Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117138

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 26 WA BARAZA KUU LA UONGOZI WA SHIRIKA LA MAKAZI DUNIANI JIJINI NAIROBI, KENYA,

$
0
0
 Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta  katika picha ya pamoja na viongozi wa UN Habitat na wakuu na wawakilishi wa mataifa mbalimbali katka Mkutano huo. Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt. Pindi Chana ni wa pili kutoka kushoto mbele
Kutoka kushoto ni Bw. Abilah Hassani Namwambe Afisa Mambo ya Nje kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki , Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt. Pindi Chana pamoja na  Bw. Martin Barugahare  Kiongozi kutoka UN Habitat Nairobi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117138

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>