Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110016 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZOEZI LA UPIGAJI CHAPA MIFUGO LASHIKA KASI MANISPAA YA DODOMA

Ofisa mifugo wa Kata ya Chahanga katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma William Gervas akimpiga chapa Ng'ombe wakati wa zoezi la upigaji chapa mifugo linaloendelea katika Halmashauri hiyo. PICHA NA...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mwakyembe afanya ziara BASATA kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ukumbi...

Mtendaji Mkuu Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrey Mngereza (kushoto) akimuonyesha Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (mwenye kofia ya blue) eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI TAMISEMI AZIAGIZA HALMASHAURI KUTUMIA ‘MAFUNDI WAZAWA’ KATIKA...

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Joseph Kakunda akipima kiasi cha saruji kilichowekwa kwenye mchanga katika ujenzi shule ya Sekondari Iguguni Wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGPAHI YAENDESHA WARSHA KWA WAVIU WASHAURI MKOA WA MWANZA

Shirika la Ariel Glaser Pediatric Aids Healthcare Initiative (AGPAHI) linalojihusisha na mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na UKIMWI limetoa warsha kwa Waviu Washauri kutoka mkoa wa Mwanza ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI MIFUGO NA UVUVI ULEGA AAHIDI KUTATUA MGOGORO WA WAKULIMA NA...

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema atahakikishia mgogoro wa wafugaji na wakulima katika Wilaya ya Mkuranga unamalizika kwa kufikia makubaliano yenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshindi wa Milioni 60 za Tatumzuka aamua kuwekeza ushindi wake kwenye elimu

Catherine Triphone wiki iliyopita alitimiza ndoto yake ya kusoma baada ya kushinda milioni 60 za jackpot ya Tatumzuka. Bi Catherine ambaye anaishi na wazazi wake, siku ya jumapili alikuwa nyumbani peke...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA HAI WAKABIDHIWA VYETI

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .MSIMAMIZI wa uchaguzi katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro , Ndugu Yohana Sintoo amesema kuwa zoezi la uchaguzi katika kata tatu zilizokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU MBILI ZA MCHEZO WA BASEBALL ZANZIBAR ZAAGWA

 Mwenyekiti wa Heshima na mfadhili mkuu wa Timu ya Baseball Zanzibar Nd. Shimaoka wanne kutoka kulia akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na wachezaji wa Timu ya Baseball wakati walipofika Wizara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YASISITIZA DESEMBA 31 KUWA UKOMO WA UWEKAGI WA VIGINGI (BEACONS) VYA...

Na Hamza Temba - Wizara ya Maliasili..........................................................................Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga amesisitiza agizo la Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA OFISI YA RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE AKIPONGEZA CHAMA CHA MCHEZO WA BASE BALL TANZANIA KWA KUPATA...

 Mkurugenzi Maendeleo ya Michezo Bw. Makoye Nkenyenge (kulia) akiwatambulisha viongozi wa mchezo wa Base Ball na Soft Ball Tanzania kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AIPONGEZA WCF KWA KUPIGA HATUA KUBWA NDANI YA KIPINDI...

 NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, ARUSHA.WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameupongeza Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), kwa mafanikio ambayo Mfuko umepayata katika kipindi cha muda mfupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAPACITY BUILDING TRAINING OF THE VITONGOJI MAMAS AND BABAS FOR THE UNESCO –...

  Catherine Amri from UNESCO Dar es Salaam conducting a training in Korogwe  282 men and women from selected villages in Tanga region have participated in a three days training organized by UNESCODar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS ALERT:WAZIRI MKUU ABAINI SEMI TRELA 44 ZIKITAKA KUTOLEWA BANDARINI BILA...

Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa (mwenye Tai nyekundu) amefanya ziara ya kushitukiza katika Bandari ya Dar es salaam leo November 29, 2017 na kubaini Kampuni ya NAS ikitaka kutoa Semi Trela 44 bila ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ Supreme la Rock headed for a 3-Day Dar es Salaam Extravaganza Party

US entertainer, Dj Supreme from Seattle, Washington, is set to rock Dar es Salaam this week. The 3 day event will be held in the company of Tanzania’s own DJ Vasley, DJ Sma and DJ FU. The 3 day events...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA AWAMU YA TANO YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI YAFANIKIWA KATIKA...

Tangu kuzinduliwa Dirisha la Ukusanyaji Kodi kidigitali June mosi 2017 (Electronic Revenue Collection System - eRCS) ambalo lilizinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Mhe. Dkt. John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yapokea maelezo ya onyo ya anayedaiwa kuwa malkia watembo.

Na Karama Kenyunko blogu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepokea maelezo ya onyo ya mshtakiwa Yang Feng Glan anayedaiwakuwa malikia wa tembo, ambayo yatatumika kama moja ya kielelezo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILINGI BILIONI 375.4 ZATOLEWA KUONDOA TATIZO LA MAJI MKOA WA SIMIYU

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe aliongoza kikao cha wadau kujadili mradi wa maji katika halmashauri za Mkoa wa Simiyu. Tayari tahmini ya mazingira imekamilika na kazi ya upembuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI AFUNGUA MKUTANO WA UCHAGUZI WA JUMUIYA YA UMOJA WA WAZAZI WA CHAMA...

 Katibu wa Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Uchaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC laendesha zoezi la Upimaji Afya kwa Wananchi wa Songo Songo

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuanzia tarehe 24/11/2017 hadi 25/11/2017 limeendesha zaoezi la upimaji wa magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa Songo Songo ambao wamekuwa wakilazimika...

View Article
Browsing all 110016 articles
Browse latest View live




Latest Images