Malima afanya ziara ya kushtukiza Kiwanja cha ndege cha Musoma
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Kigoma Malima (aliyenyoosha mkono), akielekeza jambo kwa Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Musoma, Betha Bankwa leo alipotembelea kiwanjani hapo. Meneja wa Kiwanja cha Ndege...
View ArticleDODOMA, SINGIDA KUTUMIA KILIMO CHA UMWAGILIAJI IFIKAPO 2019
Kiongozi wa msafara wa wawakilishi wa kampuni ya Henan Juren Crane Group kutoka Jimbo la Henan nchini China, Wang Yuheng (wa pili kulia) akisisitiza jambo wakati alipokutana na Mkurugenzi wa Maendeleo...
View ArticleSERIKALI YA BURUNDI YANUIA KUWAREJESHA WANANCHI WAKE WALIOKIMBILIA TANZANIA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi wa Tanzania, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza katika mkutano na wakimbizi wa Burundi wanaoishi kambi ya Nyarugusu, iliyoko wilayani Kasulu, mkoani Kigoma....
View ArticleJAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Khamis Juma amewataka wahitimu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kujiendeleza katika fani ya Sheria kwa kuwa na hitaji na hamu ya kujiendeleza zaidi toka...
View ArticleSERIKALI YAKARABATI VYUO 10 KWA SH. BILIONI 12 - WAZIRI MKUU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetumia sh. bilioni 11.9 kufanya ukarabati wa miundombinu ya kufundishia na kujifunzia pamoja na mabweni katika vyuo 10 vya ualimu nchini.Amevitaja vyuo...
View ArticleIGP SIRRO APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA BILIONI MBILI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akimsikiliza mmoja kati ya madaktali wa hospitali ya Jeshi hilo iliyopo barabara ya Kilwa, wakati wa makabidhiano ya vifaa tiba vilivyotolewa na serikali...
View ArticleKAMPUNI YA BLUE COAST INVESTMENT YACHANGIA MADAWATI 200
Madawati mia mbili ambayo yametolewa na kampuni ya Blue coast Investment iliyopo Mkoani Geita kwa lengo la kusaidia mahitaji ya elimu.Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufi akimshukuru...
View ArticleMdau Dr Baraka Noah Kadiva alamba nondozzz ya udaktari nchini malaysia
Kutoka kulia ni Baba Mzazi Mr. Noah Kadiva, mama mzazi Mrs. Florence Kadiva, Muhitimu Dr. Baraka Noah Kadiva, Mheshimiwa Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia Dr. Ramadhan Dau, Mrs. Joyce Assenga na Mr....
View ArticleTEKNOLOJIA YA MTANDAONI KUKUZA BIASHARA ZA WAJASIRIAMALI.
WAJASIRIAMALI wa nchi za Afrika ya Mashariki wametakiwa kuitumia ipasavyo fursa ya kuenea na kukua kwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ili kuendana na kasi ya mapinduzi ya...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMPA MRAJISI SIKU 7 ZA KWANINI MAGUNIA...
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa akizungumza wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji na kata ya Chiungutwa, Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara mara baada ya kushiriki mnada wa tano...
View ArticleZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WATOTO NJITI DUNIANI.
Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Mh,Maudline Cyrus Castico akibeba Watoto Njiti katika Maadhimisho ya mtoto Njiti Duniani yaliyofanyika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la...
View Articlewadau watakiwa kuwekeza katika vifaa vya kisasa vya kurekodia filamu
Na Genofeva Matemu – WHUSMWADAU mbalimbali ndani na nje ya nchi wametakiwa kujitokeza na kuwekeza katika vifaa vya kisasa vya kurekodia filamu ili sekta ya filamu nchini Tanzania iweze kuendelea zaidi...
View ArticleTANESCO yafanya Zoezi la Kusafisha na Kuunga Bomba la Gesi-KINYEREZI 1
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linawataarifu Wateja wake kuwa leo Jumamosi Novemba 18 na kesho Jumapili Novemba 19, 2017 kuna usafishaji na kuunga bomba kubwa la Gesi katika Mitambo ya Kinyerezi...
View ArticleWAGONJWA 33 WAFANYIWA UPASUAJI MOYO WA BILA KUFUNGUA KIFUA (CATHETERIZATION)...
Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Taasisi ya Kimataifa ya Kiislamu ya Misaada (IIRO) ya nchini Saudi Arabia wamefanya...
View Article
More Pages to Explore .....