Waziri Mahiga awaasa Wabunge Wateule wa Tanzania kwenye Bunge la nne (4) la...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga(katikati) akiongea katika kikao cha uongozi wa Wizara hiyo na Wabunge Wateule wa Tanzania kwenye Bunge la...
View ArticleKaimu Mkurugenzi TAA, Ataka Madereva Wa Magari Ya Zimamoto kuyatunza
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela amewataka madereva wanaoendesha magari ya zimamoto na uokoaji kwenye viwanja vyote vya ndege Tanzania...
View ArticleYANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania bara timu ya soka ya Yanga imepangwa kundi moja na Singida United katika ushiriki wa michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu...
View ArticleMSAMA AMSHUKURU RAIS DKT. MAGUFULI KWA UAMUZI WA KUWASAMEHE WASANII BABU SEYA...
Na Kajunason/MMG. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Action Mart, Alex Msama amshukuru Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kitendo cha kutoa msamaha kwa wanamuziki maarufu nchini, Papii Nguza (Papii Kocha)...
View ArticleKUMBE UNGA WA MUHOGO HUTENGENEZEA KIWASHIO MOTO CHA KIBIRITI?!!
Na Richard Mwaikenda, Mkuranga UNGA wa muhogo unatumika kutengenezea kishungi cha kuwashia moto katika vibiriti.Jambo hilo lilithibitishwa na Mkurugenzi wa Kiwanda cha kusaga muhogo cha Ukaya,...
View ArticleWACHIMBAJI WA JASI WALILIA SOKO LA UHAKIKA
Wachimbaji wa Madini ya Jasi Mkoani Singida wametakiwa kufanya shughuli zao kwa uaminifu ili kujihakikishia soko la uhakika.Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ametoa wito huo Desemba 11, 2017...
View ArticleOFISI NZIMA YA MKIKITA WAHAMIA SHAMBANI VIKINDU KUPANDA MCHAICHAI
Na Richard Mwaikenda.OFISI nzima ya Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita/Livinggreen), umehamia shamba Vikindu kuanza kampeni ya kupanda mchaichai.Katika kampeni hiyo ya aina yake...
View ArticlePROF. MBARAWA ATAKA UJENZI RELI YA KISASA KUHARAKISHWA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa ametoa wito kwa mkandarasi Yapi Merkezi na Motaengil Africa wanaojenga reli ya kisasa (Standard Gauge Railway), kufanya kazi kwa...
View ArticleRC PWANI AFUNGA MAFUNZO YA SUMA JKT RUVU
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya kampuni ya ulinzi ya Suma JKT kwenye kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha 832 Kj cha Ruvu Mlandizi - Kibaha....
View ArticleDC MUFINDI: MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA UTASAIDIA KUTOKOMEZA RUSHWA KWENYE...
Na Afisa Habari MufindiMkuu wa Wilaya ya Mufindi Mh. Jamhuri William amesema, endapo Ofisi za Umma hazitodhibiti ipasavyo mifumo na urasimu uliowekwa kwenye Ofisi za Serikali, masuala hayo yanaweza...
View ArticleUTELEKEZAJI FAMILIA 'WASHAMIRI' KATA YA SARANGA JIJINI DAR
KESI za wanaume kutelekeza familia zao zimejitokeza kwa wingi Kata ya Saranga eneo la Kimara Temboni jijini Dar es Salaam kwenye kituo maalumu cha muda kilichoendeshwa kutoa huduma za pamoja kwa...
View ArticleWAZIRI KALEMANI AKAGUA MIRADI YA UMEME REA III KONGWA NA KONDOA
Na Veronica Simba – DodomaWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amekagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III) katika Wilaya za Kongwa na Kondoa mkoani...
View ArticleWADAU WA TAKWIMU WAKUTANA KUJADILI NA KUTATHMINI UTEKELEZAJI WA MALENGO YA...
Na Emmanuel GhulaWADAU wa Takwimu nchini wamekutana ili kujadili upatikanaji wa Takwimu za msingi na uzalishaji wa takwimu na mapungufu yaliyopo katika kupima na kufuatilia utekelezaji wa mipango ya...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA TAWI JIPYA LA BENKI YA CRDB MJINI DODOMA LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akifungua rasmi Tawi la Benki ya CRDB lililopo katika jengo la LAPF mjini wa Dodoma leo. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu mstaafu...
View ArticleMKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP SIMON SIRRO AKIWA ZIARA MKOANI KIGOMA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa kwanza kushoto akisalimiana na viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kigoma baada ya kumaliza kikao katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleTUWEKE MKAKATI MAALUMU KUFUATILIA VIWANDA VIPYA-MHANDISI MANYANYA
Na Said Mwishehe wa Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya amesema ipo haja ya kuwa na mkakati maalumu wa kufuatilia viwanda vinavyoanzishwa nchini ili...
View Article
More Pages to Explore .....