Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPRA, ZPPDA zasaini makubaliano kuenzi miaka 60 ya Muungano

Na Mwandishi Wetu Wakati kesho Tanzania ikisherehekea miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) na Mamlaka ya Ununuzi na Uondoaji wa Mali za Umma...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA MAREKANI YAZINDUA MPANGO VYA VYANDARUA VILIVYOTIWA DAWA ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC) wameungana na Serikali ya Mapinduzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL TANZANIA YANG’ARA HUDUMA BORA ZA MTANDAO-TCRA

 AIRTEL TANZANIA imeibuka kinara wa kutoa huduma bora za mtandao kufuatia ripoti ya Takwimu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inayoishia Machi 2024 ya kila robo ya mwaka iliyochapishwa Aprili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MALEBO:UHAMAJI WA HIARI KUTOKA NGORONGORO NI KWA LENGO LA KULINDA...

Na Mwandishi WetuSERIKALI ya Tanzania imesema kuwa inatekeleza uhamaji wa hiari wa wananchi kutoka Ngorongoro ili kulinda haki za binadamu na uhifadhi.Hayo ameyasema Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANZA YAZINDUA KAMPENI ELIMU KWA UMMA MRADI WA UJENZI WA MINARA 758...

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Hassan Masala,kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, akizungumza na viongozi wa serikali wakiwemo wa vyama vya siasa wakiongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM),leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBS YATOA ELIMU KWA WAJASIRIMALI KWENYE MAONESHO YA MUUNGANO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu ya viwango vya ubora kwa Wajasiriamali wadogo waliojitikeza katika Maonesho ya Kibiashara ya Miaka 60 ya Muungano katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUNGE LAPITISHA SH. TRILIONI 1.8 MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI 2024/2025

-95.28% kuelekezwa kwenye maendeleo-Serikali kuja na Kanuni ya Uwajibikaji kwa wananchi Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia-Dkt. Biteko aagiza Halmashauri kupeleka fedha za Ushuru wa Huduma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA MAWAZIRI EAC LAKUTANA JIJINI ARUSHA

Mkutano Maalum wa 53 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umefanyika leo tarehe 25 Aprili 2024 Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha. Mkutano huo, pamoja na masuala mengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGENDA YA KUTOKOMEZA MALARIA IWE YA KUDUMU KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI

Na WAF, TABORANaibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameziasa Kamati za Ulinzi na Usalama nchini kuona umuhimu wakuifanya ajenda yakutokomeza Malaria iwe yakudumu kwenye vikao vya maamuzi.Dkt. Mollel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi Isabe,...

Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25, 2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na madarasa mengine mawili katika Shule ya Msingi Isabe zote za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam wakati wa Sherehe za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO

Na Mwandishi Wetu, ArushaKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo maalumu kwa akina mama lishe 50 wa mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAIELEZA UN HAKUNA WANANCHI WALIOHAMISHWA KWA NGUVU NGORONGORO NA...

Na Mwandishi wetuKikao cha 23 Jukwaa la kudumu la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Watu wa Asili (UNPFII) kinaendelea jijini New York nchini Marekani. Kikao hicho kinahudhuriwa na ujumbe wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI 11,837 VIMEUNGANISHWA NA UMEME –DKT. BITEKO

Serikali imesema hadi kufikia Mwezi, Machi 2024 jumla ya vijiji 11,837 sawa na asilimia 96.37 ya vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara vilikuwa vimeunganishiwa huduma ya umeme. Hayo yamesema na Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORB OF DESTINY KASINO YENYE NJIA 14 ZA MALIPO

ORB OF DESTINY ni mchezo wa sloti kutoka kwa Hacksaw Gaming. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, unaleta mshangao mzuri. Kuna Wilds zenye nguvu na mizunguko ya bure inayokuja na ushindi wa hali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI, SAKATA LA DKT. KAWAMBWA

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniJESHI la Polisi Mkoani Pwani, limewakamata Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANROADS YAWEKA KAMBI BARABARA YA MOROGORO- IRINGA KUZIBA MASHIMO MAENEO...

Na Aisha Malima-MorogoroSerikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya Morogoro – Iringa ikiwemo katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAJA NA MKAKATI KUONGEZA UFANISI

Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi akizungumza wakati wa Mkutano wa Uchaguzi wa Viongozi wa Kati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika leo tarehe 24 April 2024 Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOCHEPUSHA VYAKULA VYA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI,WAHOJIWA

Na Mwamvua Mwinyi, RufijiTAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) inawahoji watu 11 akiwemo Mtendaji wa kata, kijiji pamoja na vijana Tisa ambao ni wabeba mizigo (makuli) kwa madai ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA...

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na Polisi kutoka kwa kinara wa wizi ya vifaa vya ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shamrashamra za Kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na...

Maonesho ya Kwata ya Kikundi cha Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Zanzibar Maarufu kama Askari wa Tarabushi wakionesha Maonesho mbalimbali ya aina ya Kwata tangu kipindi cha utawala wa Sultan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LATOA UFAFANUZI AJALI ILIYOSABABISHA KIFO CHA MWANAHABARI

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA DKT KAWAMBWA: DIWANI MSTAAFU WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI

JESHI la Polisi Mkoani Pwani limewtia mbaroni Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa maneno makali,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD UNION...

60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and Strengthened for the Development of Our Nation.1. Introduction.The United Republic of Tanzania was established by unifying Tanganyika and...

View Article





Latest Images