Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109593 articles
Browse latest View live

EALA ASSEMBLY HAILS KENYAN TRACK STARS FOR EXEMPLARY SHOW IN BEIJING AS IT ADJOURNS

0
0
David Rudisha, the 800 metres sprint “King is Back”. Rudisha led a number of athletes including another comeback Vivian “Pocket Rocket” Cheruiyot in bagging medals as Kenya made news in Beijing, China this week, putting the East African nation back on the athletics world map.
 As Kenya’s athletes continued firing from all cylinders, their famous victories also caught the eye and attention of EALA at its sitting in Kampala, Uganda this afternoon as it moved a Motion for Resolution to support the East African Athletes from the Republic of Kenya at the on-going World Athletics Championships in Beijing. 
 The Resolution appreciated that Kenya had taken the lead in the Beijing games having amassed a total of 11 medals, 6 gold, 3 silver and 2 bronze. 
 Our East Africans of Kenyan origin need to be commended for their exemplary performance to uplift the name of Kenya in particular and the EAC region in general in World Athletics Championship,” Hon Ngoga said. 
 Hon Ngoga said it was necessary for the EAC to collectively take pride when one of its own (Partner States) excels. There is some excitement this year out of the games. 
Each medal Kenyans win is out of their sweat”, Hon Ngoga added. “We need to recognize the prowess and mention that they are inspiring the young persons”, he added. 
 The Resolution further urges the EAC Council of Ministers to implore Partner States to provide more funding and establish the state of art facilities which if done, will enable EAC athletes to enhance their skills and dominance at the world stage. 
 EALA also resolves that EAC Partner States should protect sports personalities especially the females who are prone to different forms of abuse.The Resolution recognizes that culture and sports play a key role in the existence and survival of the communities, particularly for social cohesion, solidarity, stability and identity. 
 This is further anchored by Article 19 of the Treaty for the Establishment of the EAC which obliges Partner States to promote close co-operation amongst themselves in culture and sports with respect to promotion and enhancement of diverse sports activities. 
 It also underscores the development of mass media programmes on matters that will promote the development of culture and sports within the Community. During debate, Hon Dr James Ndahiro termed the Resolution timely and that it was further in line with the enactment of the Culture and Creative Industries Bill, 2015 passed by the Assembly at the Sitting. Hon Leonce Ndarubagiye said athletes were indeed the pride of Africa. Hon Mumbi Ngaru said sports was key and mentioned that integration was on-going through sports. 
 “The EAC Military Games are on-going here in Kampala, Uganda this week and it is in order that I applaud all participants”, she said. 
 Hon Susan Nakawuki noted that She-Cranes (Uganda) had also performed well in the Netball World Cup as was a number of athletes from Republic of Uganda. 
She called on the EAC Partner States to establish rigorous infrastructure to effect anti-doping measures in the industry. Hon Mike Sebalu said it was time for the EAC to associate with the celebrities and icons of the region and in that way create awareness. 
Hon Sarah Bonaya said the rest of the Partner States could learn from the successes of Republic of Kenya who have invested heavily in athletics and sports. Hon Abdullah Mwinyi rooted for grassroots’ support. “It is of critical importance as we broaden base of talent and opportunities at all levels. The EAC can think about a further competition. I commend them for organizing debates. 
 Let us have athletics for example also done.” he said. He lauded Julius Yego, the gold winner of Javelin who threw 92.72 metres, setting a new continental and national record. The Gold winner picked up interest from YouTube videos. 
 “This is a devastating example of technology allied with determination,” he said. With the Resolution, the Speaker of EALA, Rt. Hon Daniel F. Kidega adjourned the Assembly Sine die (Indefinitely). At the Session, EALA passed at total of 6 Reports, 1 Bill, 3 Resolutions and deferred another Bill. The Assembly also administered the Oath to the incoming Counsel to the Community as an ex-officio of EALA
Hon Martin Ngoga: Moved the Resolution congratulating East African Athletes from Kenya for their exemplary performance at the World Athletics Championships in Beijing

