Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109996 articles
Browse latest View live

EAC PARLIAMENT TO START FORUM ON CLIMATE CHANGE

$
0
0
East African Community, Arusha, Tanzania, March 31, 2015:  The East African Legislative Assembly (EALA) has agreed to form a regional Parliamentary Forum on Climate Change.

The proposal was made during a policy dialogue on Climate Change and Gender for members of EALA to identify the role of parliamentarians in implementation of gender sensitive climate change policies.

The dialogue held on 27th and 28th March, 2015 in Bujumbura, Burundi, was organized by the EAC Secretariat in partnership with the EALA Women Forum. It was also attended by the EALA Committee on Agriculture, Tourism and Natural Resources and the General Purpose Committee.

“We need to establish a parliamentary forum on Climate Change for EALA so that it can feed into the global parliamentary forum and also provide leadership in the regional framework on climate change,” said Hon. Abubakar Zein. The resolution on this proposal will be passed during the next EALA sitting in May.

The impact of Climate Change is most severe for the world’s poor and marginalized communities who often live in stressed environments and have fewer means for coping.  Women are especially vulnerable because of their limited access, control and ownership over resources, unequal participation in decision and policy-making, lower incomes and levels of formal education and high workloads.


HUMAN DEVELOPMENT INNOVATION FUND (HDIF) LAUNCHES INNOVATION WEEK IN TANZANIA

$
0
0
Faraja Nyalandu - Executive Director of Shule Direct speaking on entrepreneurship and its' challenges in Tanzania and promoting self employment during the Innovation week organised by Human Development innovation Fund (HDIF) in Dar es Salaam earlier this week. From left Benedict Tesha - Founder of Jamaa Technology, Nisha Ligon - CEO of Ubongo Limited, Taha Jiwaji - CEO of Bongo Live and Co Founder of KINU.
Benedict Tesha - Founder of Jamaa Technology speaking on entrepreneurship and its' challenges in Tanzania and promoting self employment during the Innovation week organised by Human Development innovation Fund (HDIF) in Dar es Salaam earlier this week. From left Nisha Ligon - CEO of Ubongo Limited, Taha Jiwaji - CEO of Bongo Live and Co Founder of KINU and Faraja Nyalandu, Executive Director of Shule Direct.

CLICK HERE TO READ MORE 

Selous Park Rangers Conclude Anti-Trafficking Training with U.S. Marines

$
0
0
On March 27 2015 , U.S. Marines presenting a token of appreciation to the Selous Park Rangers. The U.S marines conducted a one month training with the Rangers, specific topics included weapons handling and safety, combat marksmanship, patrol movement formations, react to contact drills, first aid, mission planning, land navigation, vehicle maintenance, and fundamentals of offensive operations.
On March 27, 2015. U.S. Chargé d’Affaires, Virginia Blaser, with U.S Marines and Selous Park Rangers after a graduation ceremony for a month long anti-trafficking training. Specific training topics included weapons handling and safety, combat marksmanship, patrol movement formations, react to contact drills, first aid, mission planning, land navigation, vehicle maintenance, and fundamentals of offensive operations.

Selous Game Reserve, TANZANIA. On March 27 U.S. Chargé d’Affaires, Virginia Blaser, attended the graduation ceremony of 50 Park Rangers, who successfully completed a month long anti-trafficking training. The training was conducted by U.S. Marines and Sailors from Special-Purpose Marine Air-Ground Task Force Crisis Response-Africa. Faustin Masalu, Assistant Director for Anti-Poaching in the Ministry of Natural Resources and Tourism, Benson Kibonde, Chief Park Warden for the Selous Game Reserve, and Colonel Phillip Millerd of the U.S Marines Corps also attend the graduation ceremony.

During her remarks, Chargé d’Affairs Blaser congratulated the Rangers for completing the rigorous training and urged them to use what they have learned to serve as leaders and role models as they work to protect Tanzania’s natural heritage.

