Mtafiti wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Pasience Mtowe (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Julai 29, 2013. wakati akitoa taarifa ya nusu mwaka ya kuanzia Januari hadi Juni 2013 ya kituo hicho kuhusu mambo mbalimbali yaliyotokea nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa Kituo hicho Imelda Urio.
Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa Kituo hicho Imelda Urio, akizungumza katika mkutano huo.
Baadhi ya waandishi wa habari waliodhuria mkutano huo.