Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110088 articles
Browse latest View live

Rais Kikwete alipopiga tizi katika jiji la miamba Mwanza Siku ya Mei Mosi 2015


UTT-PID yashiriki maonesho ya Dar Property 2015

$
0
0
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye kushiriki maonyesho ya Nyumba na Makazi yanayofahamika kama DAR PROPERTY 2015, yaliyoanza leo Mei 2 na kutarajiwa kumalizika Mei 5, mwaka huu ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee V.I.P Hall uliopo Upanga, Jijini Dar es Salaam.

Katika maonyesho hayo, UTT-PID, inashiriki ikiwemo kutoa elimu mbalimbali na maelezo juu ya utendaji wa kazi za taasisi pamoja na huduma kwa watu mbalimbali wanaotembelea kwenye banda lao hilo ndani ya Diamond Jubilee V.I.P Hall.

Aidha, mapema leo Mei 2, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, alipata wasaha pia wa kutembelea banda hilo la UTT-PID na kupata maelekezo kadhaa ya namna ya utendaji wa kazi wa taasisi hiyo hapa nchini.

KAZI ZA UTT-PID
Kazi za UTT-PID ni pamoja na Utoaji huduma za ushahuri katika maeneo ya upembuzi yakinifu wa miradi mbalimbali, Uratibu wa fedha na huduma zinazohusiana katika maandalizi ya mapendekezo ya miradi kwa benki au taasisi za fedha, uteuzi wa watoa huduma kuhusiana na maandalizi ya zabuni na usimamizi wa majengo na mali ambao ni utoaji wa huduma fanisi za usimamizi wa majengo yaliyochini ya uangalizi thabiti wa taasisi.
Dar Property 2015.

Ni maonesho ya siku nne kuanzia Mei 2 hadi 5, ambayo wadau mbalimbali kutoka Mashirika binafsi na Taasisi za Umma zinazojihusiha na uwekezaji katika Majumba, Ardhi na Makazi wanashiriki. DAR PROPERTY, ambayo kwa mwaka huu ni ya msimu wa pili yakifanyika na kushirikisha wadau hao mbalimbali wa ndani na nje ya nchi.
IMG_6764Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick (katikati), akipata maelezo mara baada ya kutembelea banda la UTT-PID, kulia ni Uli Mtebe Afisa Mwandamizi Mahusiano na Masoko wa Taasisi ya UTT-PID.
karibu 2Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick (katikati), akipata maelezo toka kwa banda la Taasisi ya UTT-PID juu ya Miradi wanayofanya katika mikoa mbalimbali nchini, kulia ni Uli Mtebe Afisa Mwandamizi Mahusiano na Masoko wa UTT-PID. Mkuu wa Mkoa huyo alitembelea banda hilo leo Mei 2, wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee V.I.P Hall.


karibuAfisa Masoko Bi. Kilave Atenaka wa Taasisi ya UTT-PID, akimuhudumia mmoja wa wateja waliotembelea banda la UTT-pid ndani ya maonesho ya Dar Property 2015, yanayoendelea katika ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall.

MAONYESHO YA CHUO CHA UTALII TANZANIA YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

$
0
0
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania,  Rosada Msoma akizungumza na wanafunzi na wakufunzi wa chuo cha Utalii(hawapo pichani) katika maonyesho ya utalii yaliyofanyika katika chuo hicho kampasi ya Bustani leo jijini Dar es Salaam.
 Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Fedha wa chuo cha utalii Tanzania Neema Kusiga, (watano katikati),Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania,  Rosada Msoma akiwa na wakufunzi wa Chuo cha Utalii Tanzania kutoka kampasi tatu za chuo hicho iliyofanyika katika Chuo cha Utalii kampasi ya Bustani jijini Dar es Salaam leo.
 Mpishi Issa Haji akitoa maelekezo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Utalii  Tanzania, Rosada Msoma katika jiko la wanafunzi wanaojifunza kupika  vyakula mbalimbali katika Chuo cha Utalii Tanzania Kampasi ya  Bustani jijini Dar es Salaam.
 Mpishi Issa Haji akitoa maelekezo Kwa wanafunzi wa Chuo cha Utalii cha Wanyamapori kampasi ya Temeke katika maonyesho ya chuo hicho yaliyofanyika katika kampasi ya Bustani leo jijini Dar es Salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

