Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109602 articles
Browse latest View live

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM

0
0
????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa ameongozana na wakandarasi wa miradi na maofisa kutoka Wizara ya maji. wakikagua ujazo wa maji Ruvu Darajani.
????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla pamoja na wakandarasi wa miradi na maofisa kutoka Wizara ya maji. wakikagua wakiangalia kina cha maji kilipofikia.
????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (wa pili kushoto) akiwa ameongozana na Meneja mradi wa Kampuni ya WABAG kutoka India. Pintu Dutta (watatu kulia) Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mary Mtukula, Injinia Masudi Omari, Meneja Usimamizi Uendeshaji na Mazingira DAWASA, Modesta Mushi wakikagua maendeleo ya mradi wa kituo cha kusafisha maji cha Ruvu juu.

Kipindi cha JUKWAA LANGU: Jumatatu Agosti 24, 2015

0
0
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015

TANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI

0
0

Kaimu Meneja Masoko wa Shirika la Hifadhi za Taifa,TANAPA,Victor Ketansi akizungumza na wanahabari(hawako pichani) juu ya Kampeni ya uhamasishaji wa utalii wa ndani kwa wazawa itakayodumu kwa muda wa miezi sita.

Baadhi ya Maofisa kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa,TANAPA, pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii wakizungumza na wanahabari (hawako pichani ) juu ya kampeni ya kuhamasisha wananchi kutembelea hifadhi za taifa ambapo katika kipindi cha miezi sita watakao tembelea zaidi ya Hifadhi nne watapata ofa ya kutembelea Serengeti ikiwa ni pamoja na kugharamiwa maradhi katika hoteli yenye hadhi ya nyota tano.

Mkuu wa Idara ya Utali katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Eva Mallya akizungumza vivutio mbalimbali vunavyopatikana katika hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro.

Mwakilishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye pia ni afisa utalii mfawidhi na mkuu wa kanda ya utalii Kaskazini,Lauriano Munishi akizungumza jambo mbele ya wanahabari(hawako pichani)juu ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha utali wa ndani.
Mkuu wa Idara ya Utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha,(ANAPA) Neema Philip akizungumzia vivutio mbalimbali vinayopatikana katika hifadhi ya Arusha.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA.

0
0

Afisa Mwandamizi anayeshughulikia Sera na maendeleo ya kilimo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Bill na Melinda Gates Bw. Stanley Wood akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha mazungumzo na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) nchini Tanzania kuangalia uwezekano wa taasisi hiyo kusaidia miradi ya ukusanyaji wa Takwimu za kilimo nchini Tanzania.Kushoto kwake ni Mratibu wa miradi wa Taasisi hiyo Bi.Bhramar Dey.
 Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt.Albina Chuwa akizungumza na waandishi wa habari Kuhusu umuhimu wa takwimu za Kilimo nchini Tanzania na mikakati ya Serikali na wadau mbalimbali katika kufanikisha upatikanaji wa Takwimu za kilimo nchini.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw.Morrice Oyuke.

Introducing Kids Planet pre-school at Mbweni JKT in the outskirts of Dar es salaam.

0
0
Welcome to Kids Planet pre-school at Mbweni JKT in the outskirts of Dar es salaam. We offer quality educational facilities in a safe and comfortable environment. Our qualified, exposed and experienced 
staff will teach your children to learn through play. 
We have a well stocked library, computer facilities, self contained classrooms and much more! 
Register now school starts on 31st August! 
For more information call 0785570857 
or follow the road signs. Just turn off Bagamoyo 
road and head towards Ndege Beach.
safe and comfortable environment. 
Well stocked library, computer facilities, self contained classrooms and much more! 


MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWA

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APASUA ANGA MKOANI RUKWA

0
0
 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.
   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.

   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa atawatumikia kwa nguvu zake zote, na hatokuwa na simile kwa watendaji wazembe.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe akisisitiza jambo alipokuwa akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Maji moto wilayani Mlele mkoani Katavi.
Wananchi wa Sumbawanga mjini wakiwa wamefurika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akimwaga sera kwa wananchi
Wananchi wa Sumbawanga mjini waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni ambapo Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliwahutubia.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Mh.Pinda akimtambulisha Dkt Magufuli kwa wananchi wa Kata ya Majimoto,wilaya ya Mlele mkoani Katavi kwenye mkutano wa Kampeni.
Umati wa wananchi wa Kitai wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli lipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa Kampeni.
Umati wa wananchi wa Namanyere walayani Nkasi mkoani Rukwa wakiwa wamefurika wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli lipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano huo wa Kampeni
  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini tayari kuwahutubia wakazi wa mji huo.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Nelson Mandela.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Nelson Mandela.


