Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110025 articles
Browse latest View live

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR


SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA

$
0
0
Wakazi wa mtaa wa Togo Kinondoni Jiji Dar es Salaam wakikatiza kando kando ya Shimo kama lionekanavyo pichani,hali ambayo ni hatari  hasa kwa wapita njia

KATIBU MKUU TAMISEMI ATEMBELEA BANDA LA LAPF MAONYESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABA SABA

$
0
0
 Katibu mkuu wa TAMISEMI Mh. Jumanne A. Sagine akisalimiana na Meneja Masoko na mawasiliano kwa Uma Bwana James Mlowe wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF . Mlowe amemweleza katibu mkuu jinsi LAPF ilivyoweza kuwa mshindi wa kwanza katika utunzaji wa kumbukumbu kwa wanachama katika sekta ya mifuko ya Pensheni na inavyolipa mafao kwa haraka. Pia kutambuliwa na Msimamizi wa mifuko hii kuwa ni mfuko unaokuwa kwa kasi kuliko mifuko yote ya pensheni tanzania
Katibu mkuu wa TAMISEMI Mh. Jumanne A. Sagine akipokea maelezo kuhusu Mfuko wa Pensheni wa LAPF kutoka kwa Meneja Masoko na mawasiliano kwa Uma Bwana James Mlowe. Mlowe amemweleza katibu mkuu jinsi LAPF ilivyoweza kuwa mshindi wa kwanza katika utunzaji wa kumbukumbu kwa wanachama katika sekta ya mifuko ya Pensheni na inavyolipa mafao kwa haraka. Pia kutambuliwa na Msimamizi wa mifuko hii kuwa ni mfuko unaokuwa kwa kasi kuliko mifuko yote ya pensheni 
 Baadhi ya tuzo za heshima  za ilizowahi kujinyakulia Mfuko wa Pensheni wa LAPF

NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO

$
0
0
 Chopa iliyokuwa ikitumiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassary ikiwa juu ya mti mara baada ya kupiga mweleka jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani wake wako Hospitali kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali hiyo.

Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.

Kampuni ya TTCL yasaidia mifuko ya saruji kituo cha yatima

$
0
0
Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa pili kulia) akiwakabidhi watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa pili kulia) akiwakabidhi watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakiimba na kucheza na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, wapopokuwa wakiwakabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji.Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakiimba na kucheza na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, wapopokuwa wakiwakabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji.Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa kwanza kulia walosimama) akizungumza na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kabla ya kuwakabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji. Wengine ni wafanyakazi wa TTCL na kituo hicho.Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa kwanza kulia walosimama) akizungumza na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kabla ya kuwakabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji. Wengine ni wafanyakazi wa TTCL na kituo hicho.Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakipiga picha ya pamoja na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, pamoja na wasimamizi wa kituo hicho mara baada ya kukabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji.Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakipiga picha ya pamoja na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, pamoja na wasimamizi wa kituo hicho mara baada ya kukabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji.Saruji mifuko 70 ikishushwa kwenye gari mara baada ya kukabidhiwa watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma na kampuni ya TTCL.Saruji mifuko 70 ikishushwa kwenye gari mara baada ya kukabidhiwa watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma na kampuni ya TTCL.

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa msaada wa mifuko ya saruji kwa kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Mifuko hiyo 70 ya saruji imekabidhiwa juzi katika kituo hicho na Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo. 

Akikabidhi msaada huo, Bw. Dirisha alisema kampuni imetoa msaada huo ili kusaidia ujenzi wa kituo cha kulelea watoto yatima na wale wenye mahitaji maalum. Alisema msaada huo waliokabidhi utasaidia kituo hicho kuwa na majengo yake yenyewe kwani kwa sasa wamejihifadhi katika eneo dogo na ambalo sio rafiki sana kwa watoto. Kwa upande wake, Mtawa anayewalea watoto hao, Sr. Christina akipokea msaada huo alisema, anaishukuru kampuni ya TTCL kwa msaada huo; kwani umekuwa chachu ya kuamini kuwa na wao watakuwa na majengo yao na wataweza kusaidia watoto wengi zaidi. 