Hon Mumbi Ngaru speaks in support of the Resolution

MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA

0
0

 picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini arusha
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
 wachezaji wa pentagoni wakiwa wanamsikiliza mwalimu


picha zote na woinde shizza, Arusha

MICHUANO yamchezo wa wavuklabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu shiriki zikichuana vikali kwa kuonyesha ubabe.Katikaufunguzi  wa michuano hiyo timu zaPentagone na Flowers za jijini Aruisha zilifungua mashindano hayo ambapozilifanikiwa kumalizamchezo kwa timu ya Pentagone kuibuka na ushindi wa seti3-0 dhidi ya wapinzani wao.
Michezo mingine ilichezwa kwa wanaume ambapoilizikutanisha timu za  Dodoma ambayo iliibuka na ushindi wa  seti 3-0 dhidi yaTanga, Karatu  walishinda seti 3-0 dhidi ya Flowers  hukuwa na upande wa wanawake timu ya Dodoma ilichabangwa jumla ya seti 3-0 na wenzaoTanga. 
Mashindano hayo  yaliyoandaliwa na chama cha wavu
Tanzania(TAVA)  kwa Kushirikiana na chama chawavu mkoa Arusha
(AVA)yamekutanisha ,ikoa mitatu pekee ambayo ni Arusha ,Dodomana Tanga
huku vilabu sita kutoka mikoa hiyo ndivyo vinaonyeshana
ushindaniambavyo ni Pentagone kalbu,Flowers Arusha,Karatu,JKT Mbweni
ya Dar es salaam ,na Dodoma na Tanga vikiwakilishwa na timu mbili za
wanaume na wanawake kilamoja.

Makamomwenyekiti wa chama cha wavuTanzania (TAVA) Muharami  Mchume alisema kuwa  mikoa mingine imeshindwa kushirikkutokana na sababu mbalimbali za kwao kwanizilithibitisha kuja lakini hazikuweza kufika .“Baadhi ya vilabu viliweza kutupa taarifa ya kushindwa kuja kwao katika mashindano hayaikiwemo vilabu vya  jeshi na magerezamabavyo  vilitupa sababu yakuwa katikamasuala ya ulinzi na usalama.”alifafanua Mchume.
Aidha alieleza zawadi mbalimbali ikiwemo medali navikozitatolewa kwawashindi na kuongeza kuwa  Mabingwa watetezi wa michuano hiyo ya
wavu2014  timu ya Magereza kwa wanawakekutoka jijini Dar es salaam

TAARIFA MBALIMBALI KUTOKA TFF LEO

0
0

STARS KUWAVAA LIBYA KESHO
Baada ya kufanya mazoezi kwa takribani siku nne katika viwanja vya hoteli ya Green Park Kartepe, timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, kesho ijumaaa itacheza mchezo wa kirafiki wa mazoezi katika uwanja wa kwanza wa hoteli ya Kartepe. Fuata link chini kwa taarifa zaidi

U-15 YAJIFUA MOROGORO
Kikosi cha wachezaji 22 wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) kilichopo kambini mjini Morogoro, kimeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya kombaini ya Morogoro mwishoni mwa wiki. Fuata link chini kwa taarifa zaidi

TWIGA YAZIDI KUJIFUA ZANZIBAR
Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars) inaendelea na mazoezi kisiwani Zanzibar kujiandaa fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) zitakazofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzavile. Fuata link chini kwa taarifa zaidi

RATIBA YA FDL YATOKA
Ratiba ya Ligi Daraja la Kwanza nchini (FDL) imetoka  ambapo itaanza kutimua vumbi tarehe 19 Agosti, 2015 kwa timu 24 zinazoshiriki ligi hiyo kutoka katika mikoa mbali mbali nchini. Fuata link chini kwa taarifa zaidi



TFF YAMPONGEZA BAYI
Nchi ya Misri imetangaza kujiondoa dakika za mwisho kushiriki kwenye fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) kwa timu zake za Wanawake na Wanaume, fainali zinazotarajiwa kuanza kutimu vumbi mwezi Septemba nchini Congo- Brazzavile. Fuata linki chini kwa taarifa zaidi


MISRI YAJITOA ALL AFRICA GAMES
Nchi ya Misri imetangaza kujiondoa dakika za mwisho kushiriki kwenye fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) kwa timu zake za Wanawake na Wanaume, fainali zinazotarajiwa kuanza kutimu vumbi mwezi Septemba nchini Congo- Brazzavile. Fuata link chini kwa taarifa zaidi.


