Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110089 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

New Opportunities In The East African Crude Oil Pipeline(EACOP)

This is a series of articles focusing on the proposed Uganda-Tanzania crude oil pipeline project. My intention is to provide you all the necessary information so we  help the public to effectively...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJIO WA BAADHI YA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI PWANI

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo,akizungumza jambo kuhusu masuala ya uwekezaji baada ya kutembelewa na baadhi ya wawakilishi wa makampuni ya uwekezaji kutoka nchini China.Na Mwamvua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBC NA SANLAM WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

 Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) akisaini mkataba wa ushirikiano katika ya NBC na Kampuni ya Bima ya Sanlam, jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Kulia kwake ni...

View Article

TANGAZO MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 56 YA UHURU WA TANZANIA BARA

​ 3 Attachments

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Wangabo Ameitaka Manispaa Ya Sumbawanga kuboresha Masoko

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameitaka Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha wanaboresha mazingira ya masoko yaliyopo kwenye Manispaa hiyo ili wananchi waweze kupata huduma kwenye maeneo hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kufanya misako, operesheni na doria zenye tija katika maeneo mbalimbali ili kudhibiti uhalifu na wahalifu na limekuwa likishirikiana na wananchi na wadau...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI ULEGA ATEMBELEA KITUO CHA UTOTOLESHAJI VIFARANGA VYA SAMAKI...

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdalla Ulega akimsikiliza kwa makini mmiliki wa Jan's Aqua Centre Johnson Noni anayejishughulisha na ufugaji wa samaki aina ya sato katika kijiji cha Kisayanu kata ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA KIGOMA WAFUNDWA JINSI YA KURIPOTI KUHUSU WAKIMBIZI NA UMAKINI...

Waandishi wa habari wa Mkoa wa Kigoma kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kwenye mafunzo ya siku mbili kuhusu kuripoti habari za wakimbizi na umakini dhidi ya changamoto ya uwepo wa sheria mpya ya habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KIKAO CHA KUJADILI CHANGAMOTO ZA MUUNGANO ZINAZOHUSU...

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akielezea masuala mbali mbali ambayo yamejadiliwa na Mawaziri wa Tanzania Bara pamoja Visiwani....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAUME WATAKIWA KUWA CHACHU YA MABADILIKO KATIKA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA...

 Mgeni Rasmi wa Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia, Theodosia Mhulo kutoka WLAC Akifungua maadhimisho hayo katika ofisi za REDESO zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AKABIDHI KOMBE KWA TIMU YA AFISI KUU ZANZIBAR

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya Afisi Kuu Zanzibar.Bwana Vuai Jecha baada ya timu yake kuibuka mshindi kwakuifunga timu ya Kwahani mabao 3 kwa 1. katika mchezo wa...

View Article

ULIPOFIKIA UJENZI WA JENGO LA ABIRIA (TERMINAL III) UWANJA WA NDEGE DAR ES...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU MZUMBE KUTUNUKU SHAHADA MBALIMBALI KWA WAHITIMU 3461

Makamu Mkuu wa Chuo Taalum, Prof. Ganka Nyamsogoro, akizungumza na waandishi wa habari juu ya mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu Morogoro Novemba 30, 2017, Chuo cha Kampasi ya Mbeya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI, PIA AAGANA NA MABALOZI...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke, alipofika Ikulu Zanzibar kujitambulisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zabuni Mradi wa Umeme wa Stiegler’s yafunguliwa

Zabuni ya Ujenzi wa Mradi wa kuzalisha Umeme kiasi cha MW 2100 kwa kutumia maporomoko ya maji katika Mto Rufiji (Stiegler's Gorge) imefunguliwa leo tarehe 27/11/2017 ambapo Kampuni 81 zilijitokeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Vodacom Pinduapindia lafana jijini Mwanza

Msanii wa muziki wa Singeli Manfongo, akitumbuiza kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki, wakati wa Tamasha la Pinduapindia lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC,kwajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAPAN YAONYESHA NIA KUIJENGA DODOMA KWA MIUNDOMBINU YA KISASA

SHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) limesema liko tayari kushirikiana na Serikali kujenga miundombinu ya kisasa ya usafiri, Nishati ya umeme, maji na usafi wa mazingira katika Makao Makuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA KONDOMU

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalla Ulega  akikata  utepe kushairia  uzinduzi wa mkakati wa kandomu kuelekea maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniania Desemba Mosi. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI ZATAKIWA KUTENGA PESA KUPAMBANA NA UVUVI HARAMU

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akizungumza na wataalam, wanahabari na viongozi wa Wizara hiyo kutoka katika sekta ya Uvuvi, baada ya kuonyeshwa zana zilizokamatwa katika oparesheni maalum ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUNDOZZZ ZAANZA KUTEMBEZWA MAJENGO YA WIZARA YA MAJI, UBUNGO JIJINI DAR

 Baadhi ya Mafundi wa Mabomba ya maji, wakiendelea na zoezi la kuhamisha mabomba katika tenki la maji nje ya Majengo ya Wizara ya Maji, Ubungo jijini Dar es salaam ikiwa ni maandalizi ya kubomoa...

View Article
Browsing all 110089 articles
Browse latest View live




Latest Images