 Aidha ametoa wito kwa wadau wengine watakao guswa zikiwemo kampuni na taasisi mbalimbali kusaidia kituo hicho ili kiweze kukamilisha kwa wakati  ujenzi wa majengo yake na hatimaye kuhudumia watoto wengi zaidi huku kukiwa na usalama wa kutosha. Hii ni mara ya pili kwa TTCL kukichangia kituo hicho mifuko ya saruji kwani mwaka jana pia ilitoa msaada wa saruji kwa kituo hicho cha watoto yatima cha Mama wa Huruma ambacho kwa sasa kina idadi ya watoto 56 ambapo wavulana ni 26 na wasichana 30.

KAMPUNI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YA GIDANI INTERNATIONAL YAJIZATITI KUINGIA NCHINI

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa michezo ya Bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Tarimba Abbasi Tarimba (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti wa michezo ya kubahatisha ya Gidan International Profesa  Bongani Aug Khumalo wakati wa utoaji wa elimu kwa wananchi waliofika kwenye banda hilo lililopo kwenye  maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam juu ya michezo ya kubahatisha itakayozinduliwa baadaye mwaka huu.
Mkurugenzi Mkuu wa michezo ya Bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Tarimba Abbasi (kushoto) akikabidhiwa tiketi ya bahati nasibu na  Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Gidani International, Clive Reynofrs wakati wa uzinduzi wa mchezo huo uliofanyika kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam(Sabasaba) Wa pili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa kampuni ya Gidani International Profesa , Bongani Aug Khumalo na Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni hiyo Brett Smith.
Mwenyekiti wa  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Gidani International  yenye makao yake makuu nchini Afrika ya Kusini, Profesa  Bongani Aug Khumalo akiwaelimisha wananchi waliofika kwenye banda la Michezo ya kubahatisha lililopo kwenye maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (Sabasaba)  jinsi michezo itakayochezeshwa na kampuni hiyo itakavyoendeshwa.
Mwenyekiti wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Bw. Wiliam Mdundo (katikati) akiwahamasisha wananchi waliofika kwenye banda la bodi hiyo liliopo kwenye maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (Sabasaba) ili waweze kushiriki katika michezo  ya   bahati nasibu  inayotarajiwa kuzinduliwa nchini mwezi Novemba na kampuni ya Gidani International.Kushoto ni Mwenyekiti wa  Kampuni hiyo Profesa , Bongani Aug Khumalo
Mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Gidani International akitoa elimu kwa wananchi waliofika kwenye banda hilo lilopo kwenye maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam(Sabasaba)  juu ya elimu ya mchezo huo utakaozinduliwa mwezi Novemba ambapo washiriki watajinyakulia zawadi mbalimbali akiwemo mshindi wa zawadi kubwa ya kitita cha shilingi  bilioni 1.
Mwenyekiti wa  Kapuni ya michezo ya kubahatisha ya Gidan Intarnationa  Profesa , Bongani Aug Khumalo (mwenye shati nyeusi) akiwa katika ya pamoja na wafanyakazi wa Bodi ya michezo ya akaubahatisha Tanzania wakati wa uzinduzi wa mchezo huu uliofanyika kwenye maonesho ya maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (Sabasaba) Bahati na sibu yaTaifa unarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi November 2015.

CCM KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE WA URAIS TAREHE 11 JULAI MJINI DODOMA

$
0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti mjini Dodoma.(Picha na Adam Mzee)