Baraka Kizuguto
MEDIA & COMMUNICATION OFFICER
Tanzania Football Federation - TFF

LOWASSA AHUTUBIA BARAZA LA WANAWAKE WA CHADEMA LEO JIJINI DAR

0
0
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwasalimia baadhi ya Wanawake wanaounda Baraza la Wanawake wa Chadema, waliokuwa wamefurika kwa wingi nje ya Jengo la LAPF, Kijitonyama jijini Dar es salaam, wakati walipowasili kwa kuhutubia Baraza hilo.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akizungumza machache wakati akiwasalimia maelfu ya Wanawake wanaounda Baraza la BAWICHA, waliokuwa wamekaa nje ya jengo la LAPF kutokana na kukosa nafasi ndani ya Ukumbi huo. Mh. Lowassa alilazimika kusimama na kuwasalimia kinamama hao kabla ya kuingia Ukumbini kulihutubia Baraza hilo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimueleza jambo, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWICHA), Mh. Halima Mdee wakati akilihutubia Baraza hilo.

KUONA PICHA ZAIDI

BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA

NEC YAFANYA HITIMISHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

TANZANIA BLOGGERS, EDITORS URGED TO ENSURE PUBLIC MAKES INFORMED CHOICE

0
0

 Gasirigwa Sengiyumva from MISA Tanzania, giving briefly introduction about the training , asking editors and bloggers there expectation after training and the aim of the Training today .
Mr. James Malenga from National Organization of Legal Assistance(NORA), explaining about analysis of the ATI,RTI Law and importance on Election Reporting , Also a Glimpse at the guidelines on Media coverage of Elections in SADC Region(Role of Media in Elections)
 Maxence Melo Managing Director - Jamii Media who talks about Brief analysis of the Cybercrime and Statistic laws and its effect on reporting Elections also the opportunity of Using ICT for access of information and reporting on Election plus risk involved.




Bloggers and Editors during the training.

By Gasirigwa G.S
Giving stories fair and balanced treatment, working within the specified limits of laws and regulations, maintaining core values of the profession and ensuring the public makes informed choices were among the messages that emerged during the one day workshop for editors and bloggers in Dar es Salaam today.
A group of selected Dar es Salaam based editors and bloggers were earlier trained on how to safely access and share information during the October general election. The aim of the workshop was to improve/enhance knowledge and skills of selected media personnel in various outlets in order to enable them to access relevant information, cover and report qualitatively as well as responsibly the 2015 general election.
Key presentations focused on the contents of the Media Services Bill, Access to Information Law, Cybercrime and Statistics Acts as well as the 2015 election broadcasting Code.

One of the facilitator James Marenga (Advocate) highlighted the contents of the already tabled Media Services Bill and the Access to Information Law and cautioned participants that although these are not yet signed as Laws, the existing Newspaper Act of 1976 will punish them if they are not careful. “Our purpose is to lead people to make informed choices by giving them relevant reportage of the campaigns and the election but at the same time making sure that we are not contravening the existing laws”, he said.
The media are required to provide relevant information, analyse it and additionally offer substantive opinions to the public, while also serving as a platform for debate and discussion. 
Furthermore, the media shall fulfill their watchdog role by promoting transparency and thus preventing electoral fraud. Make reference to the TBC- “Uchaguzimajimboni” program in 2010 General Election.
Marenga highlighted that media have a duty to provide election coverage that gives the voter comprehensive, accurate and reliable information on all aspects of the electoral process. 
This information will also help to ensure that the voters know and understand their democratic rights and exercise them free from fear, intimidation or coercion.
“Many of you are not aware of the existing content of the Cybercrime Act and the subsidiary legislation on broadcasting that was gazzeted in June this year. 
This will surely affect you and you shall go to jail if you are not careful. My appeal to you is to work safely within the existing law”, added MaxenceMelo from Jamii Media.
Blogger and Investigative Journalist Danny Mbega openly said that, despite working in the industry for decades, he wasn’t aware of so many things until today. His comments are echoed by blogger Geofrey Ernest of Habari.Com who says among other things that if most of these laws are in place, the future of Journalism is in jeopardy.
The training that took part in Dar Es Salaam brought together 18 mainstream media editors and bloggers and was supported by CIPESA, a Ugandan based organization that works to promote ICT policies and access to information in Africa.  

