Wageni kutoka CDC/ATLANTA (waliopo katikati) wakiwa katika Picha ya pamoja na Dkt. Zubeda Suleiman wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (wa kwanza kushoto), wa pili kushoto ni Dkt. Ahmed Makata ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya HVIT Foundation inayoshughulika na Elimu ya Usalama Barabarani na uvaaji wa Kofia ngumu(wa tatu kulia) ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya HVIT Foundation, Bw. Alpherio Nchimbi.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Ann Dellinge( wa kwanza kulia) na Dkt. Erin Parker (wa pili kushoto) na mwenyeji wao Dkt. Zubeda Suleiman wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii walipomtembelea ofisini kwake katika ziara hiyo ya tarehe 25/07/2013.

Mkuu wa Utawala wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Kamishna Msaidizi wa Polisi Johansen Kahatano (wa kwanza kulia akiwa na wageni kutoka CDC/ATLANTA walipomtembelea ofisini kwake.