Waziri Profesa Mbarawa avamia bandarini Dar es salaam Usiku, abaini madudu...
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akifanya mahojiano na mmoja wa maofisa wa Bandari ya Dar es Salaam baada ya kukagua kama huduma zinatolewa saa 24 kama Serikali...
View ArticleRC RUVUMA AWAONYA WAFANYABIASHARA WA MBOLEA
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma B CHRISTINA MNDEME amefanya ziara ya kushitukiza katika maghala ya SONAMCU ya kuhifadhia mbolea huku akikuta uchache wa mbolea katika maghala hayo habari kamili hii hapa video...
View ArticleWanafunzi 26 wa IFM wala nondozzzz ya uzamili ya Teknolojia ya Habari na Uongozi
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWANAFUNZI 26 wamehitimu shahada ya uzamili ya Teknolojia ya habari na Uongozi wa katika chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM).Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM),...
View ArticleWaziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba asimamia zoezi la kusafirisha mbolea
Gari iliyopakiwa mbolea ikiondoka kwenye kwenye ghala la kuhifadhia mbolea la Kampuni ya Mohammed Enterprises lililopo eneo la Mbagala Jijini Dar es Salaam jana kuelekea mikoa ya Mbeya na Rukwaambapo...
View ArticleUTARATIBU WA KUSAJILI CHAMA CHA SIASA HUU HAPA.
Na Bashir Yakub.Haki ya kusajili na kuwa na chama cha siasa ipo kwa kila mtanzania. Hata wewe unaweza kuwa na chama cha siasa ikiwa utataka kufanya hivyo. Wako wanaofikiri...
View ArticleCOASTAL UNION WAKATAA UFADHILI WA WAZIRI JANUARY MAKAMBA
Uongozi wa timu ya Coastal Union ya Tanga(al maarufu Wagosi wa Kaya) umekataa ufadhili waliotafutiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, anayeshughulikia Mazingira na Muungano, January Makamba...
View ArticleNAIBU WAZIRI AWESO AZIAGIZA HALMASHAURI KUTOWAPA KAZI WAKANDARASI WASIOJALI...
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, ameziagiza halmashauri zote nchini kutowapa kazi za utekelezaji wa miradi ya maji wakandarasi wasiojali maslahi ya taifa na kusisitiza kuwa Serikali...
View ArticleTANZIA: MPIGANAJI WA Radio Free Africa Zuberi Msabaha katutoka
Aliyekuwa mtangazaji wa muda mrefu wa Radio Free Africa, Zuberi Msabaha amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano Januari 10, 2018, huko jijini Mwanza.Zuberi Msabaha alikuwa ameugua kwa muda mrefu...
View ArticleWANANCHI WA LIWALE NA NACHINGWEA WALILIA BARABARA
Wananchi wa wilaya ya Liwale na Nachingwea mkoani Lindi wameiomba Serikali kuhakikisha inaanza ujenzi wa barabara ya Liwale - Nachingwea (Km 129) kwa kiwango cha lami ili kutatua changamoto za...
View ArticleRAIS SHEIN AMETEMBELEA STUDIO ZA ZBC RADIO RAHALEO MJINI UNGUJA.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Ali Mohammed Shein akisalimiana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Habari la Zanzibar ZBC, Bi Nasra Mohammed mara baada ya kuwasili katika...
View ArticleWAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA USAFIRISHWAJI WA MBOLEA
*Aitaka TFC kuwa na mikakati madhubuti.WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na usafirishaji wa mbolea kutoka wa wasambazaji wa pembejeo nchini kwenda kwa wakulima. Pia ameitaka Kampuni ya...
View ArticleMASAUNI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini, Mohammad Alamiri(kulia) kuhusu ushirikiano baina ya nchi ya Tanzania na Kuwait katika masuala...
View ArticleWAZIRI AFUNGUA KITUO CHA AFYA TUMBATU
Na Mwashungi Tahir, Maelezo Zanzibar.WAZIRI Wa Nchi, Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa , Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Haji Omar Kheir alisema kabla ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Kisiwa...
View ArticleRAIS WA TFF WALLACE KARIA AOMBOLEZA KIFO CHA OMARY KAPERA:
Kufuatia kifo cha beki wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Omary Kapera (wa tatu toka kulia) ,Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amepokea kwa mshtuko...
View Article
More Pages to Explore .....