JOTO LA ASUBUHI LA EFM 93.7 IJUMAA AUGUST 28, 2015

UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE, PEMBA

0
0
 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akirusha mabofu kama ishara ya uzinduzi wa Kiwanja cha Basketball cha Polisi Mess Wete,ambapo pia aligawa vifaa mbali mbali vya michezo kwa Timu za Wilaya hiyo kwa michezo mbali mbali jana akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake katika sherehe za uzinduzi wa Kiwanja cha Basketball cha Polisi Mess Wete,kabla ya kugawa vifaa mbali mbali vya michezo kwa Timu za Wilaya hiyo kwa michezo mbali mbali jana akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi vifaa vya mchezo wa Karati khalfan  Suleiman wa Wete  katika sherehe za uzinduzi wa Kiwanja cha Basketball cha Polisi Mess na ugawaji wa vifaa kwa Timu mbali mbali za Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana akiwa katika ziara ya kikazi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi vifaa vya mchezo wa Bad minton Ali Mwinyi Faki katika sherehe za uzinduzi wa Kiwanja cha Basket ball cha Polisi Mess na ugawaji wa vifaa kwa Timu mbali mbali za Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana akiwa katika ziara ya kikazi. Picha na Ikulu - ZNZ

NEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MBILI KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA\

0
0
 Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhan (kushoto), akimkabidhi Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Benedict Wakulyamba orodha ya majina 52,078 ya watu waliojiandika katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR zaidi ya mara mbili Dar es Salaam leo, kwa ajili ya uchunguzi na baadae hatua za kisheria zichukuliwe kwa wahusika.
 Masanduku ya BVR yakiwa yamehifadhiwa Bohari ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Daftari la mpiga kura, Dk. Sisti Cariah (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu hatua waliyoifikia kuhusu daftari hilo na shughuli mbalimbali zinazoendelea kufanywa na NEC kuelekea uchaguzi mkuu.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

ASSEMBLY HAILS UGANDA FOR INTRODUCING THIRD GENERATION ID CARDS FOR ITS CITIZENS

0
0
EALA has this afternoon passed a Resolution congratulating Republic of Uganda upon introducing national identity cards (third generation) for its citizens and encouraged Partner States which are still in the process of doing so to finalise.

The Resolution moved by Hon Susan Nakawuki, hails Uganda saying the country has come a long way in the process of issuing national identification documents to its nationals in compliance with Article 8 of the Common Market Protocol.

“The ID card is to facilitate delivery of national development based on reliable and verifiable data, enable Governments plan properly and provide easy access to social facilities and services like the Health systems.

It also facilitates school capitation grants based on verifiable identities and data at local level, facilitates transparent and trustworthy business transactions, reduces level of crime in Community and improves security”, a section of the Resolution reads.

The Resolution further congratulates the Republic of Rwanda which had introduced machine readable ID cards way before the entry of the Common Market Protocol and the United Republic of Tanzania which has also commenced on the exercise of issuing the same.

All EAC Partner States have embarked on the process of issuing 3rd Generation identity cards including the Republic of Kenya which pioneered national ID systems and is now embarking on the upgrade from 2nd Generation to 3rd Generation IDs.

Identity cards also enable citizens to facilitate regional integration and travel.During debate, Hon Hasa Mossi called for accuracy in data management. “We can achieve this aim when coming up with the third generation cards”, she said.Hon Abdullah Mwinyi said getting right data was fundamental to improve the livelihoods of East Africans. Governments must know their people so they can systematically bring their people out of poverty.

“It is not just simply measuring, but reliable data can catalyse change”, Hon Mwinyi said.

Hon Valerie Nyirahabineza said while oversighting the Common Market Protocol, observed the slow pace of implementation. “This Resolution is important as it calls on all Partner States to move with the Protocol. We urge the Council of Ministers to urge Partner States to fervently implement the provisions of the Protocol”, Hon Nyirahabineza said.

Hon Dora Byamukama lauded the Partner States that have Identity cards and said a time should come when there is free movement of persons in totality.
Hon Susan Nakawuki presents the Resolution
Hon Valerie Nyirahabineza also supported the Resolution.
Hon Abdullah Mwinyi contributes to the debate on the Identity cards.

