Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

SAIGON social club ya jijini Dar es salaam imefanya khitma ya kurehemu waliotangulia mbele ya haki

$
0
0
Jana Jumapili Saigon social club ya jijini Dar es salaam imefanya khitma ya kurehemu wazee na ndugu  wa Kariakoo waliotangulia kwa Mwenyenzi Mungu. Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali. Kila mwaka klabu hii hufanya khitma ikiwa ni mojawapo ya shughuli katika kalenda yake
 Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali akikaribishwa makao makuu ya Saigon Social Club kuhudhuria khitma hiyo
 Sehemu ya wanachama wa Saigon Social club na wageni waalikwa
 Baadhi ya viongozi wa Saigon Social club
 Mashekhe wakiongoza khitma
Khitma inaendelea. Picha kwa hisani ya Mohamed Said.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117137

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>