Article 2
Mkurugenzi wa Msama Promotions,Bwa Alex Msama akishiriki kushusha vifurushi vya mchele,ambavyo baadae alivitoa kwa vituo vya watoto waishia katika mazingira Magumu,makabidhiano ya msaada huo...
View ArticleNAIBU WAZIRI NISHATI SUBIRA MGALU AZINDUA UMEME WA REA KATA YA MWASENI WILAYA...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.NAIBU Waziri wa Nishati Subira Mgalu amezindua mradi wa umeme wa vijijini REA awamu ya pili katika kijiji cha Mloka kata ya Mwaseni Rufiji Mkoa wa Pwani sambamba na...
View ArticleNEC YATHIBITISHA MGOMBEA WA CHADEMA KUJITOA KWA NYALANDU
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imethibitisha kumtoa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge Singida Kaskazini mgombea kwa tiketi ya Chadema, David Djumbe. Mgombea huyo ameondolewa kwenye orodha baada ya...
View ArticleWANANCHI WAITAKA SERIKALI KUFANYIA KAZI TATIZO LA KUKATIKA UMEME KWENYE VITUO...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeendelea na Usajili wananchi Vitambulisho vya Taifa mkoani Mtwara ambapo katika Wilaya ya Mtwara Idadi kubwa ya wananchi wamejitokeza kushiriki zoezi hilo...
View ArticleWAZIRI MPINA AWAKAANGA VIONGOZI WANAOHUJUMU WAFUGAJI,AMSIFU DC GONDWE...
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amechukizwa na tabia ya baadhi watendaji wa Serikali katika Hifadhi za Misitu, Mapori ya Akiba na Serikali za Mitaa kukamata mifugo kiholela na kutoza faini...
View ArticleMAMIA WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI WA AZAM TV
Safari ya mwisho hapa duniani ya marehemu Idd Salum,Maziko yake yamefanyika jana jioni katika Makaburi ya Kawe,Kinondoni jijini Dar.. Shughuli za mazishi zikiendelea. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki...
View ArticleATAKAEFUNGA BARABARA NA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA KUKIONA-RPC SHANNA
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani.KAMANDA wa polisi mkoani Pwani (ACP)Jonathan Shanna ,ametoa onyo kwa watu wenye tabia ya kufunga barabara kwa kuchoma matairi katika mkesha wa mwaka mpya na kupelekea usumbufu...
View ArticleMBUNGE WA KIBITI AWATAKA WANANCHI NA VIJANA KUJITUMA ILI KUJIPATIA KIPATO
Na Mwamvua Mwinyi,KibitiMBUNGE wa jimbo la Kibiti mkoani Pwani ,Ally Ung’ando amewataka wananchi jimboni hapo kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano kwa kujishughulisha kimaendeleo ili kupiga...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII JAPHET HASUNGA AWAONYA WANANCHI WA...
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga amewataka wananchi wanaozunguka hifadhi za misitu katika wilaya ya Kisarawe kuzingatia mipaka iliyowekwa pamoja na matumizi ya ardhi ili kuepuka...
View ArticleMAKATIBU WAKUU WAJADILI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA STIEGLER’S GORGE
Na Veronica Simba Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali, hivi karibuni walifanya kikao kujadili hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa kufua umeme kutoka katika maporomoko ya maji ya Mto Rufiji...
View ArticleWAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR WAFANYA USAFI.
Na Maryam Kidiko / Kijakazi Abdala- Maelezo .MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar, Hassan Vuai Mbarouk amewapongeza Wafanyakazi wa Idara hiyo kwa kujitokeza kwa wingi katika wito wa Serikali...
View ArticleVIONGOZI WA UMMA WATAKIWA KUKABIDHI ORODHA YA MALI ZAO KABLA YA DESEMBA 31
Na Said Mwishehe,Blogu ya Jamii VIONGOZI wote wa umma nchini wametakiwa kuorodhesha mali zao tena kwa usahihi na kisha kukabidhi kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kabla ya Desemba 31...
View Article