WAZIRI MWAKYEMBE KUHUDHURIA UZINDUZI WA BARAZANI ENTERTAINENT
Na Agness Francis Blog ya jamiiWaziri wa habari utamaduni na michezo Harson Mwakyembe, amehudhuria uzinduzi wa mradi wa Barazani Entertaiment ambapo mradi huo ulianza kutengenezwa miaka minne...
View ArticleIGP SIRRO AONGOZA HARAMBEE YA KUCHANGIA UKARABATI WA MAKAZI YA ASKARI MKOANI...
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwasili kwa ajili ya kushiriki harambee ya kuchangia ukarabati wa nyumba za askari wa Jeshi hilo, ambapo harambee hiyo iliwashirikisha wadau mbalimbali...
View ArticleTHE 8TH INTERNATIONAL TÜBINGEN AFRICA FESTIVAL 2018 IN GERMANY IT IS NOW...
The 1 year break is over, its time to get back to business as usual and this time on a big note. The festival is now called GAIEXPO as it has included African Small and Medium enterprises worldwide....
View ArticleTradeMark East Africa Kuwasaidia Wafanyabiashara Wanawake wa Tanzania,...
Taasisi ya TradeMark, East Afrika itawasaidia wafanyabiashara wanawake wa Tanzania, kuweza kufanya biashara ya kimataifa kwa kuyafikia masoko ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, hata nje ya Afrika. Ahadi...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AFUNGUA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA KUSINI UNGUJA
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika ukumbi wa mkutano katika hoteli ya coconut marumbi wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
View ArticleKONGAMANO LA PETROLI AFRIKA MASHARIKI KUFANYIKA KENYA 2019
Na Veronica Simba - KampalaKongamano na Maonesho ya Tisa ya masuala ya Petroli kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, yanatarajiwa kufanyika nchini Kenya, Machi 2019. Azimio hilo limepata baraka za...
View ArticleKUMSOMESHA MTOTO NI IBADA KUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU YA KILA SIKU - WAZIRI...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo akizungumza wakati Mahafali ya Shule Mikocheni Islamic ambapo aliwaasa wazazi kuwataka kuwekeza katika kuwapatia wtoto...
View ArticleWAZAZI WEKEZENI KWENYE ELIMU YA WATOTO - MAMA MARY MAJALIWA
MKE wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa amewaomba wazazi wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi wahakikishe wanatumia sehemu ya kipato chao katika kuwekeza kwenye elimu ya watoto wao. Amesema elimu ndiyo...
View ArticleZIARA YA NAIBU WAZIRI MHANDISI MASAUNI NA WAZIRI BARANDAGIYE WA BURUNDI...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza katika mkutano wa hadhara na wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi za Nduta na Mtendeli, mkoani Kigoma, ikiwa ni ziara...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MALIASILI, JAPHET HASUNGA ATOA MIEZI MITATU WANANCHI WALIPWE...
Na Hamza Temba, Mbarali - MbeyaNaibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga ametoa miezi mitatu kwa uongozi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania TAWA kukamilisha malipo ya fidia ya...
View ArticleWAJASIRIAMALI JIJI LA ARUSHA WAPATIWA MKOPO WA MILIONI 605
Na Woinde Shizza,ArushaJumla ya Shilingi milioni 605 zimetolewa kama mkopo wa kuwanufaisha wajasiriamali walioko kwenye vikundi vya kinamama na vijana pamoja na walemavu waliopo katika Halmashauri ya...
View ArticleWAZIRI KIJAJU AWATAKA WAHITIMU CHUO CHA UHASIBU ARUSHA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
Na Pamela Mollel,ARUSHA NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Ashatu Kijaju ametoa onyo kali kwa wahitimu wa Uhasibu nchini kujiepusha na rushwa kwa kutaka utajiri wa haraka kuacha tabia hiyo kwani...
View ArticleSimba SC kwenda na kasi ya Rais Magufuli kwa kuzalisha ajira - MO
Mwekezaji mpya katika klabu ya Simba, Mohammed Dewji MO amesema amejipanga kushirikiana na wanahisa wenzake wa klabu hiyo kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe...
View ArticleMchango wa Sekta Binafsi Kwenye Elimu Wapongezwa, 288 Wahitimu Udaktari Chuo...
Mchango wa Sekta Binafsi kwenye utoaji wa Elimu ya Juu nchini Tanzania, umepongezwa na kuelezewa kuwa unalisaidia Taifa kukidhi mahitaji ya wataalamu wa fani mbalimbali, hivyo kusaidia kwenye...
View ArticleTANZIA NA HARAMBEE YA MSIBA WA MRS ALICE MWANYALALA HUKO READING, UK
Tanzania Reading Association tunasikitika Kutangaza Kifo cha Mtanzania Mwenzetu, Mrs. Alice Mwanyalala (pichani) Kilichotokea Royal Berkshire Hospital. Mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa...
View ArticleTICTS FAMILY DAY BONANZA ILIVYOFANYA JIJINI DAR
Kamati ya Maandalizi ya Bonanza la Familia za Wafanyakazi wa Kampuni ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es salaam (TICTS), ikiwa katika picha ya pamoja wanati wa sherehe hiyo,...
View Article
More Pages to Explore .....