Dkt. Mwakyembe aipongeza TAMWA kwa kuwa na wanachama wanaokidhi vigezo vya...
Na Shamimu Nyaki –WHUSM.Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa pongezi kwa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kuwa na wanachama ambao wanakidhi...
View ArticleDKT. SHIKA: NIKISHINDWA KUNUNUA NYUMBA KWA LUGUMI, NITANUNUA NYUMBA NYINGINE
Tazama video ya Dk. Luis Shika alipofika katika ofisi za Posta.
View ArticleMAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA LEO MKOA WA...
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Simon Haule amefunga wiki ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani mkoa wa Shinyanga yaliyoanza siku ya Jumatatu Novemba 13,2017 katika viwanja vya jeshi la...
View ArticleNZUNDA: MARUFUKU KUINGIA MAKUBALIANO NA NGO's BILA KUPITA TAMISEMI.
NA TIGANYA VINCENT, RS-TABORASERIKALI imepiga marufuku Halmashauri zote nchini kuingia makubaliano na Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali(NGO’S) bila kupitia na kiuhidhinishwa na Ofisi ya Rais ,...
View ArticleWAZIRI MKUU AONGOZA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CWT
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisaini kitabu cha maombolezo,alipo hudhuria msibani kwa aliyekua Katibu Mkuu. Wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Marehemu, Alhaji Yahya Msulwa .leo Novemba,18. 2017....
View ArticleKAIMU MKURUGENZI MKUU NIDA AWASILI MARA TAYARI KWA UZINDUZI WA ZOEZI LA...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu (NIDA), Ndg Andrew W. Massawe amewasili mkoani Mara akiwa ameambatana na Kamishna Generali wa Idara ya Uhamiaji nchini Dkt. Anna Peter Makakala tayari kwa uzinduzi rasmi wa kuanza...
View ArticleDKT. KAYANDABILA: SERIKALI KUENDELEA KUKIJENGEA UWEZO CHUO CHA KODI
SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imesema itaendelea kukijengea uwezo Chuo cha Usimamizi wa Kodi Nchini (ITA) ili kuhakikisha kuwa Chuo hicho kinazalisha Wataalamu bora wenye kukithi...
View ArticleCLOUDS TV yapewa tuzo ya Kituo Bora cha Televisheni 2017
Umoja wa Mataifa kupitia Umoja wa Vijana (YUNA) umetoa tuzo kwa Taasisi na watu binafsi wenye mchango mkubwa katika maisha ya watu barani Afrika.Kupitia tuzo hizo zinazotambulika kama PAHA, kituo cha...
View ArticleBODI YA CHAKUA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA TANI 11.6 YA MAZIWA NA...
Na Ramadhani Ali – MaelezoWafanyabiashara wanaoingiza bidhaa nchini kutoka nje wameshauriwa kutoogopa gharama wakati wa kusafirisha bidhaa zao na wahakikishe wanatumia njia bora za usafirisha ili...
View ArticleSHIRIKA LA POSTA LAFADHILI SHINDANO LA 'NATIONAL SPELLING BEE' TANZANIA
SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Coconut Foundtion lenye Makao yake Makuu Kijitonyama Manispaa ya Kinondoni jijini Dar-es-Salaam, leo hii limewatangaza washindi kumi baada ya kumalizika kwa shindano la...
View ArticleSIKU YA TAKWIMU AFRIKA KUADHIMISHWA KESHO
Na: Veronica Kazimoto,Dar es Salaam,Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yatafanyika kesho tarehe 20 Novemba, 2017 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es...
View ArticleDkt Mahiga, (MB) akamilisha Ziara ya Marekani
Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, MB, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki akamilisha ziara ya Marekani alipokuwa kwa Mwaliko wa Mhe. Rex Wayne Tellerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa...
View ArticleUTAFITI MAPATO NA MATUMIZI KAYA BINAFSI WAANZA TANZANIA BARA
Benny MwaipajaWAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amezindua zoezi la ukusanyaji wa Takwimu za utafiti wa mapato na matumizi ya kaya binafsi Tanzania Bara mwaka 2017/2018, utakaogharimu...
View ArticleRC MAKONDA KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA KIZALENDO.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA ameandaa tamasha la kuwakaribisha Wanafunzi wa Mwaka wa kwanza kwa Vyuo Vikuu vya Mkoa wa Dar es Salaam kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya...
View ArticleKampeni ya Uzalendo na Utaifa kuzinduliwa Disemba nane Mjini Dodoma
Na Shamimu Nyaki –WHUSM.Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo imeandaa Kampeni ya “Uzalendo na Utaifa” inayotarajiwa kuzinduliwa Disemba nane mwaka huu Mjini Dodoma na Rais wa Jamhuri ya Muungano...
View ArticleWATUMISHI WA AFYA BADO WANAHITAJIKA NCHINI.
WATUMISHI wa kada mbalimbali katika sekta ya afya bado wanahitajika nchini ili kuboresha huduma ya afya kwa ajili ya kuokoa maisha ya watanzania ili kuifikisha nchi katika uchumi wa viwanda mpaka...
View Article