Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117117

YANGA YAIPIGA PRISONS 2-0

$
0
0
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wa bao la pili dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
 Mchezaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya (kulia), akigombea mpira na Nurdin Chona katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam . Yanga ilishinda mabao 2-0.


Wanayanga wakishangilia ushindi


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117117

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>