DIRA YA DUNIA YA BBC SWAHILI, LONDON

MAKALA YA SHERIA: KUMSHITAKI ASKARI ALIYEKUBAMBIKIZA KESI

0
0
Na  Bashir  Yakub 

Kumbambikiza   mtu kesi  ni  kosa. Si  tu  ni  kosa  bali  pia  ni  kinyume  kabisa cha  haki  za  binadamu  na ustaarab wa  dunia. Inawezekanaje  mtu  akashtakiwa  kwa  kosa  ambalo   si  tu  hakulitenda  bali  pia  halijui  kabisa. Ni  matendo  yanayofanywa  na  watu  makatili  na  mabazazi.  Niseme  tu  mapema  kuwa  kosa  hili  haliwahusu  tu  askari  isipokuwa  kila  mtu   ambaye  anaweza  kumshtaki  mwingine  kwa  kosa  ambalo  anajua  kabisa  halikutendeka  au  lilitendeka  lakini  anayeshitakiwa  siye  aliyelitenda. 

1.NINI  MAANA  YA  KUBAMBIKIZA  KESI.

Kwa  jina  la  kitaalam  kubambikiza  kesi  huitwa  “malicious  prosecution”. Kwa  tafsiri  ya  kiswahili  ya  moja  kwa  moja  ni  “kushitaki  kwa  hila”. Linatumika  neno  kubambikiza  kesi  kwakuwa  ndilo  lililozoeleka  na  kufahamika. 

 Maana  ya  kubambikiza  kesi  ni  kumfungulia  mtu  kesi  ya  jinai  kwa  hila  na  bila  sababu  za  msingi  lakini  mtu  huyo  aliyeshitakiwa akashinda hiyo kesi. Kwa  tafsiri hii  tunapata  kujua  kuwa  kubambikiza  kesi  kunahusisha kushtakiwa  kwa  kesi  za  jinai. Kwahiyo  kusingiziwa  kutenda  jinai  ndio  kubambikizwa  kesi.  Jinai  ni  kama  kushtakiwa  kwa  wizi,  ukabaji, ubakaji, udhalilishaji, kutusi, kuharibu  mali, kupigana, kukutwa  na/au  kujihusisha  na  dawa  za  kulevya  ikiwemo  bangi, kuua,  kujaribu  kuua  au  kujiua, kula  njama , utapeli,  na  mengine  mengi. 

Ukisingiziwa  kutenda  haya   na  ukashitakiwa  basi  unakuwa  umeingia  katika  maana  ya  kubambikizwa  kesi.

2.  TABIA  YA  ASKARI  KUWAMBIKIZIA  KESI  RAIA.

Jamii  imelalama  sana  kuhusu  hili. Leo  si  ajabu  bodaboda   akazozana  na  askari  kuhusu  labda  ukiukaji  wa  taratibu  za  barabarani   lakini  akafikishwa  kituoni  akaambiwa  aoneshe  bunduki  ilipo. Au  mtu  akakamatwa  kwa  kosa  la  ugomvi   akafikishwa  kituoni  akaandikiwa  kosa  la  kukutwa  na bangi. Na  mambo  mengine  yanayofanana  na  hayo. Jamii  imekuwa  haina  amani  na hili  limelegeza  sana  uhusiano  wa  jeshi   la  polisi  na  wanajamii. 

Utafiti  unaonesha  kuwa   hali  hii  imekuwa ikijitokeza  hasa  pale ambapo askari  amekosana  na  mtu   pengine  umejitokeza  ubishi   wakati  raia  akikamatwa au vinginevyo ambapo  askari  hufanya hivi  kuonesha  kwamba   anaweza.  Zaidi  baadhi  ya  watu  hasa  wenye  fedha  wamekuwa wakitumia  njia  hii kuwakomoa  au  kuwatia   adabu  wabaya  wao. Askari  anatanguliziwa  kidogo  linatengenezwa  kosa,  mtu  anakamatwa  na  kushitakiwa. 

