WANANCHI WA BOLISA KUPATA SHULE MPYA YA SEKONDARI
Wananchi wa kata ya Bolisa wanatarajia kujengewa shule mpya ya sekondari ya kata ili kuondokana na tatizo la umbali kwa wanafunzi wa kata hiyo, amebainisha na Mkurugenzi wa Mji Kondoa Bw. Khalifa...
View ArticleCourtesy visit by Bank of Africa in Zanzibar
The Minister of Trade, Industry and Marketing of the Revolutionary Government of Zanzibar, Hon. Amb. Amina Salum Ali with the Managing Director and CEO of Bank Of Africa Tanzania Mr. Ammishaddai...
View ArticleAlpha Abdul ashinda kinyang'anyiro cha Tigo Fiesta Supa Nyota 2017 Mtwara
Mshindi wa Tigo Fiesta Supa Nyota toka mkoa Mtwara, Alpha Abdul akionesha umahiri wake wa kufokafoka kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mshindi wa shindano hilo la kusaka vipaji kama sehemu ya...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA WABUNGE WANAOTOKA MIKOA INAYOLIMA PAMBA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Kilimo ifanye utafiti wa kina ili kupata aina bora ya mbegu za pamba zitakazowanufaisha wakulima. Amesema ni lazima utafiti huo ufanyike kwa kuzingatia...
View ArticleMUME WA IRENE UWOYA AFARIKI DUNIA
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii kutoka nchini Rwanda, inaeleza kuwa mume wa zamani wa Muigizaji wa filamu nchini, Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo,...
View ArticleMASHINDANO YA KUMUENZI MTAKATIFU GASPARI ITIGI
MASHINDANO ya michezo ya maadhimisho ya siku kuu ya kumbukumbu ya kumuenzi Mtakatifu Gaspari Del Buffalo yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya michezo vya kanisa, hatimaye yamefikia tamati,ambapo...
View ArticleKUFUATIA KESI YA MTANDANO,MAHAKAMA YA KISUTU YAMUHUKUMU BOB CHACHA WANGWE...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mtoto wa marehemu Chacha Wangwe, Bob Chacha Wangwe kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya shilingi milioni...
View ArticleREDESO YATOA MAFUNZO K WA WAZAILISHAJI NA WASINDIKAJI WA ZAO LA MKONGE MKOANI...
Na Robert Hokororo, Kishapu DC.Shirika la Msaada na Mandeleo ya Jamii (REDESO) katika Halmashauri ya wilaya ya Kishapu limewapa mafunzo wazalishaji na wasindikaji wa zao la mkonge kutoka Kishapu na...
View ArticleTaasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yatoa zawadi kwa wafanyakazi bora wa...
Daktari Bingwa wa Magojwa ya Moyo kwa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Naiz Majani akimkabidhi zawadi ya mfanyakazi bora wa mwezi wa tisa Adilla Musa ambaye ni mtunza kumbukumbu...
View ArticleJUMUIYA YA WATANZANIA NCHINI CANADA WAFANYA IBADA MAALUM YA KUIMBEA TANZANIA...
Askofu Mkuu wa Kanisa la Christ Chapel la nchini Canada, Jacob Afolabi akiongoza ibada maalum ya kiswahili ya kuombea Amani kwa Tanzania pamoja na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Uchumi na Uwekezaji...
View ArticleRais Dkt Magufuli awasili jijini Dar akitokea kijijini kwake Chato,mkoani Geita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasili jijni Dar es salaam muda huu akitokea kijjini kwake Chato, mkoa wa Geita, na kupokelewa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu...
View ArticleMaafisa AAKIA wafurahishwa ulinzi JNIA
MAAFISA kutoka Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume cha Zanzibar (AAKIA), wamefurahishwa na namna ulinzi na usalama wa abiria na mali zao unavyofanywa kwenye Kiwanja cha Ndege cha...
View ArticleMAVUNDE AFUNGUA KONGAMANO LA VIONGOZI VIJANA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera , Bunge , Kazi, Vijana , ajira na Walemavu, Anthony Mavunde akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Viongozi Vijana Barani Afrika uliofanyika jijini Dar...
View ArticleSHIRIKA LA PELUM TANZANIA NA HALMASHAURI YA MUFINDI KUTOA HATI MILIKI ZA...
SHIRIKA la PELUM Tanzania kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa kupitia linatarajia kutoa hati miliki za kimila 795 kwa wananchi wa Vijiji vya Ugesa, Isaula, Magunguli na...
View ArticleRais Dkt Magufuli aagiza jengo la Makao makuu ya tanesco na Wizara ya Maji...
Rais Dkt John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan walipokuwa wakitembelea na kukagua ujenzi wa barabara ya Flyover ya TAZARA mapema leo,kulia ni Mkuu wa mkoa...
View ArticleUPDATES KESI YA MTANDANO MAHAKAMA YA KISUTU;BOB WANGWE ALIPA FAINI YA MILIONI...
Mtoto wa marehemu Chacha Wangwe, Bob Wangwe, Wa kwanza kulia na Wakili wake Benedict Ishabakaki, mwenye suti ya bluu, wakitoka katika viunga vya mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kufanikiwa...
View ArticleZAINA FOUNDATION HELP WOMEN TO ICREASE KNOWLEDGE IN CYBER SECURITY
Recently Zaina Foundation hosted two days training about Digital Security for Women’s in Arusha Tanzania with great support from Internews,Defend Defenders from Kampala Uganda and trainers Mr. Paschal...
View ArticleTMF YAIPATIA REDIO HABARI NJEMA YA MBULU, FEDHA ZA RUZUKU YA SHILINGI MILIONI...
Tanzania Media Foundation (TMF) imeipatia ruzuku ya shilingi milioni 112 Radio Habari Njema ya Mbulu Mkoani Manyara, kwa lengo la kuwajengea uwezo zaidi ili waibue kero, changamoto, mafanikio na...
View Article
More Pages to Explore .....