Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109996 articles
Browse latest View live

Heart warmer: Alex & Mandela's Wedding | Rwanda meets Trinidad


Amour Genius - Bongo Movie (Official Video) | Dir. by Jerry Mushala

$
0
0
Amour Genius-Bongo movie
produced by Fundi Samwel
directed by Jerry Mushala/Goba

SOUTH AFRICAN ARTIST K.O (CARACARA) TO TOUR DAR ES SALAAM AND PARTNER WITH LOCAL ARTISTS

$
0
0

K.O

PRESS RELEASE
DAR ES SALAAM The multi award-winning artist K.O with hit single Caracara is to tour Dar es Salaam from the 13th to the 17th of September 2014. In his tour the artist will look into forming collaborations with local Tanzanian artists. K.O has already collaborated with leading female Tanzanian artist Vanessa Mdee in their hit song “Aint No Body”. He will use his stay in the country to tour various media houses and host strategic meet and greet sessions with Tanzanian artists and various stakeholders within the music industry.

This is K.O’s first tour of Tanzania is touring Tanzania as part of his East Africa tour. He is expected to visit Kenya right after Tanzania and perform at the Ebony lounge in the Nairobi Westlands. K.O expressed his desire to spread his music to East Africa and also gain new partnerships and collaboration within the regions. 

“Tanzania is quickly becoming the hub of the new African sound. The artists here are extremely talented a good number of them have managed to gain international recognition. I am looking forward to exploring the opportunities available to create new music with my fellow artists from Tanzania”, he said. 

The internationally acclaimed performer is considered to have birthed the new sound of South African Hip Hop/Rap sound. His first single ‘Mission Statement’ received significant airplay across Southern African and East Africa, but his follow-up single Caracara (featuring Cashtime Life artist KiD X) has received international recognition! During his first year of his debut album ‘Skhanda Republic’ K.O was voted hottest MTV MC of the year 2014 and 2nd African artists to watch by BBC1 Xtra. 

He has also received amongst others, 2 MTV MAMA nominations and 5 Channel O music video nominations.
K.O has also had the opportunity to partner with global social media giant Twitter to launch its audio service called Audio Card, a Twitter App that allows users to stream audio within a tweet. K.O has formed a continuous relationship with Twitter who worked closely with him in lauching K.O’s latest single ‘Sun of a Gun’. 

K.O is managed by Cashtime Life, an all-encompassing lifestyle and entertainment company based in South Africa. His Tanzania tour is managed by LAS Consultancy and any media house or artist interesting in connecting with him are invited to email info@lasconsultancy.co.tz

EALA TO PLAY MORE CENTRAL ROLE IN IMPLEMENTATION OF SDGs

$
0
0
  The Speaker of EALA (right) and a section of Members pay key attention to the proceedings earlier today.
 Members pose for a group photo.
 Hon Leonce Ndarubagiye (left), Rt. Hon Daniel F. Kidega (middle) and Hon Dora Byamukama in reflection at the start of the two day meeting on SDGs in NairobiEast African Legislative  Assembly
 
PRESS RELEASE
EALA TO PLAY MORE CENTRAL ROLE IN IMPLEMENTATION OF SDGs

…Regional legislators engaged in two day sensitisation workshop in Nairobi as Globe prepares to adopt SDGs in New York



East African Legislative Assembly, Nairobi, Kenya, September 7 2015: As the clock on the timeframe for Millennium Development Goals (MDGs) ticks away, the regional Assembly is gearing up to take a more central role in the implementation of the Post 2015 Agenda through the Sustainable Development Goals (SDGs).

EALA Members have today commenced on a two day sensitization workshop on promoting SDGs with a mantra to ensure the region realizes the set objectives of reducing poverty, achieving food security and enhancing gender equality amongst other development initiatives.

Addressing the legislators, EALA Speaker, Rt. Hon Daniel F. Kidega maintained that Parliaments had a fundamental role to play in ensuring implementation of the SDGs.

RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA

$
0
0
 Rais Kikwete akimpa pole  mmoja wa majeruhi Bw. Kokoliko Ramadhani akiwa kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo. Majeruhi huyu ni mmoja ya walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni wa CCM katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015. Watu wawili walipoteza maisha, akiwemo mvulana wa miaka 12 aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdallah na mwanamama Grace George (42), ambapo jumla ya watu 17 walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini hapo. Hadi jioni hii majeruhi saba walikuwa wameruhusiwa
 Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimpa pole  mmoja wa majeruhi Bi Flora Maduka akiwa kitandani pake hospitalini hapo baad ya kujeruhiwa katika msongamano huo
Rais Kikwete akimpa pole  mmoja wa majeruhi Bi. Jalia Mohamed akiwa kitandani pake hospitalini hapo akiuguza bega la kuume aliloumia kwenye msongamano huo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

MKAKATI KABAMBE KUIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA, UTALII MBIONI-TNBC

$
0
0
 Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Hatua thabiti za utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Nane wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) zinatarajiwa kujulikana wiki chache zijazo.

Maazimio hayo yanalenga hasa kuimarisha mazingira ya biashara nchini na sekta ya utalii.

Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa TNBC, Bw. Raymond Mbilinyi (Pichani) alisema hatua za utekelezaji maazimio mbalimbali ya kuimarisha sekta hizo zitajulikana katika mkutano wa 9 wa baraza hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 2 mwezi ujao (Oktoba).

“Mapendekezo mengine ni ya kiutawala zaidi ambayo ni rahisi lakini kuna maswala mengine yatahitaji mabadiliko ya sheria mbalimbali na haya yatatakiwa kufuata taratibu zinazotakiwa,” alisema Bw. Mbilinyi na kumshukuru Rais Kikwete kwa kuendesha mkutano huo.

Akielezea baadhi ya maeneo yanayohitaji kuboreshwa alisema kuwa pamoja na kuwa na kitengo maalum cha kuhakikisha watanzania wanashiriki kikamilifu katika ujenzi wa uchumi.

NEWS ALERT: Hatimaye Gesi Asilia kutoka Mtwara yafika Dar es salaam

$
0
0
 Mtaalam kutoka Kampuni ya “CPP” (Mkandarasi wa Mradi wa Gesi Asilia) (Kulia) akitoa maelezo ya usalama kabla ya wakuu wa taasisi za TPDC na TANESCO kuingia katika kituo cha kupokea gesi asilia Kinyerezi, jijini Dar es Salaam, kituo hicho tayari kimeanza kupokea gesi asilia kutoka kiwanda cha kuchakata gesi  Madimba Mkoani Mtwara.

 Mtaalam kutoka Kampuni ya Mhandisi Mshauri Muelekezi (WorleyParsons), Allen Slowe (kulia) akitoa maelezo ya jinsi ya zoezi zima la kupokea gesi asilia linavyoendelea mbele ya Wakuu wa taasisi za TPDC na TANESCO, Kinyerezi, jijini Dar esa Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Dkt. James Mataragio (kulia) akakizungumza na waandishi wa habari kuhusu kufika kwa gesi asilia katika kituo cha kupokelea gesi Kinyerezi, jijini Dar es Salaam ikitokea kiwanda cha kuchakata gesi asilia Madimba, Mkoani Mtwara.

Mitambo ya kupokelea gesi asilia eneo la Kinyerezi, jijini Dar es Salaam ambayo imeshaanza kupokea gesi asilia kutoka kiwanda cha kuchakata gesi asilia Madimba Mkoani Mtwara.

Bayport yazindua huduma mpya ya Jibayportphonishe

$
0
0
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Ngula Cheyo, kushoto, akizungumza jambo katika uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo ya simu za mikononi aina ya Huawei ijulikanayo kama 'Jibayportphonishe', uzinduzi uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Micka Mavoa, Mkurugenzi wa Cape View, Kampuni inayoshirikiana na Bayport katika huduma hiyo ambayo mteja akikopa simu atapelekewa hadi mahala anapohitaji ifike. Picha na Mpiga Picha Wetu.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Taasisi ya kifedha ya Bayport Financial Services, imezindua huduma yake mpya ya kukopesha (Smartphone) simu za mikononi aina ya Huawei zenye thamani ya Sh 140,000, ikiwa na lengo la kuwawezesha Watanzania ambao ni watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni binafsi zilizoidhinishwa kumiliki simu wakati wowote ili ziwakwamuwe katika suala zima la mawasiliano ya simu za mikononi, huduma inayotambulika kama 'Jibayportphonishe'.

