WATU BILIONI 7 DUNIANI WAPINGA AZIMIO LA TRUMP
Marekani imefeli kuulazimisha ulimwengu kukubaliana na azimio lake lililokinyume na sheria, wakati mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa ulipopitisha kwa idadi kubwa ya wanachama wake, kupinga azimio la...
View ArticleWAKULIMA 14 WA PAMBA WAINGIA MATATANI WILAYANI IGUNGA KWA KUVUNJA SHERIA YA...
WATU 14 wilayani Igunga wamekamatwa na Serikali ya Mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kukaidi maagizo ya kuwataka kulima pamba kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo cha pamba na kujikuta wakivunja Sheria ya...
View ArticleNAIBU SPIKA AKABIDHI MISAADA MBALIMBALI WILAYANI RUNGWE
Naibu Spika Dk Tulia Ackson amefanya ziara katika baadhi ya maeneo Wilayani Rungwe mkoani Mbeya ikiwa ni kutekeleza baadhi ya ahadi alizowahi kuzitoa katika kusaidia maendeleo, kwanza alianza kwa...
View ArticleDK NDUGULILE AZINDUA PROGRAMU YA KIKUNDI MLEZI KWA WANAWAKE WAJASILIAMALI
Na Kitengo cha Mawasiliano WAMJWNaibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile amezindua programu ya Kikundi Mlezi yenye lengo la kuwawezesha wanawake...
View ArticleMAVUNDE ATEMBELEA UJENZI WA DARAJA LA CHIHANGA-GAWAYE NA ZAHANATI YA ZEPISA,...
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Peter Mavunde leo ametembelea ujenzi wa Daraja linalounganisha vijiji vya Chihanga na Gawaye kata ya Chihanga Jimbo la Dodoma Mjini na kupongeza kasi ya...
View ArticleKAMISHNA WA UHAMIAJI ZANZIBAR ATANGAZA NEEMA
Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu.Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar Johari M. Sururu amewataka Askari na Maafisa wa Jeshi la Uhamiaji kufanyakazi kwa Uweledi na kujituma ili kuweza...
View ArticleUVCCM YATAJA MAJINA YA WATAKAOHAKIKI MALI ZA JUMUIYA YAO
Na Said Mwishehe, Blogu ya JamiiUMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) imetaja majina sita kati ya wanane ya wajumbe walioteuliwa katika Kamati ya kuchunguza na kufuatilia mali za chama.Hatua...
View ArticleMKURUGENZI MKUU WA SUMATRA ATINGA KITUO CHA UBUNGO KUANGALIA HALI YA USAFIRI...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Gilliard Ngewe akipata maelezo kutoka kwa Kamanda wa Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, Solomon...
View ArticleDED MOROGORO VIJIJINI KUCHUNGUZWA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo ameagiza kufanyika uchunguzi wa haraka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya morogoro Vijijini Sudi Mussa Mpiri kutokana na utendaji wake...
View ArticleULEGA ASHUHUDIA UCHOMWAJI WA ZANA HARAMU ZA UVUVI MKOANI KIGOMA
Kufuatia Wimbi la Uvuvi haramu mkoani Kigoma ,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalla Hamisi Ulega jana alishuhudia uchomwaji wa zana haramu za Uvuvi katika kijiji cha Buhingu kilichopo katika...
View ArticleMKAZI WA NANYAMBA MKOANI MTWARA ASAKWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA...
Na Obligado-Mtwara.Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamtafuta Zuhura Ismail Mkazi wa Halmashauri ya Nanyamba Mkoani Mtwara kwa Kosa la Kumuua Aliyekuwa Mume wake kwa Kuchoma nyumba waliyokuwa wakiishii...
View ArticleVIJANA NCHINI WATAKIWA KUWA WAZALENDO
Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) Jeremiah John Jilili akisisitiza jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu mchango wa vijana kuelekea uchumi wa viwanda leo...
View ArticlePOLISI TANGA YAWATAHADHARISHA WANANCHI KUELEKEA SIKUKUU
JESHI la polisi mkoani Tanga, limewahadharisha wananchi kuelekea katika msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa amani kama ulipuaji baruti na fataki ikiwemo...
View ArticleRAIS WA TFF WALLACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia (kulia, akiwa na Makamu wake Michael Wambura) atakutana na Wahariri wa Habari za Michezo Jumatano Desemba 27, 2017.Pamoja na mambo...
View ArticleBALOZI SEIF ATAKA UWEKEZAJI KWENYE UCHAPISHAJI WA VITABU VYA KISWAHILI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati umefika kwa Wafanyabiashara wakubwa Nchini kuwekeza katika uchapishaji wa Vitabu vya Kiswahili pamoja na kujenga Maduka makubwa ya...
View ArticleKITABU CHA KULETA MABADILIKO CHAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Kampuni ya Viva Legency inayohusika na mafunzo na ushauri elekezi imekuja na kitabu kinachojulikana kama "SOTE TUNAWEZA" kikiwa na lengo la kusaidia harakati za...
View ArticleYANGA YATEUA KAMATI YA MABADILIKO IKIONGOZWA NA ALEX MGONGOLWA
Katibu Mkuu wa Yanga, Boniface MkwasaNa Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Klabu ya Yanga imeuanza rasmi mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji kwa kumteua Wakili Alex Mgongolwa kuwa Mwenyekiti wa...
View Article
More Pages to Explore .....