…………………………………………………………………………

“Leo tarehe 7 mwezi wa saba tunaanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20 lakini pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho kitateua jina la mgombea wa urais kwa chama cha mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, ratiba ya vikao
Leo tarehe 7 kuanzia  saa tano tutakuwa na sekretarieti ya halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi ambacho kitaongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana.
 "Sekretarieti hiyo ina ajenda moja kubwa kwa kupitia maandalizi ya mkutano mkuu, ina ajenda kubwa ya kupitia maandalizi ya mkutano mkuu na kuthibitisha yapo mambo mengi katika maandalizi kuna mambo ya ratiba, mambo ya malazi ya wajumbe, kuna mambo ya makablasha mbalimbali na maandalizi ya document mbalimbali zitakazotumika kwenye vikao vitakavyoendelea baada ya leo. 
"Kesho tarehe 8 kunategemewa kufanyika kikao cha kamati ya usalama na maadili cha chama, ambacho kitakuwa chini ya mwenyekiti wa Taifa  Dk.Jakaya Mrisho Kikwete. 
"Tarehe 9 kichama kutakuwa na shughuli kuu mbili. Ya kwanza asubuhi, kutafanyika uzinduzi au ufunguzi wa ukumbi mpya wa chama cha mapinduzi na ofisi zake ambao upo njia ya kwenda chuo kikuu cha Dodoma.
"Bila shaka baadhi yenu mtakuwa mmeona, mwenyekiti wa chama Rais Kikwete alipokwenda kutembelea kwa hiyo ufunguzi wake utafanyika tarehe 9, majira ya asubuhi kabla mheshimiwa Rais hajaenda kuvunja bunge.
"Kama ratiba itabadilika tutawaambia lakini tarehe 9 tuna hiyo shughuli ya kwanza baadaye mchana kutakuwa na kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi ambayo nayo ni muendelezo wa vikao vya awali kuelekea mkutano mkuu.

KATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI

$
0
0

Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
Mzee Mwinyijuma Said Muhigira akimkabidhi Katibu Mku wa CHADEMA Dkt. Willibroad Saa usinga, mundu na shoka ikiwa ni ishara ya kumkabidhi Uchifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, ambapo Wazee wa Pwani walimtunuku Dkt. Slaa jina la Chifu Mwinyikambi.

NGOMA AFRICA BAND WAFUNGA KAZI MAMLING FESTIVAL,AUSTRIA

$
0
0
 Bendi maarufu ya muziki wa dansi Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani, siku ya Jumapili 5 Julai 2015 ilitingisha jukwaa la Mamling Festival,liliofanyika kule Mining,Austria.
Kikosi kazi hicho  cha Ngoma Africa band kilipangiwa kupanda jukwaani saa 10 na dakika 30 alasiri,lakini maporomota walisogeza muda hadi saa 12 jioni ndio bendi hiyo ilipopanda jukwaani,
Muda ulisogezwa kutoka na hali ya jua na joto kali lililofikia nyuzi joto 38c,ambazo sio za kawaida kwa msimu summer barani ulaya.
Kikosi kazi kilipopanda jukwaani bila ya kuremba remba walianza kuporomosha muziki moto moto kama kawaida yao,kiasi cha kuwafanya waandaaji watoe mwaliko tena kwa bendi hiyo kushiriki onyesho la 2016 Mungu akijalia.
Ngoma Africa baada ya kumaliza kazi wamerudi katika maskani yao ya himaya Anunnaki,kule Ujerumani
 Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni wakitesa katika tamasha la  Mamling Festival, liliofanyika kule Mining,Austria.
 Ras Makinja akiongoza gwaride la Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani, siku ya Jumapili 5 Julai 2015 katika tamasha la  Mamling Festival, liliofanyika kule Mining,Austria.

HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI NCHINI LEO

Uzinduzi Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wa Malaria Kibaha, Pwani

Kinondoni yasaini mkatana wa ushirikiano na jiji la Hamburg, kujengewa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani

$
0
0
Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam imetiliana saini  mkataba wa mashirikiano ya kusaidiana na jiji la Hamburg la Ujerumani. Mkataba huo umesainiwa leo na Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe. Yusuf Mwenda na State Secretary wa Hamburg, Bw. Wolfgang Schmidt, ambapo  kutajengwa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani na kuzalishwa mbolea eneo la Mabwepande wenye thamani ya shilingi za kitanzania ni bilioni 3.5 ambazo zitatolewa na jiji la Hamburg.
Mstahiki Meya alisema ukishajengwa mtambo huu sio tu Kinondoni itakuwa safi bali pia  ajira 1000 zitatengenezwa na pia  mbolea nyingi itapatikana na itatumika kwa faida ya kilimo.
Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe. Yusuf Mwenda na State Secretary wa Hamburg, Bw. Wolfgang Schmidt, wakipeana mikono baada ya kusaini mkataba wa mashirikiano ya kusaidiana na jiji la Hamburg la Ujerumani. Kulia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Eng.Mussa Natty.

