Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

BENK YA WANAWAKE TAWI LA MKWEPU WAUNGANA NA TAIFA KUOMBOLEZA VIFO VYA WANAFUNZI 32, WALIMU 2 NA DEREVA

$
0
0
Kwa niaba Benki ya Wanawake wametuma salamu za pole kwa wazazi, walezi, familia na jamii yote ya Arusha na Tanzania kwa ujumla, kwa kupoteza watoto wetu ambao walikuwa waliokuwa wanandaliwa kuwa nguvu kazi ya Taifa letu katika Sekta mbalimbali.

Mwenyezi Mungu awapatie Faraja na Moyo wa Subira  katika kipindi hiki kigumu cha huzuni, uchungu na simanzi kwa familia za marehemu na Taifa kwa ujumla. 

Wafanyakazi wa Benki ya Wanawake Tawi la Mkwepu wameungana na Taifa kuombolea vifo vya wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja  vilivyotokana na ajali iliyotokea Karatu mkoani Arusha tarehe 6 May,  mwaka huu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>