REPOA YAZINDUA MATOKEO YA NA FAIDA ZA UTUMAJI WA FEDHA KWA MTANDAO KATIKA...
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la uwezeshaji wa kiuchumi nchini(NEEC),Bengi Issa akizungumza wakati alipokuwa akifungua Warsha ya Faida za kumuwezesha Mwanamke kiuchumi kupitia mpango wa matumizi ya fedha...
View ArticleKampuni ya Chai Bora yainunua kampuni ya Dabaga
Katika kutekeleza sera ya uwekezaji nchini ili kuendana na kasi ya serikali ya kuwa na Tanzania ya Viwanda ifikapo mwaka 2025, kampuni ya Chai Bora imeinunua kampuni ya Dabaga iliyokuwa ikitamba na...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI SINGIDA LEO
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenuyekiti wa CCM wa Mkoa wa Singida, Martha Mlata baada ya kuwasili Ikulu Ndogo ya Singida Novemba 29, 2017. Kesho Mheshimiwa Majaliwa anatarajiwa kuwa...
View ArticleDkt. Ndugulile kushiriki mbio za Kigamboni Marathoni, Disemba 2 Mwaka huu.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza wakati akiwahamasisha wakazi wa Dar es Salaam kufika katika mbio za...
View ArticleMwanza mko tayari? Her initiative inakuletea PANDA msimu wa nne
Mwanza mko tayari? Her initiative inakuletea PANDA msimu wa nne "Innovation in everything", (tamasha la ujasiriamali , uvumbuzi na ajira kwa wanafunzi wa kike vyuo vya Sauti, Cbe, Btc, Feta, Bugando)...
View ArticleMaonesho ya Utalii wa Tanzania Saudi Arabia yalivyofana
Maonyesho ya Utalii wa Tanzania yalivyofanyika mjini Riyadh nchini Saudi Arabia kwa watu mbalimbali kutembelea kwenye maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia. Aidha...
View ArticleMHE MWANJELWA AWATAKA WAJUMBE WA JUMUIYA ZA CCM KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU...
Wajumbe wa Jumuiya mbalimbali za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuchagua viongozi waadilifu, weledi na wenye maono ya kuziongoza Jumuiya hizo ila kuendana na kasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa...
View ArticleMBUNGE WA ILEJE JANET MBENE AZINDUA NAMBENE CUP
Mbunge wa Wilaya ya Ileje, Janet Mbeneakizungumza wakati wa Uzinduzi wa Nambene Cup inayoshirikisha timu za Wilaya nzima kutoka kila Kata ambapo Mbunge huyo ametoa ufadhili wa Jezi na Zawadi ya...
View ArticleKILIMANJARO STARS YAONGEZA WATATU, KULIFUATA KOMBE LA CHALENJI KESHO
LIFUATA KOMBE LA CHALENJI KESHOKocha Mkuu wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Ammy Conrad Ninje, ameongeza nyota watatu katika kikosi chake mara baada ya Baraza la Soka la...
View ArticleDAWA ZA SARATANI ZAPATIKANA KWA ASILIMIA 80 % KUTOKA ASILIMIA 4%
Na Dotto MwaibaleTAASISI ya Saratani ya Ocean Road wameipongeza Bohari ya Dawa (MSD), kwa usambazaji wa dawa katika taasisi hiyo na maeneo mengine nchini.Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AZINDUA HUDUMA MPYA YA WCF YA WAAJIRI KUJISAJILI KWENYE...
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID. ARUSHAWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama, amezindua huduma mpya itakayowawezesha waajiri...
View ArticleKUMBUKUMBU
The Late Col. Godfrey K. Makaya Leo tarehe 30/11/2017, baba yetu mpendwa umetimiza miaka 10 tangu ututoke, unakumbukwa sana na familia yako, ndugu, jamaa na...
View ArticleTANESCO: HITILAFU KWENYE GRIDI YA TAIFA ASUBUHI HII
MAJIRA ya saa 7:20 leo hii Alhamisi Novemba 30, imetokea hitilafu kwenye Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha umeme kukatika takriban kwenye mikoa yote iliyounganishwa kwenye Gridi hiyo.Kwa mujibu wa...
View ArticleMWANJELWA AMUAGIZA MKURUGENZI KUMSIMAMISHA KAZI MSIMAMIZI WA ZAO LA PARETO...
Na Mathias Canal, MbeyaNaibu Waziri Wa Wizara ya Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa Jana Novemba 29, 2017 amemuagiza Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kumsimamisha kazi Afisa Kilimo Wilaya ya Mbeya...
View ArticleMachinjio ya kisasa ya Ruvu lazima yakamilike ifikapo 2018 - Mpina
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga J. Mpina ameagiza machinjio ya kisasa ya Ruvu yaliyotelekezwa kwa muda mrefu kujengwa na kukamillika ifikapo Desemba, 2018.Maagizo hayo ameyatoa jana katika...
View ArticleMachinjio Ya kisasa Ya Ruvu Lazima Yakamilike Ifikapo 2018 – Mpina
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga J. Mpina ameagiza machinjio ya kisasa ya Ruvu yaliyotelekezwa kwa muda mrefu kujengwa na kukamillika ifikapo Desemba, 2018.Maagizo hayo ameyatoa jana katika ranchi...
View Article
More Pages to Explore .....