Tigo Yapata Mamilionea Wapya wa Mwaka Mpya 2018
Meneja wa Wateja wa Tigo Pesa, Mary Rutta (kulia) akiongea kwa njia ya simu na moja wa washindi wa promosheni ya Tumia Tigo Pesa na Ushinde iliyofanyika usiku wa kuamkia mwaka mpya katika ofisi za Tigo...
View ArticleZOEZI LA UPIGAJI CHAPA MIFUGO LAONGEZEWA MUDA WA MWEZI MMOJA
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina(wa pili kushoto) akipiga chapa ng’ombe katika hitimisho la zoezi la upigaji chapa mifugo Kitaifa katika Kijiji cha Migato, Wilaya ya Itilima...
View ArticleMilion 6 zatolewa Mlimani City 2017
Meneja wa Dula la Phone One, Saiyed Shabi lililoko Mlimani City akichagua kuponi ya mshindi wa kwanza wa droo ya tatu ya promosheni ya fanya manunuzi MLIMANI city na ushinde katika msimu wa sikukuu...
View ArticleNGOMA AFRICA BAND YAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2018
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani inawatakia wadau wote popote mlipo heri ya mwaka mpya 2018. Inawaombea amani,upendo...
View ArticleASKOFU MKUU WA KANISA LA METHODISTI NCHINI AFARIKI
Askofu Mkuu wa kanisa la Methodisti nchini, Dk. Mathew Byamungu, amefariki ghafla usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Taarifa iliyotolewa na katibu wa kanisa la Methodisti,...
View ArticleWAZIRI MKUU AMEWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA KOROSHO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wanaioishi kwenye mikoa ambayo zao la korosho linastawi wachangamkie kilimo cha zao hilo kwa sababu lina fursa nyingi.“Mahitaji ya korosho ni makubwa...
View ArticleUVCCM YAPONGEZA MIRADI YA AFYA TABORA.
Na Mwandishi wetu,Tabora Umoja wa Vijana wa CCM umesema umeridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya afya inayotokana na ahadi katika ilani ya uchaguzi katika halmshauri za wilaya mji wa Nzega na...
View ArticleZAIDI YA BILIONI 1.2 ZIMETENGWA NA WAKALA WA BARABARA NCHINI TANROAD KWA...
ZAIDI ya shilingi bilioni 1.2 zimetengwa na Wakala wa barabara nchini TANROAD kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara kutoka Ulanga hadi Kurungu wilayani mkuranga katika Mkoa Pwani.Akizungumza na wananchi...
View ArticleWAZIRI MKUCHIKA ATEMBELEA TPSC TAWI LA MTWARA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (kushoto) akiwasili chuo cha Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mtwara ikiwa...
View ArticleRAIS DKT JPM AOMBOLEZA MSIBA WA MKE WA NAIBU WAZIRI KANGI LUGOLA
Mhe. Rais John Pombe Magufuli akitia saini kitabu cha maombelezo nyumbani kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Alphaxard Lugola aliyefiwa na Mkewe Kamishna Msaidizi...
View ArticleWAZIRI MKUU ATOA KADI ZA CHF KWA WAZEE 4,000
*Ahimiza wakazi wa Ruangwa wajiunge na bima hiyoWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa wilaya ya Ruangwa wajiunge na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili waweze kumudu gharama za matibabu bila...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA FAMILIA YA NGUZA VICKING IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Mwanamuziki Nguza Vicking “Babu Seya” na wanae Johnson Nguza “Papii Kocha”, Francis Nguza na Michael Nguza wakiwasili viunga vya Ikulu jijini Dar Leo Januari 2, 2018 kumshukuru Rais Magufuli kwa...
View ArticleDK. MNDOLWA AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO, AAHIDI KUUNDA KAMATI KUTAFUTA...
Na Bashir Nkoromo.Mwenyekiti mpya wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa ameahidi kuunda Kamati ya kutathmini namna Jumuiya hiyo inakavyolishughulia kwa ufanisi tatizo la kuporomoka kwa...
View ArticleUBOVU MAGARI MAPYA YA POLISI WAISHITUA WIZARA MAMBO YA NDANI
*Masauni aunda kamati maalumu kufanya uchunguzi upyaNa Said Mwishehe, Blogu ya jamiiNAIBU Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Masauni Yusuph Masauni ameagiza kuundwa kamati maalumu kuchunguza magari...
View Article
More Pages to Explore .....