DIRA YA DUNIA YA IDHAA YA KISWAHILI YA BBC, LONDON

Zuriel Produces New Docunmentary for P&G - ALWAYS

$
0
0
One of the largest global corporate consumer brands in the world - Procter & Gamble, through its Always brand, has released its next sets of Girl Empowerment  & Girls Confidence videos earlier today in an elegant event at the Goodle Building in New York city.
What is creating the buzz right now, is not how far this next campaign would go, as its first release hit more than 12 million views within a few months. The buzz is that a 12 year old documentary film maker - Zuriel Oduwole, was tapped as part of the creative team, and actually co - produced, and also directed the general release version of the campaign, also unveiled today.

MKURUGENZI MTENDAJI WA TBL AENDESHA MHADHARA CHUO KIKUU CHA STEFANO MOSHI

$
0
0
 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO),Tawi la Moshi Mjini wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na SABMiller East Africa, Roberto Jarrin alipokuwa akitoa mhadhara wa masuala ya biashara na masoko chuoni hapo, mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na SABMiller East Africa, Roberto Jarrin (kushoto) akibadilishana mawazo na Afisa Mipango wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini, Wilfred Shangali mara baada ya kuhitimisha mhadhara wake wa masuala ya biashara na masoko kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu uliofanyika chuoni hapo juzi .
 Afisa Mipango wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi Mjini Wilfred Shangali akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa TBL Emma Urio mara baada ya kumalizika kwa Mhadhara wa Biashara na Masoko uliotolewa chuoni hapo na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu.
  Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Urio akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumalizika kwa Mhadhara wa biashara na masoko uliotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin katika Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu.


Be Forwards to start importing low cost spare parts

$
0
0
Owners of imported used cars in Tanzania have something to  smile this time around after the Japanese used car exporter, Be Forward, announced the establishment of lower cost dealership of spare parts in all regions in Tanzania.

Be Forward President Hironori Yamakawa announced this in Dar es Salaam yesterday during the climax of the Dar es Salaam International Trade Fair (SabaSaba) at the Nyerere Grounds, Kilwa Road in Dar es Salaam.
Speaking during the press briefing held at the Be Forward Pavilion, Yamakawa said, initially, the company was already established branch in Arusha and will soon establish the Dar es Salaam branch.

He said owners of popular used Japanese cars including Passo, Noah and IST will benefit from the new development, as many were find more difficult to find cheaper spare parts and accessories. “We expect to start importing massive use spare parts to Tanzania at the very affordable prices,” he said.
He said they have tried to visit other dealers of used spare parts and find many were selling as a higher price as he believe that their prices will be affordable and accessible any part of the country.

Be Forward is one of the popular exporters of used car globally and in Tanzania alone, according to Yamakawa, more than 20,000 used vehicle are imported to Tanzania monthly. This makes the annual used cars consignment to Tanzania to hit 240,000 cars annually. He said the plan was to increase the number to 25,000 cars monthly, making Be Forward the leading importers of used Japanese cars.

According to Yakamawa, the company was also looking to contract dealers countrywide, who will be responsible for distributing their products in Tanzania.Meanwhile, Be Forward Company has unveiled Platinum Utra Smooth Driving lubricants in Tanzania market. Speaking during the launch of the product, Hironori Yamakawa, the company President said this is the new product in the market. The new product is for both gasoline and diesel fuel cars engines.
 BeForward President Hironori Yamakawa (Left) holds the newly launched Platinum Ultra Smooth Driving lubricant product during the climax of the Dar es Salaam International Trade Fair (SabaSaba) at the Nyerere Grounds, Kilwa Road in Dar es Salaam. Others right is the company’s marketing officer, Tomohiro Nakamura and Shogo Nishimura (second right).
 Be Forward President Hironori Yamakawa (Right) speaking with journalists when announcing the company plans to open up lower cost dealership of spare parts in all regions in Tanzania, during the climax of the Dar es Salaam International Trade Fair (SabaSaba) at the Nyerere Grounds, Kilwa Road in Dar es Salaam.

Standard Chartered Bank flops in 5.2tr/- compensation and tariff recalculation case challenged by IPTL

$
0
0
THE Tanzania High Court has dismissed the objections filed by Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited to oppose the suit challenging enforcement of a foreign decision involving recalculation of power tariffs in IPTL and for payments of about 5.3tr/- damages.