TASWIRA MWANANA YA LEO

DKT MAGUFULI: UKINUNUA MADARAKA IPO SIKU UTAWAUZA ULIOWANUNUA

0
0
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji wa Mbalizi  mkoa mpya wa  Songwe,katika mkutano wake wa kampeni uliohudhuriwa maelfu ya wananchi, Dr. John Pombe Magufuli amewaomba wananchi wa Mbalizi kummpa kura za ndiyo ili aweze kuongoza watanzania na kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii ya watanzania wa hali ya chini.

Amesema ametumikia nchi hii kwa miaka 20 serikalini akiwa Waziri na amekuwa mkweli na muwazi ndiyo maana ameweza kuisimamia vizuri kila wizara au jukumu alilopewa na wakubwa wake akiwatumikia Watanzania na sasa anaomba nafasi ya urais ili aweze kutekeleza vyema jukumu lake la kuwatumikia Watanzania .
Aliongeza kuwa ndiyo maana katika mchakato mzima wa kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi  alifanya kimya kimya na hakutumia fedha yoyote hivyo hakuna mtanzania yeyote anayemdai fedha ila anadaiwa utumishi uliotukuka wenye uaminifu, kujituma na kutetea maslahi ya watanzania na taifa kwa ujumla katika  taifa la Tanzania, Ameongeza kwamba ukitumia fedha kuingia madarakani na kununua madaraka ipo siku utawauza uliowanunua.



Wananchi waliokusanyika kumsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika stendi ya mabasi mjini Mbalizi wakishangilia huku wakipiga makelele kwamba anatosha na anafaa kuwa Rais na wameahidi kumpigia kura ya ndiyo.
Wafuasi wa chama cha CCM na wananchi wakiwa wamekusanyika katika stendi ya mabasi mjini Mbalizi wakimsikiliza mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ambapo aliwahutubia na kuwaomba wampe kura ya ndiyo ili aweze kuwoangoza katika awamu ya tano.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulia akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wakazi wa Mbalizi na kuendelea kusisitiza kuwa elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne,kuongeza maslahi ya walimu pamoja na jeshi la polisi.
Wakazi wa mbalizi wakimsikiliza mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akimwaga sera za kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha awamu ya tano,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kituo cha mabasi Mbalizi.
Maelfu ya watu wakiwa na kiu kubwa ya kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha CCM mjini Mbalizi.

Wananchi wa mji wa Chunya mjini wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika viwanja vya Saba Saba Chunya mjini kwenye mkutano wa kampeni,ambapo Magufuli aliwahutubia wananchi hao na kuwaomba kura ya ridhaa ya kuwaongoza kwa kipindi kijacho cha awamu ya tano.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,alipokuwa akiwasili katika kijiji cha Makongorosi kuwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni.
Wananchi wa Makongorosi wakimsikiliza kwa makini  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia mjini hapo kwenye mkutano wa kampeni
Wananchi wa Makongorosi wakimshangilia Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia mjini hapo kwenye mkutano wa kampeni.


UPENDO NKONE ACHOMOZA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU

0
0
indexG
MUIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili anayetamba katika muziki huo, Upendo Nkone amekubali kushiriki katika Tamasha la Kuombea amani katika uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Nkone ni muimbaji wa kwanza wa Tanzania kukubali kushiriki katika tamasha la hilo la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4.
Msama alisema  wanaendelea na mchakato wa kuzungumza na waimbaji wengine ili kuwa na idadi kubwa ya waimbaji wa Tanzania sambamba na wengine kutoka nje.
Msama alisema wanajipanga kualika waimbaji kutoka nchi tano za Afrika kwa lengo la kunogesha uzinduzi huo ili ujumbe wa neno la Mungu ufike kwa dhati.Aidha Msama alisema sambamba na waimbaji kutoka nje ya Tanzania pia wanajipanga kutangaza amani katika mikoa 10 ya Tanzania bara.
“Tunaendelea na mikakati ya kufanikisha Tamasha hilo ambalo litakuwa ni la aina yake, hivyo wadau mbalimbali wasubiri tamasha hilo,” alisema Msama.
Msama alisema Tamasha hilo litahudhuriwa na wadau mbalimbali kwa kushirikisha wanasiasa, viongozi wa dini mbalimbali na makundi mengine kama wasanii na wanamichezo

