa Maadhimisho ya urithi wa Taifa la...
View ArticleDC SINYAMULE ALITAKA JESHI LA POLISI SAME KUONGEZA UFANISI
Na Mwandishi wa Globu ya Jamii, Same.Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Sinyamule amekutana na Maofisa wa jeshi la Polisi na watendaji wa jeshi hilo kuzungumzia namna...
View ArticleSERENGETI LITE YANOGESHA LIGI YA WANAWAKE,TFF,SBL WASAINI MKATABA
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo wamesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuidhamini Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) kupitia Bia ya Serengeti Lite.Mkataba huo...
View ArticleULEGA AMEWAAGIZA WATENDAJI NGAZI YA WILAYA NA MKOA KUSIMAMIA ZOEZI LA UPIGAJI...
Serikali imewataka watendaji ngazi ya wilaya na mkoa kusimamia kwa umakini zoezi la upigaji chapa mifungo linaloendea hapa nchini.Agizo hilo amelitoa Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZINDUA BARAZA LA VIJANA ZANZIBAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Vijana uliofanyika kwenye ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani, Kikwajuni....
View ArticleDKT.SHEIN AZINDUA SOKO LA KINYASINI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Mohamed Shein amefungua Soko Jipya la Kinyasini lililojengwa na Programu ya Miundo Mbinu ya Masoko, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha...
View ArticleJK, VIONGOZI MBALIMBALI WAMFARIJI MZEE KINGUNGE NGOMALE MWIRU
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Mama Peras Ngombale Mwiru, Mke wa Mmoja waasisi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mzee Kingunge Ngomale Mwiru ukiwasili nyumbani tayari kwa ibada maalum ya maombolezo,...
View ArticleSUMATRA PWANI YAKEMEA KUPANDISHWA NAULI KIHOLELA KWA MABUS YAENDAYO MIKOANI
Na Mwamvua Mwinyi, Globu ya Jamii - PwaniOFISA mfawidhi wa mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini (SUMATRA) Mkoani Pwani, Omary Ayoub amekemea tabia ya kupandishwa kwa nauli inayofanywa...
View ArticleWANANCHI WASHAURIWA KUTOISUBIRI SERIKALI KUWAFANYIA KILA KITU
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akitengeneza tofali kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya Shule ya Sekondari...
View ArticleHerry James asifu ushirikiano wa wananchi Mkoani Arusha
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg Herry James akisalimiana na baadhi ya viongozi wa UVCCM Mkoa wa Arusha mara baada ya kuwasili Mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ya...
View ArticleJIJI LA DAR LASHINDA TUZO YA KWANZA BARANI AFRIKA YA HUDUMA BORA YA USAFIRI...
Balozi wa Tanzania katika nchi za Marekani na Mexico, Mhe. Wilson M. Masilingi, alipokea Tuzo ya Huduma Bora ya Usafiri Endelevu Mwaka 2018 (Sustainable Transport Award) kwa Jiji la Dar es Salaam kwa...
View Article
More Pages to Explore .....