Judge Fauz Twaib decided in favour of Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and Pan African Power Solution Limited (PAP) after concurring with counter submissions presented by advocate Joseph Makendege, for the two companies.

The judge ruled that all five grounds of objections presented by the Bank, through its counsel Gasper Nyika, were devoid of merits. In its objections, the Bank had alleged that the suit in question was filed without a board resolution from the Tanzanian companies.

Secondly, the Bank had alleged that the suit was time barred in that, it was filed beyond the required time, which is three years from 2005 when the alleged caused of action on the matter arose and that the two companies had no locus standi to institute the proceedings.

The Bank had alleged further that IPTL and PAP were barred from instituting the proceedings in Tanzania since there were others of similar nature that were pending in London. In his ruling, however, Judge Twaib rejected one by one the grounds raised by the Bank.

On board resolution, the judge ruled that the matter was a question of fact which needed to be proved and, thus it could not constitute as a ground of objection as alleged by the Bank. On the time limit, Judge Twaib resolved that the suit was filed within the required time.

introducing erica Lulakwa's New song Dundika.

UTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI

$
0
0
Mifuko ya uwekezaji wa pamoja ni fursa mbadala inayowezasha watu ,vikundi,taasisi na kampuni sawa na mahitaji yao kuwekeza pesa zao kwa meneja wa mfuko(UTT AMIS) kisha meneja huwekeza fedha hizo katika masoko ya fedha na masoko ya mitaji kulingana na waraka wa makubaliono. Faida ipatikanayo hugawanywa kwa wawekezaji kulingana na uwiano wa uwekezaji waliofanya katika mfuko husika.

Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto, Mfuko wa Kujikimu na Mfuko wa Ukwasi yenye jumla ya thamani ya Zaidi ya Shilingi bilioni 237.
Mifuko yote hii imeweza kukidhi vigezo  muhimu vya uwekezaji ambavyo ni Usalama,Ukwasi na Faida (Safety, Liquidity and Returns).  Wawekezaji wote wananufaika  kwa kupata faida shindani, uwekezaji mseto hufanyika ili kupunguza hatari za uwekezaji,utalaamu wa meneja wa mifuko,unafuu wa mkubwa wa gharama na uwazi kwani bei halisi ya vipande vya mifuko hutangazwa kila siku za kazi.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akisikiliza na kufurahia maelezo kutoka kwa Bi Martha Mashiku, Afisa Masoko na Mawasiliano Mwandamizi UTT AMIS(katikati), Kushoto ni bi Sophia Mgaya afisa mwandamizi kitengo cha Tehama na Kulia ni Bi Jesca Swai,  Mhasibu wa Mifuko inayoendeshwa na UTT AMIS
  Hapa ni rahisi tuu!!Afisa Masoko na Uhusiano msaidizi Bw. Waziri Ramadhani akimuelekeza mwekezaji jinsi ya kujaza fomu ya kujiunga katika moja ya mifuko ya uwekezaji ya UTT AMIS
Tunaweza kuwasaidia kujaza fomu zenu! Bi. Pauline Kasilati na Dorice Mlenge Ofisa wasaidizi wakitoa huduma kwa wawekezaji kwa kuwasaidia kujaza fomu za kujiunga na Mfuko wa Watoto
Bw. Laurian Chokola, Afisa mwendeshaji msaidizi akiwaelekeza wawekezaji kujaza fomu za kujiunga na mifuko baada ya kuwaelimisha faida zinazopatikana kwa kuwekeza kwenye mifuko ya uwekezaji wa pamoja.

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAENDELEA KUMWAGA ELIMU KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2015

$
0
0
Mtaalam katika Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Rayson Nkya (kushoto) akielezea sera ya madini kwa wananchi waliotembelea banda la Wizara hiyo kwenye maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mtaalam kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Ayoub Shija akielezea shughuli za mgodi huo katika banda la Wizara ya Nishati na Madini.
Mtaalam kutoka Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Steven Lowoko akitoa maelezo juu ya jinsi mtambo wa kufua umeme kwa kutumia maji unavyofanya kazi kwa kutumia mfano wa mtambo huo kwa baadhi ya wanafunzi waliotembelea banda la TANESCO.

Viewing all 110025 articles
Browse latest View live


Latest Images