Kuanzishwa kwa huduma hiyo ya mikopo ya simu za mikononi kumekuja siku chache baada ya taasisi hiyo pia kuzindua huduma ya bima ya magari, pikipiki na bajaj, ambapo zote kwa pamoja ni mkombozi kwa Watanzania, wakiwamo wale wenye kipato cha chini na cha kati.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo asubuhi, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Ngula Cheyo, alisema kwamba kuanzishwa kwa huduma hiyo kutaifanya jamii iwe katika kiwango kizuri cha mawasiliano, hivyo kukuza pia uchumi wao.
Mkurugenzi wa Cape View, Micka Mavoa, kulia akizungumza jambo.

Alisema kwamba badala ya mtumishi wa umma na wale wa kampuni binafsi zilizoidhinishwa kuwekeza kidogo kidogo ili wanunuwe simu watakazo, sasa wanaweza kukopeshwa simu hizo na kupelekewa hadi katika maeneo yao wanayopatikana. Alisema simu hizo zitaambatana na ofa ya intaneti MB 500 bure kila mwezi kwa miezi sita kutoka katika Kampuni ya Simu za Mikononi ya Vodacom Tanzania, huku mteja akilazimika kulipa Sh 9000 kila mwezi, katika kipindi cha miezi 24.


TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MASUALA YA LISHE NA CHAKULA

$
0
0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akimpokea Mfalme wa Lesotho,  Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA).  Mfalme Letsie ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba, 2015.
Waziri Mkuu Mhe. Pinda (katikati) akimtambulisha Mkurugenzi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazi (wa kwanza kulia) kwa Mfalme Letsie (wa kwanza kushoto).
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa kwanza kulia) akimtambulisha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM Arusha Mhe. Catherine Magige (wa pili kutoka kushoto) kwa Mfalme Letsie (wa pili kutoka kulia).


GWAJIMA AELEZA SABABU ZA DKT SLAA KUJIUZURU SIASA

MPIGANAJI WA MTAA KWA MTAA BLOG,MR. PENGO WA MBEYA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

$
0
0
Kutoka shoto ni Mpiganaji Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo akimlisha Keki Mama yake Mzazi Stumai Maneno kama heshima katika Hafla ya Sherehe ya kuzaliwa kwa mwana Libeneke Fadhiri Atick kutimiza Miaka kadhaa iliyo fanyika nyumbani kwao huko jijini mbeya jana Tar.07-09-2015.
Kutoka kulia ni Tecla Rashid na Fadhiri Atiki akizungumza jambo katika Hafla hiyo....
Kutoka Shoto ni Mrs.Lweja akimpongeza Mwanalibeneke Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo Katika HafLa hiyo ya kusherehekea Siku ya Kuzaliwa kwa Fadhiri Atick Kutimiza Miaka kadhaa,,,
Ankal Ramadhani Maneno kulia akimpongeza bwana Fadhiri Atick kwa kutimiza Miaka kadhaa.

JKT KUBORESHA MAZINGIRA YA MAFUNZO ILI YAWE NA TIJA ZAIDI KWA WAHITIMU NA TAIFA

$
0
0

Jeshi la kujenga taifa JKT limesema linaendelea na harakati za kuboresha mazingira ya mafunzo kwa vijana wa mujibu wa sheria na wale wa kujitolea ikiwa ni pamoja na kuimarisha miundombinu na upatikanaji wa vifaa vya mafunzo vinavyojumuisha sare pamoja na viatu ili kuyafanya mafunzo hayo kuwa bora na yenye kuwajenga vijana katika moyo wa uzalendo kwa nchi yao.

Mkuu wa jeshi la kujenga taifa JKT.Meja Jenerali Raphael Muhunga amesema hayo wakati akifunga mafunzo ya JKT kwa vijana wa mujibu wa sheria yaliyopewa jina la oparesheni Kikwete mwaka 2015 katika kambi ya mafunzo ya kikosi cha jeshi cha 841 Mafinga mkoani Iringa na kueleza kuwa lengo la kushughulikia changamoto hizo za vifaa vya mafunzo ni kuboresha mafunzo hayo ili yalete tija zaidi kwa taifa na wahitimu wenyewe.
 
Katika risala yao wahitimu hao wapatao zaidi ya elfu wamesema moja ya changamoto zilizowakabili katika muda wote wa mafunzo ni pamoja na ukosefu wa vifaa vya kujifunzia ikiwemo buti na kombati pamoja na muda wa mafunzo kuwa mfupi hali iliyowalazimu kufanya mafunzo yao katika mazingira magumu huku wakikabiliwa na mambo mengi ya kujifunza katika muda huo mfupi ambapo mkuu wa kambi ya jeshi hilo kikosi cha 841 Mafinga luteni kanali Martin Mkisi amewapongeza wakufunzi wa mafunzo hayo kwa uvumilivu na ubunifu.
 
