Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing index pages (125263 articles)

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITIMU WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA

Na Mwandishi WetuWAHITIMU wa Shule ya Msingi na awali ya Pius Pre and Primary school wametakiwa kuendelea kuwa na tabia njema baada ya kupatiwa malezi mazuri Shuleni hapo.Akizungumza jana katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENGE WAZINDUA BARABARA YA LAMI LUMAMBO - KITONGO NZEGA

Na Mwandishi wetu, NzegaMWENGE wa uhuru umezindua mradi wa barabara ya lami ya Lumambo - Kitongo yenye urefu wa kilomita 1.750 iliyopo kwenye Kata ya Nzega Mjini Magharibi Mkoani Tabora.Meneja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia akutana na Kuzungumza na Makamu wa Rais Mstaafu wa Uganda Ikulu...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Dkt. Speciosa Kazibwe Wandira, wakati wa mazungumzo yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pia Slot Na Safari Ya Wawinda Hazina Yenye Jackpot

KATIKA ulimwengu wa burudani za kasino, kila mchezo una hadithi yake, lakini si kila mchezo una uwezo wa kumvuta mchezaji na kumweka ndani ya simulizi la kusisimua. Hapa ndipo Pia Sloti ya Meridianbet...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manchester City Kukutana na Sunderland EPL

TIMU nyingi zinakungoja wewe kuweka dau lako la ushindi na uibuke bingwa, kuanzia muda huu ni bandika bandua. Je nani unampa nafasi ya kushinda?. Ingia kwenye akaunti yako na ushinde.Manchester City...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAGIZA UKAGUZI MAENEO YA UWEKEZAJI NCHINI

NaMunir Shemweta, WANMMWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amewaagiza Makamishna wa Ardhi Wasaidizi katika mikoa yote nchini kufanya ukaguzi wa maeneo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MWINYI: SMZ INATHAMINI MCHANGO WA KANISA KATIKA MAENDELEO YA JAMII

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali na taasisi za dini zina wajibu wa kuendelea kushirikiana katika kuimarisha amani, umoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk SAJAD RAI KUIBEBA TANZANIA WORLD CEO SUMMIT 2026 AFRICA

 Na Mwandishi WetuMTAALAMU katika sekta ya nishati, hususan mafuta nchini, Dkt. Sajad Habib Rai, ameteuliwa kuwa mjumbe na mmoja wa wazungumzaji katika Mkutano wa World CEO Summit 2026 Africa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPOGOLO: ATAYETUPA UCHAFU JIJINI DAR FAINI LAKI 3 HADI MILIONI 1 AU KIFUNGO...

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema mtu atakayebainika kutupa taka hovyo jijini Dar es Salaam atatozwa faini ya Shilingi 300,000 hadi milioni moja au...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TARURA PWANI YABAINI MAENEO 221 HATARISHI KWA MAFURIKO

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniWAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Pwani, umeanza kutekeleza agizo la Serikali la kukagua miundombinu ya barabara na madaraja hatarishi na kuyafanyia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMISHNA WASAIDIZI WANAWAKE NGORONGORO WAUNGANA NA WENZAO INDONESIA

MAKAMISHNA Wasaidizi Waandamizi wa Uhifadhi wanawake kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wapo nchini Indonesia kushiriki mkutano wa mtandao wa wanawake maafisa waandamizi wa Polisi na vyombo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU CCM ZANZIBAR APONGEZA UJENZI WA BANDARI JUMUISHI YA MANGAPWANI

ZANZIBARNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Ndugu Abdi Mahamoud Abdi, amepongeza hatua za utekelezaji wa mradi wa Bandari Jumuishi ya Mangapwani, akisema kukamilika kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABDI APONGEZA MIRADI YA ELIMU NA MALEZI YA WATOTO DONGE

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Ndugu Abdi Mahamoud Abdi, amewapongeza viongozi wa Jimbo la Donge kwa juhudi za kutafuta wadau na wahisani wanaosaidia utekelezaji wa miradi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC BABU APIGA MARUFUKU WAFANYABIASHARA WA NJE YA SOKO LA MBUYUNI..

MOSHIMKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewaagiza wafanyabiashara wanaopanga bidhaa zao chini katika barabara zinazozunguka Soko la Mbuyuni, Manispaa ya Moshi, kuondoka katika maeneo hayo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'NMB the GOAT’ atamba mbio za mbuzi, amshinda mpinzani wa Bowman

Mbuzi wa Benki ya NMB, ‘NMB the GOAT’, ameibuka mshindi katika mbio za ‘NMB unGOATable Race’ zilizofanyika Septemba 19, 2026, akimshinda mbuzi wa Bowman katika mashindano Goat Races yanayolenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUBIRA MGALU AIPA HEKO TRA BAGAMOYO KWA UBUNIFU UKUSANYAJI MAPATO

Na Victor Masangu, BagamoyoMBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. CPA Subira Khamisi Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bagamoyo kwa ubunifu na mipango madhubuti inayolenga kuongeza ufanisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MKUTANO WA AFYA MOJA NCHINI...

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameondoka nchini leo (Jumamosi, Septemba 19, 2026) kwenda Roma, Italia kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa siku tatu wa Kimataifa wa Kujadili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AZITAKA TAASISI ZA MUUNGANO KUIMARISHA USHIRIKIANO, HUDUMA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, amezitaka Taasisi za Muungano kuimarisha ushirikiano, kubaini na kutumia fursa zilizopo pamoja na kushiriki kwa pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUKEMEE TABIA YA BAADHI YA WANASIASA WANAOPOTOSHA TAARIFA ZA MIRADI – KIHONGOSI

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo Taifa, Kenani Kihongosi, amekemea tabia ya baadhi ya wanasiasa kupotosha wananchi kuhusu miradi mikubwa ya maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MPOGOLO AZINDUA KAMPENI YA USAFI KISUTU

Na Mwandishi WetuMKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Jonas Mpogolo, amezindua rasmi Kampeni ya “Safisha Mazingira, Linda Afya” katika Kata ya Kisutu, huku akimpongeza Diwani wa kata hiyo, Tousif...

View Article
Browsing index pages (125263 articles)


Latest Images