VODACOM TANZANIA YAZINDUA PROGRAMU YA MZIIKI NDANI YA ZARI WHITE PARTY

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Flavor Diamond Platinumz(wa pili kutoka kushoto) na balozi wa Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom Tanzania akiwaonyesha program hiyo waandishi wa habari(hawamo pichani) wakati wa uzinduzi wake uliozinduliwa wakati wa Zari white party iliyofanyika mlimani city jijini Dar es Salaam jana.App hiyo inawaletea wateja burudani ya muziki kiganjani.Wengine katika picha ni Maofisa Mawasiliano wa kampuni hiyo,Abigail Ambweni(wa kwanza kushoto) na Glory Mtui.
Ofisa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania, Abigail Ambweni(kulia)akihojiwa na mtangazaji wa clouds TV wakati wa uzinduzi wa program ya Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom Tanzani.Uzinduzi huo ulifanyika wakati wa Zari white party iliyofanyika mlimani city jijini Dar es Salaam jana.App hiyo inawaletea wateja burudani ya muziki kiganjani.
Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(katikati)akimsikiliza jambo Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz(kulia)na balozi wa Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi(mobile app)ya Vodacom Tanzania iliyozinduliwa jana wakati wa Zari white party iliyofanyika mlimani city jijini Dar es Salaam jana.

Wabunge wamkumbuka Marehemu Hashim Mbita

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI na Madawa ya Kulevya iliyopo ziarani nchini Zimbabwe hivi karibuni ilipata fursa ya kutembelea Ubalozi wa Tanzania jijini Harare na kusaini kitabu cha maombolezo ya aliekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Marehemu Brig. Jenerali Hashim Mbita aliefariki Dunia mwananzoni mwa wiki hii.  
Pichani ni Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI na Masuala ya Madawa ya Kulevya Mhe. Dkt Faustine Ndugulile (juu) na Mhe. Neema Mgaya Himid (picha ya chini) wakisaini kitabu cha maombolezo. 

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AFUNGUA MAONYESHO YA DAR PROPERTY EXPO

$
0
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akikata utepe kufungua maonyesho ya uwekezaji katika majengo yajulikanayo kama Dar Property Expo kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015. Makampuni na mabenki mbalimb ali yanashiriki kwenye maonyesho hayo
Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakiwapatia maelezo wananchi kuhusu namna wanavyoweza kupata nyumba na jinsi walivyowekeza kwenye majengo waliotembelea banda la Mfuko huo
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akipatiwa maelezo na Afisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, anayeshughulikia uwekezaji katika majengo, Augustine K Paul, wakati Mkuu huyo wa Mkoa alipotembelea banda la Mfuko huo mara baada ya kufungua maonyesho ya siku nne ya uwekezaji katika majengo (DAR property Expo), kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015
Mkuu wa Mkoa akitembelea banda la Nevada Properties, kampuni inayojihusisha na ujenzi wa majengo
Mkuu wa mkoa akimsikilizaAfisa biashara mwandamizi wa kampuni nya Kilimani Industrial Automation Ltd, (KIAL), Shaban Issa, kuhusu mashine ya kumnyanyua fundi ujenzi kwenda juu wakati wa ujenzi wa majengo marefu ijulikanayo kama Aerial Work Platform (AWP-Machine), wakati alipotembelea banda hilo

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

KAMATI KUU CHADEMA KUKUTANA DAR ES SALAAM KESHO NA KESHOKUTWA

$
0
0

Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa kuwa Kamati Kuu ya Chama, chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, itakutana Mei 3-4, katika kikao chake cha kawaida kwa mujibu wa Katiba ya Chama.

Katika kikao hicho cha siku mbili kitakachofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na masuala mengine ya kitaifa kuhusu hali ya kisiasa nchini kwa ujumla na mengine mahsusi yanayohusu uendeshaji wa chama, KK itapokea taarifa, kujadili na kufanya maamuzi kuhusu;

1.     Maandalizi ya Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

2.     Taarifa ya ziara ya mafunzo kwa timu za kampeni, viongozi wa serikali za mitaa na chama, kukiandaa chama kushinda dola na kuongoza serikali baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

3.     Taarifa za utendaji wa chama kupitia kanda zote 10, Tanganyika na Zanzibar.

4.     Taarifa ya maendeleo ya mikakati ya kushiriki uchaguzi mkuu kwa kushirikiana na vyama 4 vinavyounda UKAWA.

5.     Taarifa za mwenendo wa shughuli ya uandikishaji wa wapiga kura (upya) katika daftari la kudumu kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) na hatma ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.