Ufungaji wa mafunzo hayo umeambatana na maonesho mbalimbali ya vijana hao wahitimu walioonesha ukakamavu na ustadi walioupata mafunzoni ikiwemo kucheza kwata, kuchoma singe kucheza karate na kuruka vikwazo maonesho yaliyodhihirisha jinsi vijana hao walivyoiva kimafunzo.

TASWIRA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO

$
0
0
  Mkurugenzi Mtendaji   8020 Fashion na  Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha Akitoa Mada kwenye Semina ya Kuwawezesha  Wanawake Kuwa Wajasiriamali kupitia Vipodoz Vya Luv Touch Manjano Iliyoandaliwa na Manjano Foundation Kwa Lengo la Kuwajengea Udhubutu Wanawake  Kufanya biashara pia namna ya Kujiwekea Akiba na Kutumiza Malengo yao.
Washiriki wa Mafunzo hayo  wakisikiliza kwa Makini Mada Mbalimbali zilizokuwa Zikijadiliwa.
 Mafunzo ya Ujasiriamali kwa Mwanamke wa Kitanzania kwa Kutumia Vipodozi vya LuvTouch Manjano yanaendelea.Mradi huo ulianzishwa kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali yakisimamiwa na Taasisi ya Manjano Foundation.

ZAIDI YA WANAFUNZI LAKI 7 WA DARASA LA 7 WANATARAJIWA KUANZA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI KWA MUDA WA SIKU MBILI KUANZIA KESHO.

$
0
0

Zaidi ya wanafunzi laki saba 7.7 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza darasa la saba katika vituo zaidi ya elfu 16 nchni nzima kuanzia Septemba 9 hadi 10 mwaka huu. 
 
Akizungumza na waandishi wa habari, Kaibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Daktari Charless Msonde amesema kati ya wanafunzi hao wavulana laki tatu na  sitini na moja elfu sawa na asilimia 45.6, wasichana ni laki nne na kumi na nne elfu sawa na asilimia 53.4, ambapo masomo yatakayotahiniwa ni Kiswahili, Kiingereza, Sayansi, Hisabati na maarifa ya jamii. 
 
Amezitaka kamati za mitihani za mikoa na wilaya kuhakikisha taratibu za mitihani zinazingatiwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha vituo vya mitihani vinakuwa salama, hususani katika kipindi hiki ambacho baadhi ya viwanja vya shule za msingi vinatumiwa na vyama vya siasa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu.

MAGUFULI AAHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA KUPUNGUZA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA

$
0
0
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya leo mjini Tanga. 
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya leo ambapo aliahidi kuboresha Bandari ya Tanga, kujenga Viwanda vya matunda na samaki ili kuweza kupunguza tatizo kubwa la ajira kwa vijana.
 Naibu Waziri wa Sheria na Katiba,ambaye pia ni mgombea Ubunge viti maalum upande wa akina Mama mkoa wa Tanga (UWT),Mh Ummy Mwalimu akimuombea Kura za kutosha mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli ili aweze kuibuka mshindi na kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
 Wakazi wa mji wa Tanga waliofika kwenye mkutano huo wakishangilia jambo. 
 Nyomi la watu . 
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akisalimiana na  Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba
  Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia  ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Bumbuli Mhe. January Makamba akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni za CCM.

 Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa Tanga na vitongoji vyake wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya Tangamano kwenye mkutano wa kampeni za CCM,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliwahutubia wananchi hao.
 Dkt Magufuli akisisitiza jambo mbele ya maelfu ya wananchi (hawapo pichani) jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika uwanja wa Tangamano.
  Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba akihutubia wakazi wa Tanga mjini kwenye mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa Tangamano. 
  Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia  ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Bumbuli Mhe. January Makamba na Naibu Waziri wa Fedha na mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba  Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano wa kampeni jioni ya leo katika uwanja wa Tangamano,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alihutubia na Kumwaga sera zake kwa wananchi,ikiweno na kuomba ridhaa ya kuwaongoza katika miaka mitano ijayo.
 Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Mzee Yusuph Makamba akihutubia wakazi wa Tanga mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika ndani ya viwanja vya Tangamano.

