MTANDAO WA UTEPE MWEUPE (WHITE RIBBON) WAZUNGUMZA NA WAKAZI WA KIJIJI CHA...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.WANANCHI katika kijiji cha Maore wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro,wamesema tatizo la vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi pamoja na watoto...
View ArticleWAZIRI MBARAWA ATAKA BODI YA TPA KUFANYA MAAMUZI KWA WAKATI
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akitoa maelekezo kwa wajumbe wa Bodi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mhandisi Deusdedit...
View ArticleWAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA MGENI RASMI MAHAFALI YA 33 YA CHUO KIKUU HURIA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, baada ya kuwasili kwenye Mahafali ya 33 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania...
View ArticleKATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO...
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika...
View ArticleCHINA YAAHIDI KUFADHILI UJENZI WA RELI KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA (SGR)
Benny Mwaipaja, Dar es Salaam.BALOZI wa China hapa nchini, Wang Ke amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango na kuahidi kuwa nchi yake iko tayari kushawishi...
View ArticleMWAMUZI MTANZANIA KUCHEZESHA KOMBE LA DUNIA KWA WANAWAKE 2018 NCHINI URENO
Mtanzania Jonesia Rukyaa Kabakama ameteuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kuchezesha fainali zijazo za Kombe la Dunia kwa wanawake (Algarve Cup) zitakazofanyika nchini Ureno,...
View ArticleWATEULIWA KUUNDA KAMATI NDOGONDOGO ZA MAANDALIZI YA AFCON U17/2019...
Ukiacha Kamati Kuu ya kuratibu michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 17, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefanya...
View ArticleKAMANDA WA POLISI MKOA WA MWANZA AKANUSHA TAARIFA ILIYOPO KATIKA GAZETI LA...
LEO TAREHE 30.11.2017 KAMANDA WA POLISI MKOA WA MWANZA NAIBU KAMISHINA WA POLISI AHMED MSANGI (PICHANI), AMEKANUSHA TAARIFA ILIYOPO KATIKA GAZETI LA MWANANCHI LA TAREHE 30/11/2017, TOLEO NAMBA 6334,...
View ArticleMama wa mitindo Bi. Asya Idarous Khamsin Kutikisa Desemba 9 huko Oakland...
Mkongwe katika mitindo nchini Tanzania na Marekani maarufu kama Mama wa mitindo Bi. Asya Idarous Khamsin anatarajiwa kuonyesha mitindo yake mbalimbali ya ubunifu wa mavazi katika sherehe ya maalum ya...
View ArticleWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ARDHI (ARU) WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa akiwa amemkabidhi cheti cha shukrani mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho aliyefanya vizuri kwenye masomo yake, wakati wa hafla ya kuwakabidhi...
View ArticleSERIKALI HAIJARUHUSU KOZI ZA FOUNDATION CHUO KIKUU HURIA
SERIKALI haijatoa ruhusa kwa Chuo Kikuu Huria (OUT) kiendelee kutoa kozi ya ‘Foundation’ kama ambavyo imedaiwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii.Baadhi ya mitandao ilitoa taarifa yenye kichwa cha...
View ArticleWaziri Mpina Aagiza Mikataba Ya Wawekezaji Wa Vitalu Vya Ranchi Ya Taifa...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina ameagiza Mtendaji Mkuu wa Ranchi za Mifugo za Taifa, Profesa Philemoni Wambura kuvunja mikataba ya wawekezaji wa vitalu vyenye jumla ya hekta 68,238 kwenye...
View Article
More Pages to Explore .....