MTANGAZAJI WA BBC DIRA YA DUNIA SALIM KIKEKE ATEMBELEA OFISI ZA MICHUZI BLOG JIJINI DAR ES SALAAM LEO

0
0
Mtangazaji nguli  wa kipindi cha BBC Idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke alipotembelea katika ofisi za MICHUZI MEDIA GROUP (MMG), leo jijini Dar es Salaam. Michuzi Blog ni blog pekee duniani ambayo BBC dira ya dunia imeichagua kushirikiana nayo katika kuendeleza libenke la habari ambapo kila siku kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kipindi maarufu cha habari cha Dira ya Dunia hurushwa na Globu ya Jamii. Pamoja na mambo mengi mengine Kikeke ameipongeza Michuzi Blog kwa kuendelea kuwa kinara wa habari za uhakika kwa Kiswahili zinazosomwa zaidi duniani, pia ameipongeza blog hiyo kwa kutimiza miaka 10 ya huduma za uhakika toka ilipoanza Septemba 8, 2005 jijini Helsinki Finland. Mahojiano na Salim Kikeke yatakujia karibuni ikiwa ni moja ya shamrashamra za kusherehekea miaka 10 ya Michuzi Blog. Stay tuned!
Mtangazaji nguli  wa kipindi cha BBC Idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke akifanya mahojiano na mwandishi wa  Michuzi tv online na  Michuzi Blog, Chalila Kibuda,   jijini Dar es Salaam leo.
 Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Michuzi Media Group jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Michuzi Media Group, Muhidini Issa Michuzi, akiwa  na Mtangazaji kinara wa kipindi cha BBC  idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke jijini Dar es Salaam leo. 
Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Michuzi Media Group, Muhidini Issa Michuzi,Mpiga picha za Video, Bakari Issa Majeshi,Mtangazaji nguli wa kipindi cha BBC idhaa ya Kiswahili cha Dira ya Dunia, Salim Kikeke, Mwandishi wa habari, Chalila Kibuda, Mwandishi wa habari na Mpiga picha Avila Kakingo na Mdau Mpondela  wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya mahojiano na Mtangazaji huyo wa BBC leo jijini Dar es Salaam.

SALIM KIKEKE WA IDHAA YA KISWAHILI YA BBC LONDON AKIZUNGUMZA NA MICHUZI TV JIJINI DAR ES SALAAM

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VYAMA VYA SIASA KUZINGATIA RATIBA YA KAMPENI YA UCHAGUZI WA RAIS KWA KUFANYA MIKUTANO KWA TAREHE, SEHEMU NA MAHALA KWA MUJIBU WA RATIBA

TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.

0
0
 Kamanda Mpinga, akishiriki dua ya pamoja na wachezaji wa timu ya Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini, baada ya mazoezi yao timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki na timu ya Kamati ya Amani ya Mkoa wa Arusha unaotarajia kuchezwa mwezi ujao jijini Arusha na ule wa kirafiki kati yao na timu ya Mabalozi hivi karibuni. Kamanda Mpinga alifika kuwatembelea wachezaji hao kujionea maendeleo ya mazoezi yao. 
  Kamanda Mpiga akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini ya Mkoa wa Dar es Salaam,baada ya mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Kamanda Mpinga alifika kuwatembelea wachezaji hao kujionea maendeleo ya mazoezi yao.
 Kamanda Mpinga, akisalimiana na walimu wa timu hiyo, baada ya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi. 
Picha ma www.sufianimafoto.com

UHONDO WA DINA MARIOS NDANI YA 93.7 EFM

MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO

0
0


Na Mwandishi Wetu ,
KUTOKEA  kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.

 Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.

Watoto wenye ugonjwa wa moyo wanaweza kuonesha dalili wakati wa kuzaliwa. baadhi ya dalili hizi ni pamoja mtoto kubadilika rangi na kuwa wa bluu, mtoto kupumua kwa kasi, jasho nyingi, kuvurugika kwa mapigo ya moyo, kushindwa kula ambapo husababisha kushindwa kuongezeka uzito na mtoto kupata maambukizi katika mfumo wa upumuaji mara kwa mara. 