 Maelfu ya Wananchi wakimsikiliza Dkt Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake na kuwaomba wananchi hao wajitokeze kwa wingi Oktoba 25 na kumpigia kura ya ndio ili aibuke mshindi na kupewa ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa mji wa Tanga waliofika kwenye mkutano hadhara wa kampeni,uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Tangamano mjini humo na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu.

PICHA NA MICHUZI JR-TANGA

Zaidi ya wanafunzi laki 7 wa darasa la 7 kuanza mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa muda wa siku mbili kuanzia kesho.

UGANDA PUBLIC OPINIONS BODY, DIPLOMAT HAIL PRESIDENT KIKWETE FOR EXEMPLARY LEADERSHIP

Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi

$
0
0
 Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye pia ni Waziri wa nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Ujasiriamali Mhe.Shri Rajiv Pratap Rudy akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete barua yenye ujumbe kutoka kwa kiongozi huyo wa India ikulu jijini Dar es Salaam 
  Mjumbe maalum wa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye pia ni Waziri wa nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Ujasiriamali Mhe.Shri Rajiv Pratap Rudy akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete barua yenye ujumbe kutoka kwa kiongozi huyo wa India ikulu jijini Dar es Salaam 
Rais Dkt.Jakaya Mrisjo Kikwete akisoma barua yenye ujumbe kutoka kwa waziri Mkuu wa India mara baada ya kukabidhiwa ikulu jijini dar es Salaam. Picha na Freddy Maro

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA MJINI TANGA

BI. SAMIA SULUHU AHAIDI UMEME KILA KIJIJI RUVUMA, VIWANDA VYA MAHINDI NA KAHAWA

$
0
0
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini, Martin Mtonda (kushoto) na mgombea udiwani wa CCM.
MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu ameanza ziara yake mkoani Ruvuma akiinadi ilani ya chama hicho huku akiahidi neema kwa wakulima wa kahawa na mahindi wa mkoa huo.

Bi. Samia Suluhu ambaye amehutubia mikutano mitatu katika majimbo mawili ya mkoa wa Ruvuma yaani Jimbo la Nyasa na Mbiga Vijijini, akizungumza katika mikutano yake amesema serikali itakayoundwa na CCM endapo itashinda itahakikisha inashusha umeme katika vijiji vyote vya mkoa huo kwa awamu ili kuchochea maendeleo ya wananchi.

Alisema kwa kuwa mkoa huo unazalisha mazao ya mahindi na kahawa serikali itahakikisha inaanzisha viwanda eneo hilo vya kusaga na kuandaa unga wa mahindi kwa wakulima na kuwawezesha ili wauze unga na kunufaika zaidi tofauti na ilivyo kwa sasa ambapo wamekuwa wakilanguliwa.

Alisema viwanda vingine ambavyo Serikali ya CCM itavianzisha ni pamoja na viwanda vya kubangua kahawa na kuiandaa kikamilifu tayari kwa kutumika, jambo ambalo alisema licha ya kuongeza thamani ya zao hilo itaongeza ajira kwa vijana na kuchochea uchumi wa wakulima eneo hilo.
Akizungumzia miundombinu ya barabara ambayo bado ni changamoto kwa mkoa huo hasa vijijini alisema serikali itakayoundwa na CCM chini ya uongozi wa Dk. John Pombe Magufuli pamoja na yeye watahakikisha wanajenga na kuboresha barabara za maeneo hayo ili ziweze kupitika kwa uhakika.

Hata hivyo kiongozi huyo amesema Serikali itakayoundwa na CCM endapo itashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2015 imejipanga kuboresha vizuri huduma za afya kuondoa ukiritimba na rushwa, elimu kwa kutoa elimu bure toka darasa la kwanza hadi kidato cha nne pamoja na ujenzi wa mabweni na uwezeshaji vijana na akinamama kiuchumi popote walipo mjini na vijijini.

Ziara ya mikutano ya kampeni ya mgombea mwenza huyo wa urais tiketi ya CCM, inaendelea leo katika Mkoa wa Ruvuma na ataingia Jimbo la Tunduru kuendelea kuinadi ilaya ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi ili waweze kurejeshwa madarakani na kuunda dola.
Pichani juu ni baadhi ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamefurika katika kiwanja cha Kijiji cha Maguu Wilaya ya Mbinga kumsikiliza mgombea mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCM alipokuwa akiinadi ilani ya chama hicho.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Viewing all 109996 articles
Browse latest View live




Latest Images