In his remarks, Mr. Masalu said the training and knowledge gained was important to help fight wildlife trafficking, which globally has become more organized. “This war will be possible by cooperating with our partners who have common interest with us like the United States of America.”

This was the first in a series of training events to help improve the capacity of the Rangers to combat illicit trafficking in the Selous Reserve. Some of the specific training topics included weapons handling and safety, combat marksmanship, patrol movement formations, react to contact drills, first aid, mission planning, land navigation, vehicle maintenance, and fundamentals of offensive operations. The training culminated with a three day “Field Training Exercise” consisting of 25 patrols covering over one hundred kilometers of the reserve.

To request more information, please email Japhet Sanga (SangaJJ@state.gov), Senior Information Specialist at U.S. Embassy Dar es Salaam.

ALLY KIBA KUANGUSHA BONGE YA SHOO DAR LIVE KATIKA TAMASHA LA MWANA CHINI YA VODACOM TANZANIA

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ally Kiba(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na jinsi anavyojiandaa kuwapagawisha mashabiki wake katika Tamasha la Mwana Dar Live lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam siku ya Pasaka.Wengine katika picha kushoto Msanii wa nyimbo za mchiriku Sueleman Jabiri”Msaga Sumu” na Kiongozi wa kikundi cha Warriors Damian Darada(kulia).
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kuwatambulisha wasanii wa muziki watakaotumbuiza katika Tamasha la Mwana Dar Live lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam siku ya Pasaka.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Kiongozi wa kikundi cha Warriors Damian Darada, Mkurugenzi Mtendaji wa On Point Solution Bahati Singh ambao ni wakala wa kinywaji cha Vita Malt Nchini na Meneja Mkuu wa ukumbi wa Dar Live, Abdallah Mrisho.
Meneja Mkuu wa ukumbi wa Dar Live, Abdallah Mrisho(wapili toka kushoto)akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kuwatambulisha wasanii wa muziki watakaotumbuiza katika Tamasha la Mwana Dar Live lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam siku ya Pasaka,kushoto kwake ni Mkurugenzi mtendaji wa On Point Solution Bahati Singh ambao ni wakala wa kinywaji cha Vita Malt Nchini na watatu toka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu na Msanii wa nyimbo za mchiriku Sueleman Jabiri”Msaga Sumu”.
Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza katika Tamasha la Mwana Dar Live lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam siku ya Pasaka wakionesha mshikamano kwa kushikana mikono pamoja na waandaaji na wadhamini kwa ajili ya kushiriki katika tamasha hilo.

Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje

$
0
0

Mwakilishi wa Katibu Mkuu na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw.Elibariki Maleko(katikati) akizungumza kuukaribisha Ujumbe kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi cha nchini Nigeria (hawapo pichani) ulipokutana na Watendaji wa Wizara kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu Sera ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa. Ujumbe huo unaongozwa na Brigedia Generali Jimoh (wa pili kushoto) na upo nchini kwa ziara ya mafunzo. Wengine katika picha ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Bw.James Lugaganya ( kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Bw. Innocent Shiyo (wa pili kulia) na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Bi.Maulidah Hassan.

Mwenyeji wa Ujumbe huo kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Brigedia Jenerali Mwemnjudi (mwenye nguo nyeupe) pamoja na Mwambata wa Jeshi katika Ubalozi wa Nigeria hapa nchini Brigedia Jenerali Erick Angaye wakimsikiliza Bw. Maleko (hayupo pichani).

ALICHOKISEMA KAMISHNA SULEIMAN KOVA KUFUATIA KUUWAWA KWA ASKARI POLISI WAWILI NA KUPORWA SILAHA HUKO MKURANGA MKOA WA PWANI

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIOPIA.

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia.
Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni ya Uchumi ya Afrika (EAC) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiongoza Mkutano huo wakati wa uwasilishaji wa ripoti ya Watalaam kwenye Ukumbi wa ‘United National Conference Centre’ Mjini Addis Ababa – Ethiopia.

