BARAZA LA WAFANYAKAZI WA MFUKO WA WCF LAZINDULIWA JIJINI DAR
NA K-VIS BLOG, FELIX ANDREW WAAJIRI Tanzania Bara wametakiwa kuwashirikisha wafanyakazi wao kabla ya kufanya maamuzi mbali mbali ili kuendelea kudumisha amani na mshikamano maeneo ya kazi. Ushauri huo...
View ArticleWANANCHI WA KATA YA GAIRO WAOMBWA KUENDELEA KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU
Wananchi wa Wilaya ya Gairo wameombwa kuendelea kujitoa kwa hali na mali katika maendeleo ya sekta ya elimu ili kupata matokeo bora. Kauli hiyo imetolea Disemba 21, 2017 wakati wa kuwasomea mapato na...
View ArticleWANANCHI WA KATA YA GAIRO WAOMBWA KUENDELEA KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU
Na Mwandishi Wetu. Wananchi wa Wilaya ya Gairo wameombwa kuendelea kujitoa kwa hali na mali katika maendeleo ya sekta ya elimu ili kupata matokeo bora. Kauli hiyo imetolea Disemba 21, 2017 wakati wa...
View ArticleIntroducing Critical's "Sawa" Official Video
Ni kazi mpya ya msanii Critical ambaye ameanza muziki akitokea katika studio ya Maxmizer. Video imeandaliwa na Director Khalifan.
View ArticleDKT MWANJELWA AIAMURU TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO NALIENDELE MTWARA...
Na Mathias Canal, MtwaraKaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendele (NARI) ambayo Kitaifa inaratibu Utafiti wa zao la Korosho, Mbegu za mafuta na mazao jamii ya mizizi (Muhogo na viazi...
View ArticleVIONGOZI 19 WA wa Vyama Vikuu vya Ushirika vya SHIRECU, NYANZA WANUSURIKA...
Ataka wampe maelezo ya kina upotevu wa mali za mabilioniWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewanusuru viongozi 19 wa vyama vikuu vya ushirika vya mikoa ya Shinyanga (SHIRECU) na Mwanza (NCU) kwenda selo na...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR AWAANDALIA CHAKULA CHA MCHANA WACHEZAJI WA ZANZIBAR HEROES...
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakipata chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein. Ikulu Zanzibar, kuipongeza Timu hiyo kwa ushujaa...
View ArticleMATENGENEZO MAKUBWA MASHINE NAMBA MOJA YA KUFUA UMEME KIDATU YAFIKIA ZAIDI YA...
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, Kidatu.MATENGENEZO makubwa ya mashine namba moja kati ya nne za kufua umeme wa maji kwenye Kituo cha kufua umeme wa maji Kidatu mkoani Morogoro yamefikia zaidi ya asilimia...
View ArticleJESHI LA ZIMAMOTO LAFANYA TAMASHA LA UTOAJI ELIMU KWA UMMA
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Nchini wakionesha utayari wakukabiliana na majanga ya moto.Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Billy...
View ArticleJESHI LA POLISI MKOANI PWANI KUWATIA HATIANI WAHALIFU KIPINDI CHA SIKUKUU-RPC...
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniJESHI la polisi Mkoani Pwani limetoa onyo kali kwa wale wenye nia ya kutenda uhalifu, katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye sikukuu za mwisho wa mwaka ,wabadili mawazo yao...
View ArticleBodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania yakutana leo JNIA
Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, leo wakiwa kwenye ukumbi wa mikutano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) katika kikao cha kawaida cha 33 cha...
View Articlewengine watatu wa tatumzuka waibuka na vitita vya milioni 10 kuelekea funga...
Wasimamizi wa mchezo wa kubahatisha wa TatuMzuka wametoa washindi watatu wa sh. Milioni 10 katika droo maalumu ya mwisho wa mwaka ili kuwapa wachezaji wa droo hiyo kufurahia sikukuu za mwisho wa...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MICHEZO JULIANA SHONZA AFUNGUA TAMASHA LA MICHEZO KARATU LEO
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza (katikati) akimaliza mbio za kilomita tano wakati wa kufunga Tamasha la Michezo Karatu lililofanyika mjini Karatu leo tarehe...
View Article
More Pages to Explore .....