TANESCO "YALIA" NA WAHARIBIFU WA MAZINGIRA MITO INAYOLISHA BWAWA LA MTERA
Taswira ya daraja la Mtera, ambalo pia hutumika kama milango ya kupitishia maji ya kusukuma mashine za kufua umeme. picha hii imepigwa Desemba 20, 2017.NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, MteraUHARIBIFU wa...
View ArticleMVUA KUBWA YA UPEPO MKALI YASABABISHA MAAFA VIJIJI VYA UKENYENGE NA NEGEZI...
Na Robert Hokororo, KishapuMvua kubwa ya upepo mkali imesababisha maafa katika vijiji vya Ukenyenge na Negezi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ambapo imeezua paa za nyumba 37 pamoja na majengo...
View ArticleMASHEHA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA WAPEWA TAARIFA YA UJENZI WA BARABARA
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Usafirishaji na Mawasiliano Mustafa Aboudjumbe kushoto akijibu maswala mbalimbali yalioulizwa katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa...
View ArticleANTU MANDOZA KUTIMIZA NDOTO YAKE YA KUIGIZA NA RAMSEY NOAH KUTOKA NCHINI NIGERIA
Antu Mandoza akiwa katika picha ya pamoja na Muigizaji nyota wa Filamu kutoka nchini Nigeria Ramsey Noah wakiwa katika picha ya pamoja.Mwigizaji nyota wa filamu na Mkongwe wa tasnia hiyo kutoka...
View ArticleYALIYOJIRI KATIKA ZIARA YA KAMISHNA WA UHAMIAJI ZANZIBAR, MKOA WA KASKAZINI...
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Bwana Omari Khamis Othman Akizungumza na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari M. Sururu (kulia) na Ujumbe aliofuatana nao alipomtembelea ofisini kwake, wakati...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUAHIRISHWA KWA FAINALI ZA MISS TANZANIA 2017
Kampuni ya Lino International Agency Limited, waandaji wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania tunapenda kuwajulisha wapenzi, mashabiki na wadau wa tasnia ya urembo kwamba hakutakuwa na Fainali za...
View ArticleWAFANYAKAZI WA ZANTEL WASHIRIKI KUFANYA USAFI NA KUKABIDHI VIFAA KWA...
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel wakishiriki kufanya usafi katika hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, zoezi ambalo lilifanyika hivi karibuni mjini Zanzibar. Tofauti na kufanya...
View ArticleNAIBU WAZIRI SHONZA AFUNGA MICHEZO YA VYUO VIKUU TANZANIA (TUSA) MJINI DODOMA
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza na washiriki wa Michizo ya Vyuo Vikuu (Hawapo Pichani) wakati akifunga fainali za Michezo hiyo iliyofanyika Chuo...
View ArticleSELCOM YAUNGA MKONO BENKI YA EXIM TANZANIA KUBORESHA HUDUMA ZA KIFEDHA NCHINI.
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania, Selemani Ponda na Mkurugenzi wa Mikakati wa kampuni ya Selcom, Benjamin Mpamo wakizindua Cashpoint ATM ambayo itawawezesha watumiaji wamobile money, Visa...
View ArticleJUBILEE INSURANCE YATOA ZAWADI KWA WANAFUNZI WATANO WALIOSHINDA SHINDANO LA...
Wanafunzi watano wa shule za serikali hapa nchini wameshinda shindano la uchoraji ambazo zinaeleza tukio halisi ambalo limetaribiwa na Jubilee Insuarance. Walioshinda wamepewa zawadi za bima za afya...
View ArticleMKUU WA JESHI LA POLISI, IGP SIMON SIRRO AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI LINDI...
IGP Simon Sirro akisalimiana na Kaimu Mkuu wa Mkoa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mh Shaibu Ndemanga baada ya kuwasili mkoani Lindi katika ziara ya siku moja ya kuongea na Askari. Picha na Jeshi...
View ArticleKONGAMANO LA KWANZA LA KIMATAIFA LA KISWAHILI LIMEFUNGULIWA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohammed Shein akikunjuwa Kitambaa kinachoonesha Picha ya Mtunzi mahiri wa Vitabu na aloeneza lugha ya kiswahili kwa njia hio Muhammed...
View ArticleTAKUKURU TANGA YAWAFIKISHA MAHAKAMANI WAHASIBU WAWILI WA OFISI YA MKUU WA...
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tanga(Takukuru) imewafikisha mahakamani wahasibu wawili wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tanga Josiah Mwaipela na Julius Idana kwa mashtaka matatu ya rushwa....
View ArticleDK.MABODI ATOA NASAHA KWA VIONGOZI
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dk. Abdulla Juma Mabodi amewataka viongozi wa ngazi mbali mbali waliochaguliwa kwa ajili ya kuwatumikia wanachama kujiandaa...
View ArticleMIAKA MITANO YA WAKALA KATIKA UTEKELEZAJI WA SERIKALI MTANDAO NCHINI
Serikali Mtandao ni matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika taasisi za umma kwa lengo la kutoa huduma bora kwa haraka, zilizo za gharama nafuu, zinazofikiwa kwa urahisi,...
View ArticleBenki ya TPB yachezesha droo ya pili ya Western Union
Benki ya TPB Desemba 21, 2017 imechezesha droo ya pili ya Western Union na kupata washindi 7 kutoka matawi mbalimbali . Washindi 5 walipata simu za mkononi na 2 walipata kompyuta mpakato.Majina hayo...
View ArticleLUKUVI AMALIZA MGOGORO WA ARDHI VINGUNGUTI
Na. Hassan Mabuye, Wizara ya ArdhiWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi ameumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu kati ya wakazi wa Mtaa wa Mtambani Vingunguti na...
View ArticleWAZIRI KALEMANI AAGIZA WOTE WALIOLIPIA UMEME 2017 WAUNGANISHIWE KABLA YA...
Na Veronica Simba .Serikali imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wateja wote walioomba na kulipia huduma hiyo mwaka 2017 wanaunganishiwa kabla ya Desemba 30 mwaka huu.Waziri wa...
View Article
More Pages to Explore .....