Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117117

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KWA WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA KUFUATIA AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WANAFUNZI 32 HUKO KARATU

$
0
0
Watanzania wenzangu,  ninaungana na Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, pamoja na Mheshimiwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kutoa pole nyingi sana kwa uongozi wa shule ya Lucky Vicent pamoja na wazazi wa watoto waliopoteza maisha kwenye ajali ya jana. 

Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi. 
Amina. 

Mhe. Kassim Majaliwa (MB.)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117117

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>