RAIS MAGUFULI AWASILISHA FOMU ZAKE ZA TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI KWA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Jengo la Sukari House lenye Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa Umma kwa ajili ya kuwasilisha Fomu...
View ArticleWAZIRI MKUU AKUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE WILAYANI RUANGWA,...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey Zambi, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea, kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka ambapo aliamua kukagua...
View ArticleCCM mkoa wa Pwani yajipanga kukomboa maeneo mbalimbali yanayoongozwa na vyama...
Na Mwamvua Mwinyi,ChalinzeMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Pwani Ramadhan Maneno amesema, atahakikisha anakomboa maeneo mbalimbali yanayoongozwa na vyama vya upinzani mkoani humo katika...
View ArticleJumuiya za Kidini zatakiwa kuzingatia Sheria na masharti ya usajili waliopewa
Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kidini Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi chini ya Sheria ya Jumuiya, Sura ya 337 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2002 (Societies Act) inazikumbusha Jumuiya zote zilizosajiliwa...
View ArticleKwa Simu Toka London: Sehemu ya 4 - Mahojiano na Saidi Kanda
Na Freddy MachaSehemu ya 4 ya mahojiano na Saidi Kanda - anazungumzia kuhusu bendi yake Mvula Mandondo- na kumhusisha mwimbaji na kiongozi wa bendi hiyo, Fab Moses. Hebu tuwasikilize wakizungumza na...
View ArticleThe Makaveli Trap song rapper returns again with a new jam "Buku kuwa laki"
The Makaveli Trap song rapper returns again with a new jam. "Buku kuwa laki" here he speaks about the hustle and life after him being under the spot light, the obstacles, and chalenges he faces. This...
View ArticleIhanje saafi, ujenzi wa miundombinu ya Afya - Waziri jafo.
Nteghenjwa,Hosseah,Ikungi-Singida.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo amepongeza kazi nzuri ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali inayoendelea kujengwa...
View ArticleSerikali yazikumbusha Jumuiya zote zinazofanya kazi kinyume na malengo...
Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kidini Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi chini ya Sheria ya Jumuiya, Sura ya 337 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2002 (Societies Act) inazikumbusha Jumuiya zote zilizosajiliwa...
View ArticleMSANI HARMONIZE AGAWA CHAKULA KWA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU...
Msanii wa muziki wakizazi kipya Rajab Abdulkahal au Harmonize amekula chakula cha mchana na watoto wanaishi katika mazingira hatarishi katika kituo cha kulelea Yatima cha kanisa LA EAGT mkoni Mtwara...
View ArticleIN LOVING MEMORY
Dear Maxmillian Charles Makwaia... It is exactly two years since you were promoted to Glory."But those we love don't go away, they walk beside us every day, unseen, unheard, but always near, still...
View ArticleKwa simu toka London: Mahojiano na Saidi Kanda - Sehemu ya Mwisho
Na Freddy MachaKumaliza mwaka 2017 na Sehemu ya 5- ya mahojiano na Saidi Kanda, tujiulize kwanini vijana wengi siku hizi wanadhani dawa za kulevya (hasa bangi) ndiyo kiini cha usanii - hasa wa muziki....
View ArticleTANZIA YA SHEIKH AHMED ISLAM NIMJUAE: DKT. DAU
Inaandikwa na Ramadhani K. Dau *Ilikuwa siku ya Jumamosi tarehe 23 Disemba 2017, majira ya saa 5 usiku kwa saa za Malaysia nilipopata ujumbe mfupi wa sms kutoka kwa *Sheikh Issa Othman*, maarufu Mufti...
View ArticleHARAKISHENI UMEME KUKAMILISHA MRADI WA MAJI NAMAHEMA ‘A’: WAZIRI MKUU MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtaka Meneja wa TANESCO wilaya ya Ruangwa, Bw. Samuel Pyuza ahakikishe umeme unapatikana mapema kwenye pampu ya maji ili kukamilisha mradi wa maji wa Namahema ‘A’.Ametoa...
View Article
More Pages to Explore .....