Imetolewa leo Jumamosi, Mei 2, 2015 na;

Tumaini Makene


Mkuu wa Idara a Habari na Mawasiliano- CHADEMA

UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA MAGHARIBI KICHAMA WAFANA SANA

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda jana wakati wa Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(wa pili kushoto) Waziri Kiongozi Mstaafu Shamsi Vuai Nahodha(kushoto) Mama Mwanamwema Shein (kulia) na Mwenyekiti wa Mkoa wa Magharibi Yussuf Mohammed Yussuf wakiwa katika hafla ya Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort jana.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika jana katika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort akiwepo Mke wa Mamako wa Pili wa Rais Mama Pili Balozi Seif Ali Iddi (wa pili kushoto).


INTERNATIONALLY RENOWNED ACTRESS LELETI KHUMALO TO ATTEND ZIFF 2015

$
0
0
 Internationally renowned actress Leleti Khumalo, known for her leading roles in the movie and stage play “Sarafina” and “Yesterday” which was nominated in the 2005 Academy awards for the Best Foreign Language film has been confirmed as one of the official guest to attend the 2015 Zanzibar International Film Festival in July.


Zuku is very excited to have Leleti Khumalo as the official guest and be part of this milestone in the evolution of the film industry. Khumalo was a force to be reckoned with as a black South African actress during apartheid era and has remained a powerhouse and Icon in the film & television industry - says ZUKU TV Director Mandy Roger. Ziff will be showing the film “Sarafina” as part of their line up in recognition of the South African film industry and celebrate Africa’s talents in film.


As the headlining sponsor of the Zanzibar International Film Festival (ZIFF), ZUKU is invested in the growth and success of East Africa’s creative and content industry. The project brings together the most talented artists and filmmakers in the industry and affords them the opportunity to emphasize their cinematic take on the extraordinary world of high-end film making.


ZIFF will take place between 18th and 26th July 2015 in Stonetown. It is the longest running film-festival in East Africa, with global credibility and instant Pan-African recognition. As in previous years ZIFF will welcome dozens of professional and aspiring film directors, producers from across Africa and the world for 8 days of film, music and cultural celebration.
About Zuku 
Zuku is a homegrown East African brand under Wananchi Group, established  with the aim of making quality home entertainment and communication services accessible to rapidly growing, choice conscious African middle class. Zuku TV services have been successfully launched in Kenya, Tanzania, Uganda, Malawi and most recently Zambia with aggressive plans to roll out to more countries in the near future.
For more information visit www.zuku.co.ke

About ZIFF

The Zanzibar International Film Festival is the longest running film-festival in East Africa, with global credibility and instant Pan-African recognition. ZIFF is sponsored by ZUKU through a 10 year contract that runs through 2021. The ZIFF Festival of the Dhow Countries mission is to promote and showcase the culture of the Dhow Countries. Every cent raised from sponsors and donors ensures the widest possible accessibility of high-quality international screenings and cultural events to all sections of the Tanzanian population.


Prayer Points Against Demonic Road Accidents

$
0
0

Dear Fellow Tanzanians and Friends,

Prayer points against Demonic Road Accidents in Tanzania that will be used in our prayers tomorrow night. The prayers will start at 9pm Eastern, 8pm Central, 7pm Mountain or 6pm Pacific time. To join, call (218) 895-9661 and  passcode is 222555. 
Demonic Road Accidents in Tanzania highways are on the news almost daily. And most of us wonder what happened? What changed so suddenly within a year or two to cause that many accidents and claim so many lives? Are the drivers at fault? Are the roads just sudden became so bad? What is going on, most of us ask? 
I remember during the old days traveling from Mbeya to Dar es Salaam when the highways were just gravel roads. The only bottleneck was the Kitonga mountains near Iringa. Once we cross the kitonga, we never worried about anything else. Of late, there has been the tremendous improvement of our road system. Many roads have been upgraded from gravel to the tarmac. Regardless of the improvement to our highways, the rate of fatal accidents has increased tremendously in the past two years. Why? 
Well, the answer is very simple.  Our sin and sins of our people have opened doors to the strongman; the devil to have an easy reign in our country, and we have allowed him to feed on the blood of our people. We need to close all doors opened to Satan. We need to pray and take authority over all demons who exploited the doors that were opened. We need to strike them by the fire of God and close the doors with the blood of Jesus Christ. 
We have the authority in the name of Jesus and by the power of the Blood of Jesus Christ and the power of the Holy Spirit to dethrone devils’ schemes against our people and our country as written in the Word (Genesis 1:26, Psalm 115:16, Matthew 28:18, Matthew 18:18, Matthew 16:19, John 14:12-14, Mark 11:22-24, John 10:10, Ephesians 3:20). 
Brethren, the good Lord has given us the authority over the earth (Psalm 115:16). Therefore, let us go boldly before the throne of grace and claim our country back from the strongman and bind him in his tracks. We need to loose confusion against every satanic and demonic conspiracy against our people. Causing confusion in the camp of Satan is a very powerful weapon for us. When the Lord causes confusion in their midst, they destroy one another while we are at rest. Here are some examples: Judges 7:22; 1Samuel 14:20; and 2Chronicles 20:23.

