Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO.

$
0
0

Waziri wa Fedha Zanzibar Dk Khalid Salum Mohd akifafanua jambo kwa  Waandishi wa Habari kuhusiana na Mipango Mapendekezo ya Bajeti (Mapato na matumizi) ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017-2018.Katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga Mjini Unguja.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano wa waandishi wa habari na  Waziri wa Fedha Zanzibar Dk Khalid Salum Mohd kuhusiana na Mipango Mapendekezo ya Bajeti (Mapato na matumizi) ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017-2018.Katika Ukumbi wa Wizara ya Fedha Vuga Mjini Unguja.PICHA NA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

Trending Articles