UPDATES: ASKOFU GWAJIMA APEWA DHAMANA LEO MCHANA.

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiwa kwenye baiskeli maalum ya wagonjwa Hospitali ya TMJ Dar es Salam leo mchana, wakati akielekea Kituo cha Polisi cha Oyterbay kupewa dhamana.
Hapa Askofu Gwajima akiingia kwenye gari huku akiwa na maumivu makali wakati akielekea kwenye kituo hicho kupewa dhamana
Wachungaji wakibadilishana mawazo wakati wakimsubiri Askofu Gwajima apewe dhamana
Waumini wa kanisa hilo wakijiandaa kumpokea Askofu wao 
baada ya kupatiwa dhamana

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Waziri wa Fedha afanya ziara kwenye bandari kavu ya kampuni ya THR jijini Dar leo

$
0
0
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (katikati) akiwasili katika Bandari ya Nchi Kavu ya TRH katika ziara ya wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo kontena mbili zilikamtwa ambapo moja ilikutwa na bidhaa za tv na nyingine biskuti huku nyingine mbili hazikuweza kupatikana mahali zilipofichwa.
Kamishna Msaidizi wa Forodha wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bw. Tiagi Kabisi kushoto akipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Road Haulage (TRH) Bw. Ali Lilani katika ziara ilifanywa na Waziri wa Fedha leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (kushoto) akisikiliza maelekezo kutoka kwa Kamishna Msaidizi wa Forodha wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bw. Tiagi Kabisi katika ziara ya wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo kontena mbili zilikamtwa ambapo moja ilikutwa na bidhaa za tv na nyingine biskuti huku nyingine mbili hazikuweza kupatikana mahali zilipofichwa.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

$
0
0
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.
DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo. Kutoka kulia ni mwanamuziki Peter Msechu, Mchekeshaji maarufu, Emanuel Mathias 'MC Pili pili', Ofisa Uhusiano wa Manispaa ya Kinondoni, Sebastian Mhowera na Ofisa Utamaduni wa Wilaya hiyo, Jumanne Mrimi.
 Mwanamuziki,  Peter Msechu (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni DC Makonda.

BOFYA HAPA HAPA KWA HABARI KAMILI

WANANCHI WAASWA KUKUZA KISWAHILI

$
0
0
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Kitengo cha Lugha Hajaty Shani Kitogo akizindua vitabu viwili vya Kuzaliwa kwa Msafiri na Hadithi za Watoto ambavyo vimetayarishwa na Kituo cha Utamaduni cha India.Hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam
Balozi wa India nchini Debnath Shaw kushoto akimkabidhi vitabu mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho Sabrina Komba mara baada ya uzinduzi wa vitabu hivyo uliofanyika katika Kituo cha Utamaduni cha India jijini Dar salaam jana.
Baadhi ya washiriki wakishuhudia uzinduzi wa vitabu viwili vya Kuzaliwa kwa Msafiri na Hadithi za Watoto ambavyo vimetayarishwa na Kituo cha Utamaduni cha India.Hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jijini Dar es Salaam wakisoma Vitabu vilivyozinduliwa katika Kituo cha Utamaduni cha India jijini Dar es Salaam Picha zote na Frank Shija WHVUM

TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI: Uhamisho wa Makamanda

PSPF YATOA SOMO KWA WADAU WA HABARI JIJINI DAR

$
0
0
 Mkutugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Adam Mayingu akifafanua jambo wakati akizungumza na Wadau mbali mbali wa Sekta ya Habari wakati wa Semina ya siku moja ya kuelezea shunguli mbali mbali za Mfuko huo kwa Wadau hao, iliyofanyika Machi 31, 2015 kwenye Makao Makuu ya PSPF, Golden Jubilee Tower, jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Neema Muro akitoa maelezo ya Mfuko huo kwa Wadau wa Sekta ya Habari walihudhulia Semina ya siku moja, iliyofanyika Machi 31, 2015 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya PSPF, Golden Jubilee Tower, jijini Dar es salaam.
 Meneja wa Mpango wa Hiari wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Mwanjaa Sembe akitoa maelezo juu ya Mpango wa kujiunga na Mfuko wa PSPF kwa hiari, ambapo wadau wote waliofika kwenye semina hiyo waliweza kuijiunga na mpango huo.
Mtunza Kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Linick Nkinda akionyesha moja ya kumbukumbu wadau wa habari waliotembelea Mfuko huo kujifunza maswala mbali mbali juu ya Mfuko huo.

CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WAZINDUA GAZETI LAO LA KIGOMA YETU

$
0
0
 Na Editha Karlo wa 
Globu ya Jamii, Kigoma 
KWA niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali mstaafu Issa Machibya ,Mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini Exavery Maketa jana alizindua gazeti la Kigoma yetu linaalomilikiwa na CHAMA cha waandishi wa habari wa Mkoa wa Kigoma (KGPC). 
Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Kibo Peak uliopo mjini hapa na kuhudhuriwa na mamia ya wadau mbalimbali wa sekta ya habari pamoja na wakazi wa Mkoa wote wa Kigoma 
Akiongea katika uzinduzi huo katika hotuba yake Mkuu a Wilaya aliwataka waandishi kupitia gazeti hilo kuepukana na vitendo vya rushwa na badala yake gazeti hilo litumike katika kuchochea kuleta maendeleo katika Mkoa wa Kigoma. 
 Mkuu huyo wa Wilaya aliongeza kwa kusema pia wanahabari lazima waandike habari za ukweli na uwazi na ambazo hazifungamani upande wowote kwani wao ni chombo kinachoweza kuchochea maendeleo ya wananchi endapo wataandika habari zilizofanyiwa uchunguzi wa kutosha. 
 Aidha aliwaomba waandishi kuandika habari zinazo chochea maendeleo kwa wananchi ili wananchi waweze kuhamasika kujishugurisha kuchochea maendeleo katika maendeleo ya mkoa wa kigoma. 
 "Ndugu zangu Waandishi wa habari wa Kigoma kupitia gazeti lenu la Kigoma YETU mhakikishe mnaandika habari zenye kuleta tija katika mkoa wetu zitakazo chochea maendeleo iliwananchi wa Mkoa wa kigoma waweze kufurahia uwepo la gazeti lenu yetu", alisema Maketa. 
Mwenyekiti wa chama cha waandishi Wa Habari Mkoani Kigoma(KGPC) ,Deogratuas Nsokoro alisema wao kama chama wamejipanga kuhakikisha kuinua uchumi wa Mkoa wa kigoma na kuleta maendeleo kwa kuandika habari zitakazo chochea maendeleo kwa haraka. 
 Alisema waandishi wote wanauelewa wa kuandika habari zilizofanyiwa utafiti wa kina hivyo anaamini wataandika habari zenye kuleta maendeleo katika wa mkoa wa kigoma. 
 Alisema gazeti hilo lilipata ruzuku ya ufadhili wa Tanzania Media Fund(TMF)shilingi milioni 50 kwa kipindi cha miezi sita tokea october mwaka jana hadi march mwaka huu ambapo ufadhili huo unameisha. 
 ''Pamoja kuwa muda wa ufadhili umeisha lakini sisi leo tumezindua rasmi gazeti letu hili la toleo la april na nina wahakikishia wadau wetu gazeti hili halitapotea mtaani litaendelea kuwepo,kwasasa linatoka mara moja kwa mwezi lakini hivi karibuni litaanza kutoka mara mbili kwa mwezi''Alisema Nsokolo
 Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mjini Exavery Maketa akisoma hotuba yake kwa wageni waalikwa (Hawapo pichani)kwa niaba ya mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya 
 Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari wa Mkoa wa Kigoma(KGPC) Deogratius Nsokolo akitoa neno la shukrani kwa wageni waalikwa walihudhuria uzinduzi wa gazeti la Kigoma YETU.
 Baadhi ya viongozi wa serekali na dini waliohudhulia katika uzinduzi wa gazeti la Kigoma YETU
  Waandishi wa gazeti la Kigoma YETU wakifuatilia matukio mbalimbali ya uzinduzi wa gazeti hilo
 Waandishi wa chama cha habari mkoa wa Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini Exavery Maketa baada ya uzinduzi wa gazeti la Kigoma YETU
Wandishi wa Gazeti la kigoma yetu wakifurahia baada ya uzinduzi kutoka kushoto ni Mwajabu Kigaza wakatikati ni Rhoda Ezekiel pamoja na Editha Karlo

