Balozi wa Tanzania nchini Rwanda azindua rasmi mauzo ya magazeti ya TSN...
Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ali Idi Siwa (wa tatu kushoto), Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Dk. Jimmy Yonaz (wa pili kushoto) pamoja na vingozi wengine wakiwa...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo.
View ArticleMADAKTARI NA WATOA HUDUMA ZA AFYA WATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA MFANYAKAZI...
KAIMU Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Dkt. Yahya Msuya, (pichani juu), amewataka madaktari na watoa huduma za afya, waliokuwa wakishiriki mafunzo ya wiki moja ya kufanya tathmini ya ulemavu...
View ArticleWATOTO 82 WENYE MATATIZO YA MOYO YA KUZALIWA NAYO WAFANYIWA UPASUAJI WA...
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mradi wa Little Hearts wa nchini Saudi Arabia ambao ni moja ya mradi wa Afya ulioko ndani ya Taasisi ya Msaada ya Muntada yenye makao Makuu...
View ArticleMhe. Samia asema : Ofisi yangu imekuja na agenda ya kuifanya Dodoma kuwa ya...
Na Beatrice Lyimo, MAELEZO-DODOMAMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehamia rasmi Makao Makuu ya Nchi Dodoma leo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli...
View ArticleTBL KUWEKEZA KIWANDA KIKUBWA CHA BIA MKOANI DODOMA
Benny Mwaipaja, WFM, DodomaWAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia-TBL, Bw. Roberto Jarrin ambaye ameahidi kuwa kampuni...
View ArticleSAMAKI WACHANGA NA WAZAZI ZAKAMATWA SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA MWALONI...
Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Abdalla Ulega jana amekamata samaki aina ya sangara wachanga na wazazi tani 11 waliokuwa wakitoroshwa kwenda nchi jirani ya DRC kwa kukwepa kulipa...
View ArticleKUWAIT YALAANI MAUAJI YA WANAJESHI WA TANZANIA HUKO DRC
Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Al-Najem (wakwanza kushoto) ameungana na mamia ya viongozi wa Serikali akiwemo Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Spika...
View ArticleUKARABATI WA SHULE KONGWE WAWAKUNA WANAFUNZI
Zoezi la ukarabati wa shule kongwe 89 hapa nchini limeonyesha kupandisha hamasa ya wanafunzi kimasomo kutokana na kubadilika kwa mazingira ya kujifunzia kuwa bora zaidi ikilinganisha hali ya awali...
View ArticleMAVUNDE AWATAKA VIJANA WASOMI KUUNGA MKONO JITIHADA ZA RAIS MAGUFULI KATIKA...
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi,Vijana na Ajira Anthony Mavunde amewataka vijana wasomi wa nchi kuwa mstari wa mbele kuunga mkono kazi nzuri na kubwa anayofanya Rais John Magufuli katika...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHAMIA DODOMA RASMI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa wakati akiwasili kwenye hafla fupi ya...
View ArticleWATOTO WENYE SARATANI WALA KRISMASS NA WAFANYAKAZI WA SOUTHERN SUN HOTEL
Wafanyakazi wa hoteli ya Southern Sun wakishiriki michezo na wazazi wa watoto wenye saratani wanaopata matibabu kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili, katika Taasisi ya Tumaini la Maisha Tanzania...
View ArticleSUA kuokoa asilimia 40 ya mazao yanayoharibiwa na panya shambani
Na Judith Mhina - MAELEZOMojawapo ya sababu zinazowakosesha Wakulima kupata mazao mengi shambani ni viumbe hai waharibifu ambao hushambulia mbegu au mazao yenyewe kabla na baada ya kuvunwa. Kutokana na...
View ArticleDKT MWANJELWA AAGIZA BODI YA KAHAWA KUTOCHELEWESHA MALIPO KWA WAKULIMA
Na Mathias Canal, KilimanjaroKaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya serikali iliyopewa jukumu la Kusimamia sekta ya Kahawa nchini Ndg Primus Kimaryo ameagizwa kusimamia na kuwalipa haraka wakulima malipo...
View ArticleDKT NDUGULILE AFANYA ZIARA MKOANI ARUSHA,AKAGUA NA KUTOA MAELEKEZO...
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la drafti akikagua na kutoa maelekezo juu ya upatikanaji wa dawa katika baadhi ya vituo vya afya...
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA UHAMIAJI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WASTAAFU
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na watangulizi wake kilichofanyika jijini Dar es salaam. Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa kwanza wa kike wa Idara ya...
View ArticleNATIONAL STAKEHOLDERS DIALOGUE ON EARLY AND UNINTENDED PREGNANCY AND ESA...
BAGAMOYO 18 – 23 DECEMBER 2017UNESCO, in close collaboration with Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS) will hold a national stakeholders dialogue as part of a broader situational analysis aimed at...
View Article
More Pages to Explore .....