Daktari bingwa wa pua na masikio kutoka China Dk. Fei Jie, akimfanyia uchunguzi wa pua Bi. Amina Himid katika siku ya Afya ya kijiji iliyofanyika Skuli ya Kwamtipura.
Wananchi waliojitikeza kupatiwa huduma katika siku ya Afya ya Kijiji huko Skuli ya Kwamtipura.
Watoto wakinywa Uji mara baada ya kupatiwa huduma za afya.
Wananchi waliojitikeza kupatiwa huduma katika siku ya Afya ya Kijiji huko Skuli ya Kwamtipura.
Daktari bingwa kutoka Jamhuri ya Watu wa China Dk. Gao, akimpima kifua mtoto Salma Mohammed mkaazi wa Kilmahewa, katika siku ya Afya ya Kijiji iliyofanyika Skuli ya Kwamtipura Wilaya ya Mjini Unguja.