MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA MKUTANO...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia kwa kugonga mkono pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM kwa upande wa Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein...
View ArticleNAIBU WAZIRI MHE.MANYANYA AFUNGUA RASMI MKUTANO WA VIDEO CONFERENCE
Naibu Waziri Mhe. Injinia Stella Manyanya afungua rasmi mkutano kwa njia ya Mtandao yaan (Video Conference) wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji na Mamlaka za mikoa na Halmashsauri za Wilaya...
View ArticleHALI YA UZALISHAJI UMEME VITUO VYA PANGANI HYDRO SYSTEM VIKO KATIKA HAKLI...
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, KorogweVITUO vya uzalishaji umeme wa maji vya Pangani Hydro Systems, ambayo inahusisha vituo vitatu, New Pangani, kilichoko wilayani Muheza, Hale wilaya ya Korogwe, na...
View ArticlePANGANI COUNCIL AND OTHER GOVERNMENT ORGANS WARNED AGAINST PUTTING HITCHES ON...
Pangani District Council and other Government organs have been advised against putting hurdles on the work of a non-government organization, UZIKWASA that is spearheading efforts to change traditional...
View ArticleWATANZANIA WAASWA KUPENDA BIDHAA ZA NDANI
Watanzania wameshauriwa kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa nchini ili waweze kukuza soko la ndani na uchumi kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Meneja Masoko, Tafiti na Maendeleo wa BANK OF AFRICA (BOA),...
View ArticleWadau Wa Michezo Jitokezeni kuibua Vipaji Vya Michezo Mikoani-Mhe.Shonza
*Na Lorietha Laurence-WHUSM, Mbeya Vijijini*Naibu Waziri wa Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza ametoa wito kwa wadau wa michezo nchini kujitokeza kwa wingi kudhamini mashindano ya...
View ArticleKUMBILAMOTO AKABIDHI PIKIPIKI KWA KUNDI LA VIJANA WAJASILIAMALI VINGUNGUTI
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamaoto akizungumza na Wakazi wa Vingunguti juu ya namna alivytokeleza ahadi zake kwa kata hiyo alizoahidi wakati wa uchaguzi kabla...
View Article‘AU REVOIR’ GCAM CREDIT SCORING TEAM
Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) has paid a farewell to the delegation from Group Credit Agricole of Morocco (GCAM) which was in country for 11 days mission.The delegation was in Tanzania...
View Article· Airtel yatangaza bando kuongezeka GB na muda wa matumizi zaidi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imekutana na watangazi wa radio mbalimbali nchini na kuongelea ongezeko la faida za mteja katika huduma za intaneti zinazotolewa na Airtel kupitia...
View ArticleSAFARI YA WAZALENDO 47 ILIVYOINGIA SIKU YA PILI WAKATI WAKIELEKEA KILELE CHA...
Baada ya kupumzika katika kituo cha Mandara katika siku ya kwanza ,Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara aliongoza Wazalendo 47 kutoka jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),Wanahabari,Marafiki wa...
View ArticleVIONGOZI WA KIJIJI CHA MSOSA WILAYANI KILOLO WAVULIWA MADARAKA KWA NGUVU
mtendaji wa kata ya Ruaha Mbuyuni Maiko Chabili akiwafafanulia jambo wananchi wa kijiji wakati wa mkutano wa hadhara ulikuwa na lengo la kuwafukuza kamati ya mipango na fedha ya kijiji kwa matumizi...
View ArticleCBA BANKI WATOA MSAADA WA MATOFARI NA SARUJI KWA SHULE YA SEKONDARI YA KAWE...
Mkurugenzi wa benki ya CBA Tanzania, Gift Shoko(wapili kulia, Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki wa benki ya CBA kwa wateja binafsi, Julius Konyani na mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kawe...
View ArticleMAPENDEKEZO YA MUSWAADA WA KUTOA TAARIFA YAFIKA PAZURI
Imeelezwa kuwa kutungwa kwa sheria ya kulinda taarifa binafsi kutapunguza uhalifu unaohatarisha amani na kuongeza usalama wa mtu, jamii, nchi na dunia kwa ujumla.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,...
View ArticleNYUMBA ZAIDI YA 41 ZAHARIBIWA VIBAYA KUFUATI MVUA MKUBWA MKOANI RUVUMA
Nyumba zaidi ya 41 zimeharibiwa vibaya kufuatia mvua kubwa iliyonyesha iliyoambatana na upepo mkali na kuharibu miundombinu ya shule ya sekondari matimila wilayani Songea mkoani Ruvuma,Kufuatia...
View ArticleOFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju amesema, kutokana na mchango mkubwa wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu katika maendeleo ya kiuchumi, usalama, utawala wa sheria na utawala bora, Kuna...
View ArticleBharti Airtel signs agreement to acquire Millicom’s operations in Rwanda
· Acquisition to consolidate the Rwandan telecom market and position Airtel as a strong number 2 operator in Rwanda with revenues of over USD 80 million and a revenue market share of over 40%·...
View ArticleTAARIFA KWA YA KUAHIRISHA KIKAO CHA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
===== ===== ===Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kuwatangazia Vyama vya Siasa na umma kwa ujumla kuwa kikao na Semina ya Baraza la vyama vya Siasa vilivyokuwa vifanyike siku ya tarehe 21 na 22...
View ArticleWAZIRI JAFO: Wakuu wa Wilaya Simamieni kazi zinazofanywa na TARURA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh. Selemani Jafo amewaagiza Wakuu wa Wilaya wote nchini kusimamia kazi zinazofanywa na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)...
View ArticleSERIKALI GEITA YAJIPANGA KUTATUA TATIZO LA MAJI KWA WANANCHI
Na Joel Maduka, GeitaSerikali mkoani Geita imejipanga kutatua kero ya maji kwa wananchi inayowakabili wananchi kwa muda mrefu.Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ametoa kauli hiyo...
View Article
More Pages to Explore .....