In Unity Against the Devil,

Frank Mwakasisi, Ph.D.
Founder
Evangelist, Pastor, Teacher, and Preacher
Tanzania Global Prayer Movement - "Praying for the Power of the Resurrected Jesus Christ, our Lord to Transform Tanzania and spring forth Personal Renewal and Community Revival."
Chicago, Illinois
USA 

VIDEO YA MAZISHI WA YA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

nani anasema TBC HAWAPO ONLINE?

$
0
0
BOFYA HAPA http://www.tbc.go.tz/

Keeping the District Bagamoyo Hospital clean and tidy

$
0
0
Keeping the District Bagamoyo Hospital clean and tidy was the main activity conducted by the Minister for Education & Vocational Training Dr. Shukuru Kawambwa, CCM Party cadres and students from higher training institutes in Bagamoyo District.

CCM Cadres and Minister Dr. Kawambwa joined in by students and Bagamoyo Civilians keeping the hospital compound clean.

A new CCM Member Mariyam Hamadi, a student from Fisheries Research Institute, receives her membership card from Minister Dr. Shukuru Kawambwa. Four hundred new members took the allegiance oath to follow the membership code of conduct.

New Members of CCM Ruling Party, in all 400 from various institutions, taking the solemn allegiance oath to sincerely follow the code of conduct.

Minister Dr. Shukuru Kawambwa assisted by some CCM district and national leaders planting the Ashoka Tree seedling in the compound of the Bagamoyo District Hospital. Ten other leaders took the turn of planting the seedlings just near the main laboratory of the hospital.
For more CLICK HERE

Tanzanian Union Day in Paris 2015

$
0
0
H.E Ms Begum Karim Taj, Tanzanian Ambassador to France while adressing the diplomatic corps in Paris.
On April 29, the Embassy of Tanzania in France celebrated Union Day with the diplomatic corps in Paris.
Ambassadors, diplomats and other guests from different countries participated in this event that gathered about 150 guests coming from different countries including Zambia, Namibia, Japan, France, South Africa, Kenya, Uganda, Burundi, Gabon, Guinea Bissau, Ivory Coast, Gambia, Vietnam, Canada, Singapore, Libya, Cambodia, Nigeria, Cape Verde, Venezuela, Turkey, China, Indonesia, Ethiopia, Equatorial Guinea, Senegal, Egypt among others.
For More CLICK HERE

WALIMU KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA


ANKAL ATEMBELEWA NA MDAU KUTOKA COLORADO, MAREKANI

$
0
0
Ankal akiwa na mgeni wake Frida Kileo kutoka Colorado, Marekani, aliyetembelea makao makuu ya Libeneke jijini Dar es salaam leo na kujionea shughuli za hapo pamoja na maandalizi ya sherehe za Miaka 10 ya Michuzi Blog mwezi Septemba. Yeye ni mmoja wa wadau wakubwa wa Globu ya Jamii walioko ughaibuni.

Ankal akipata selfie na mgeni wake

JK AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA

Yanga 0 Etile du Sahel 1

$
0
0
Jerry Muro, msemaji mkuu wa Yanga katika ubora wake...

ngoma azipendazo ankal

JK alivyopiga tizi na kuadhimisha siku ya Mei Mosi 2015 jijini Mwanza

Viewing all 110088 articles
Browse latest View live




Latest Images