DHL Expectations for Africa - 2015 Outlook

$
0
0
Mr. Charles Brewer, Managing Director of DHL Express SSA 

KIWANJA KINAUZWA

$
0
0
Kiwanja kinauzwa kipo mbweni Block 1, kimepimwa na kina hati halali. Ukubwa ni square meters 920(Middle Density).

Kiwanja kipo karibu na barabara  kuu ya lami na kituo  cha basi Kiwanja hiki ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba ya kuishi.

Anayeuza ni mmiliki halali wa kiwanja hicho na bei ni shilingi Milioni 100. 

Kwa mawasiliano zaidi piga simu: 0717 935322.
Au kwa barua pepe: fmaua@aol.com


Bei ya Madafu leo

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AHITIMISHA ZIARA YAKE YA MIKOA MITATU MKOANI KILIMANJARO.

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Moshi mjini kwenye mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela na kuwaambia kuwa wamekuwa na ushabiki kwa miaka 20 imefika wakati sasa kuamua kuchagua maendeleo kwa manufaa ya maisha yao.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wamekamilisha ziara yao ya mikoa mitatu ikiwemo Dodoma,Arusha na Kilimanjaro,Ziara hiyo ililenga Kuimarisha,kutekeleza na kuhimiza Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 ya CCM,ikiwemo pia kusikiliza matatizo ya Wananchi na kuyapatia ufumbuzi.
wananchi wa Moshi mjini wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela,wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia,ambapo aliwaeleza kuwa wamekuwa na ushabiki kwa miaka 20 imefika wakati sasa kuamua kuchagua maendeleo kwa manufaa ya maisha yao.
wananchi wa Moshi mjini wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela,wakimsikiliza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye huku wameweka mikono kichwani kuashiria kuwa miaka 20 kwa upinzani jimbo la  Moshi mjini imetosha.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Moshi mjini mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela na kuwaambie wastuke sasa wasiendelee kukandamizwa na viongozi wasiojali maendeleo yao.
Wakazi wa Moshi mjini wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela,wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia,ambapo aliwaeleza kuwa wamekuwa na ushabiki kwa miaka 20 imefika wakati sasa kuamua kuchagua maendeleo kwa manufaa ya maisha yao.
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ukiwasili Moshi Mjini kutokea Wilaya ya Rombo kwa Ziara ya siku kumi  ndani ya mkoa wa Kilimanjaro.

PICHA NA MICHUZI JR-KILIMANJARO

Mtaa wa Msimbazi Kariakoo, wapigwa kufuli kwa muda

$
0
0
Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam, imefungwa kwa muda  ili kupisha ukarabati wa Barabara hiyo,ulioanza rasmi leo.
ukarabati ushaanza kushika kasi katika Barabara ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo.
kibao cha kuonyesha kufungwa kwa Mtaa huo kuanzia Barabara ya Morogoro mpaka Mtaa wa Mafia.hivyo watumiaji wa njia hii mnapaswa kutafuta mbadala wake.
mambo yameiva Msimbazi. 

BBC DIRA YA DUNIA

Viewing all 109996 articles
Browse latest View live




Latest Images