SERIKALI YADHAMIRIA KUIMARISHA KAMPUNI YA TTCL
SERIKALI ya Tanzania chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli, imedhamiria kuiimarisha Kampuni ya Simu nchini (TTCL) iIi iweze kuingia kwenye ushindani wa kibiashara dhidi ya makampuni mengine ya...
View ArticleKESI YA JALADA LA VIGOGO WA SIMBA LAREJESHWA TAKUKURU.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Novemba 17, imeambiwa jalada la kesi inayowakabili vigogo wa Klabu ya Simba Evans Aveva na Godfrey Nyange maarufu "Kaburu" limeisharudi kutoka kwa (DPP) na...
View ArticleSERIKALI YAAGIZA USHIRIKIANO KATI YA TSC, IDARA YA ELIMU NA WAKAGUZI WA SHULE...
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. George Joseph Kakunda anayeshughulikia Elimu, Maji, Kilimo, Mifugo na Maliasili, amefungua Mkutano wa kwanza wa kazi kwa Kaimu Makatibu Wasaidizi wa Tume ya...
View ArticleJICA yasaini makubaliano na Serikali kusaidia sekta ya umeme nchini
Na Veronica Simba – DodomaShirika la Maendeleo la Japan (JICA) na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, wametia saini makubaliano ya msaada kutoka Shirika hilo utakaowezesha Mpango wa Mafunzo...
View ArticleMWENYEKITI WA ALAT NA MEYA WA MANISPAA YA SHINYANGA ATOA MSAADA WA PAMPU YA...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya serikali za mitaa nchini Tanzania (ALAT) na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam ametoa msaada wa pampu ya maji na mifuko 10 ya saruji vyenye thamani ya...
View ArticleWABUNGE WAWAKILISHI WA JUKWAA LA KIBUNGE LA SADC WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA...
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Wabunge wawakilishi wa Jukwaa la kibunge la SADC (SADC Parliamentary Forum) wakiongozwa na Mjumbe wa kamati ya utendaji ya SADCPF,...
View ArticleMAHAKAMA YA KISUTU YAZITAKA PANDE ZOTE MBILI (UTETEZI NA MASHTAKA)...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imezitaka pande wa zote mbili, ule utetezi na wa mashtaka kufanya kazi kwa kishirikiana kwa ukaribu ili kufuatilia jalada la kesi inayomkabili rais wa Shirikisho la...
View ArticleBENKI YA KILIMO YAASWA KUWEZESHA MIRADI YA MAENDELEO SIMIYU
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Anthony Mtaka ameiomba Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kuuwezesha mkoa wa Simiyu katika kufanya mapinduzi ya Kilimo kupitia miradi ya kimkakati inayotekelezwa...
View ArticleUONGOZI WA TIMU YA MAJIMAJI WAMPA TUZO MAALUM WAZIRI MAKAMBA
Mwenyekiti kamati ya Ufundi Bw. Stephen Mapunda kutoka timu ya Majimaji akimkabidhi tuzo maalumu Waziri Makamba kwa kutambua mchango wake katika kukuza timu yao na kuwasaidia kupata ufadhili. Wengine...
View ArticleTaESA YAPITIA UTEKELEZAJI WA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANACHUO 100, SITA...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.WAKALA wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) imewataka wanachuo waliopata nafasi ya kufanya mafunzo kwa vitendo kutilia mkazo suala hilo utovu wa nidhamu unaweza...
View ArticleHIFADHI YA WANYAMAPORI YAKABIDHIWA GARI KUDHIBITI UJANGILI
Na Woinde Shizza,Arusha.Hifadhi ya Wanyamapori ya Randlen Community Wildlife Management, iliyoko Arusha wilayani Monduli, imekabidhiwa gari aina ya Suzuki Jimmy kwa ajili ya kudhibiti vitendo vya...
View ArticleSERIKALI YENDELEA KUIMARISHA MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya akipokea vifaa kwa ajili ya kutolea huduma za matibabu kwa watoto njiti kutoka kwa Balozi wa Ujerumani...
View ArticleECOBANK TANZANIA MANAGEMENT PAYS A COUTESY VISIT TO MEMBERS OF PARLIAMENT IN...
Ecobank Tanzania’s Managing Director, Ms. Mwanahiba Mzee (far right) and the bank’s Head of Commercial Banking, Mr. Respige Kimati (left) in a souvenir photo with the Prime Minister, Honorable Majaliwa...
View ArticleHATI ZA KUMILIKI ARDHI KUTOLEWA NDANI YA SIKU 30 TANGU KUPOKELEWA KWA MAOMBI
Na. Frank Mvungi - MAELEZO, DodomaSerikali imeanza kutoa Hati za kumiliki ardhi ndani ya Kipindi cha Siku 30 tangu kupokelewa kwa maombi tofauti na awali ambapo mchakato wa kupata hati hizo ulichukua...
View ArticleNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Balozi Hassan Simba Yahaya, akizungumza na wajumbe wa baraza la wafanyakazi (hawapo pichani) katika mkutano wa kujadili taarifa za Utekelezaji katika...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI ATOA MSAADA KWA MSIKITI WA NOOR KIJIJINI MKANGE, MIONO,...
Msaidizi wa Rais Kanali Msafiri Mkeremy akimkabidhi Imamu wa Msikiti wa Noor kijijini Mkange, Miono, Wilaya ya Chalinze mkoa wa Pwani Sheikh Khamis Nassor wakati alipowasilisha msaada wa zulia la...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AAHIRISHA KIKAO CHA BUNGE LEO MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha kikao cha Tisa cha Bunge, bungeni Mini Dodoma Novemba 17, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na...
View ArticleTAASISI YA DORIS MOLLEL YAZINDUA FILAMU YA MTOTO "NJITI" JIJINI DAR
Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa filamu fupi ya "Njiti", Waziri wa Madini, Angella Kairuki (katikati) akiwa na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jaseem Al Najem (kulia) pamoja na Muanzilishi wa...
View Article
More Pages to Explore .....