MAGUFULI ALIVYOUNGURUMA MJINI MBALIZI

MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR

0
0
????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akisalimiana na Afisa Ugavi Mkuu wa Bohari Kuu ya Maji, Datus Bahati mara baada ya kuwasili Bohari Kuu ya Maji wakati wa ziara yake ya siku tatu ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA) ambapo aliitimisha ziara hiyo Agosti 27, 2015 kwakukagua miradi iliyopo daraja la mpiji na Kerege na maungio ya maji ya wazo.
IMG_2809Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Bohari Mkuu wa Wizara ya Maji, Crepn Balamu, jinsi mita za kisasa kutoka Uturuk zinavyofanya kazi ambapo amesema kazi yao ni kuingiza na kuwauzia mamlaka za maji katika miji nchini, kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mary Mtukula.
DSC_00733Kutoka kulia ni Bohari Mkuu wa Wizara ya Maji, Crepn Balamu akimpa maelezo Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla vifaa vya kuunganisha maji wakati wa ziara yake ya siku ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA)

ALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MWANZA

0
0

 Nahodha wa timu ya Alliance Academy Ally Hamisi (kushoto) akikabidhiwa
kombe na Mwenyekiti wa Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA)Bw. Jackson Songora 
baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza 
upande wa wavulana jana.
Nahodha wa timu ya wasichana ya Marsh Meriany Kimbuya (kushoto)
akikabidhiwa na kombe na Meneja Masoko wa Airtel Kanda ya Ziwa Bw.
Emmanuel Raphael baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars
mkoa wa Mwanza upande wa wasichana jana.

TIMU  ya wavulana ya Alliance Academy ya jijini Mwanza jana imetwaa
uchampioni wa michuano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya
Aitel Rising Stars kwa kuwafunga Misungwi Academy 3-1 kwenye uwanja wa
CCM Kirumba.

Kwa upande wa wasichana timu ya Marsh ndio iliyotawazwa mabingwa kwa
kushinda timu ya TSC kwa magoli 3-2 katika mchezo mkali uliovuta hisia
za watamazaji waliojitokeza kushuhuduia mtanange huo.

Akikabidhi vikombe kwa washindi, Mwenyekiti wa soka mkoa wa Mwanza Bw.Jackson Songora amewataka wachezaji waliochaguliwa kuiwakilisha Mwanza vyema kwenye fainali za Taifa za Airtel Rising Stars zinatarajiwa


kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 11 hadi 21. Songora
alisema kwamba kikosi kilichochaguliwa kitaanza mazoezi Jumamosi.

Naye Meneja masoka wa Airtel kanda ya Ziwa Emmanuel Raphel
alizipongeza timu zote kwa kushiriki na kuwaasa wachezaji kulinda na
kuviendeleza vipaji vyao ambavyo ni hazina kwa taifa. Aliseema lengo
lilikuwa ni kuibua vipaji na kuwaasa vijana ambao hawakuchaguliwa
kutokata tama na badala yake wajinge kufanya vizuri mwakani.
Kukamilika kwa michuano hiyo jijini Mwanza ndio kunafunga pazia la
Airtel Rising Stars ngazi ya mkoa iliyoanza kutimua vumbi mwezi
uliopita.

Hivi sasa kombaini za mikoa zilizochaguliwa kuwakilisha mikoa yao
zinajiandaa kwa fainali za taifa na mwenyekiti wa soka la vijana wa
shirikisho la mpira nchini Bw. Ayoub Nyenzi amesema kuwa maandalizi ya
michuano hiyo yamekamilika.

 Mashindano ya Airtel Rising Stars ambayo mwaka huu yanashirikisha
mikoa ya Ilala, Kinondoni, Temeke, Morogoro, Mbeya, Mwanza na Arusha
inatarajiwa kuingia kwenye hatu nyeti ya fainali za Taifa iliyopangwa
kufanyika kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuanzia Septamba 11
hadi 21.

TMT GRAND FINALE 2015 DANGA CHEE(SHAMSA DANGA)

KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

0
0
    Kimepimwa
    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.
    Majirani pia wamepima
    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri
    Ukubwa ni square meter 1939.
    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu
    Bei ni Million 90. 
    Hamna dalali

Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333
Viewing all 109593 articles
Browse latest View live




Latest Images