LA LIGA NDANI YA DSTV WIKIENDI HII

JOTO LA ASUBUHI LA EFM 93.7


MR MUSCULAR MAN TANZANIA AUGUST 29, 2015 AT JULIUS NYERERE CONVENTION CENTRE DAR ES SALAAM

BALOZI WA PAPA MTAKATIFU NCHINI FRANCHESCO PADILIA AMEMVALISHA MKANDA WA PALIOTAKATIFU ASKOFU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA BEATUS KINYAIYA

0
0



 Balozi wa Papa Mtakatifu wa kanisa katoliki Nchini Franchesco Padilia akitosi pamoja na Askofu Mstaafu wa kanisa katoliki Jimbo la Dodoma Mathias Isuja walipokua kwenye Tafrija Fupi ya kumpongeza Askofu mteule wa jimbo hilo aliyekuwa akivishwa mkanda  wa ngozi ya kondoo ujulikanao kama Pallium. baada ya kumkabidhi kusimamaia majimbo ya Dodoma, Kondoa na Singida
  Balozi anayemwakilisha Papa Fransico nchini, Askofu Beatus Kinyaiya na Fadha Chesco Msaga Mwenye Suti wakiingia kwenye ukumbi wa kanisa katoliki jimbo la Dodoma kwa ajili ya kumpongeza Askofu mwenyeji baada ya kuvalisha mkanda wa uliotengenezwa kwa ngozi ya kondoo ujulikanao kama Paliotakatifu [Pallium] ambao ni maalumu kwa maaskofu wakuu pekee.

 
 
 Mapadri wakiwa ndani ya ukumbi huo.

SIMU TV:HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

MSHINDI WA BONANZA LA TASWA KUONDOKA NA MAMILIONI YA FEDHA

0
0

Katibu wa taswa mkoa wa Arusha Akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tamasha la waandishi Agosti 29 uwanja wa kheikh Amri abeid mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Arusha, Filex Ntibenda,  kati kati mwenyekiti wa taswa mkoa Arusha, Jamila omar, Meneja matukio ya kampuni ya bia nchini TBL Chris Sarakana ambao wadhamini wakuu, na makamu mwenyekiti wa taswa Arusha, Andrea Ngobole
.

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari  vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29 katika uwanja wa sheikh Amri Abeid.


Akizungumza na waandishi wa habari Palace hoteli   mwenyekiti wa TASWA mkoa wa Arusha, Jamila Omar  na Katibu wa TASWA Arusha,  Mussa Juma walisema maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwepo ujio wa timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Omar alisema Kauli mbiu ya Mwaka huu ya Tamasha hilo ni kuwa,Uchaguzi bila vurugu inawezekana na   timu zitachuana katika michezo ya Soka, mbio zamagunia, kuvuta kamba, kukimbiza kuku na mpira wa pete.
Alisema mdhamini Mkuu wa Tamasha hilo ni Kampuni ya Bia nchini(TBL), ambapo wadhamini wengine ni TANAPA, Faidika, Mega Trade Investment,na SBC(T) Ltd.
Omar aliwataja wadhamini wengine kuwa ni, Shilika na nyumba nchini(NHC), Kampuni ya Tanzanite One,Coca cola na Big Expedition.
Akizungumzia tamasha hilo, Afisa matukio ya TBL Arusha, Chris Sarakana aliwataka wanahabari na wakazi wa mkoa wa Arusha kujitokeza na kuahidi TBL itaendelea kushirikiana na wanahabari.
Awali Katibu wa TASWA mkoa wa Arusha,Mussa Juma alitaja timu nyingine zitakazoshiriki ni TASWA Arusha, AJTC. Habari Maalum,Radio 5, Radio ,Faidika,Mj radio, Arusha one na ORS kutoka mkoa wa Manyara.
 Alisema kabla ya Tamasha wanahabari watatembelea hifadhi ya Taifa ya Arusha vile vile  kiwanda cha Bia nchini(TBL) mkoa wa Arusha na viwanda vya Mega Trade na Pepsi  mkoani hapa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 10 ya bonanza hilo

UZINDUZI WA KAMPENI KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA ACT KUFANYIKA JUMAPILI

Viewing all 109602 articles
Browse latest View live




Latest Images