Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110114 articles
Browse latest View live

DKT. SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA SEKONDARI BENBELLA

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapnduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kufungua maonesho ya maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya sekondari ya Benbella leo Skulini hapo(kushoto) ni Dk.Yussuf Nuhu Pandu Mwenyekiti wa Maonesho na (kulia) Rais wa Wanafunzi wa Skuli ya Benbella Awatif Duchi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapnduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia maonesho ya maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya sekondari ya Benbella leo Skulini hapo(kushoto) ni Dk.Yussuf Nuhu Pandu Mwenyekiti wa Maonesho.


UTT-AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WABUNGE

$
0
0
 Ofisa Masoko wa Kampuni ya UTT, Bi. Kilave (kulia) akiwa na Ofisa Mkuu wa Kampuni ya Maendeleo ya Miundombinu ya UTT-PID, Shakiru Abdulkarim wakitoa elimu ya Uwekezaji kwenye Masoko ya Fedha kwa Wabunge na Watumishi wa ofisi ya Bunge wakati wa maonyesho ya kazi zinazofanywa na makampuni ya UTT na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Maofisa Mafunzo kutoka UTT-Microfinance, Hilda Lyimo na Pauline, wakitoa maelezo kwa baadhi ya wabunge waliotembelea banda lao kuhusu Mikopo wanayotoa, pia wabunge walipata elimu fursa ya kujua shughuli mbalimbali zinazofanywa na makampuni ya UTT ambayo ni Maendeleo ya Miundombinu, Uwekezaji kwenye Masoko ya Fedha na Microfinance.

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT-AMIS, Daudi Mbaga (kulia) akitoa maelezo kuhusu shughuli za Makampuni ya UTT kwa baadhi ya wabunge waliotembelea banda lao.
Maofisa wa UTT Microfinance (kulia), wakitoa elimu kwa baadhi ya wabunge kuhusu shughuli za Makampuni ya UTT ambayo ni Maendeleo ya Miundombinu, Uwekezaji kwenye Masoko ya Fedha na Microfinance.

MHE SHYROSE BHANJI MGENI RASMI LADY IN RED FASHION SHOW 2015

MWALIMU WA KISWAHILI UFARANSA AFURAHIA OFISI MPYA ZA UBALOZI WETU PARIS

YANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA

$
0
0
Kikosi cha Mtibwa Sugar.
Kikosi cha Yanga.
 Benchi la ufundi la Mtibwa Sugar.
 Kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohamed akiwapanga wachezaji wake.
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo.

Harusi Trade Fair 2015: Will you VISIT?

$
0
0
HARUSI TRADE FAIR 2015 -VISITORS

WHEN? 13 & 14 March 2015
WHERE? Danken House, Mikocheni, Dar es Salaam
WHAT TIME? 10Am to 8 Pm
WHY ATTEND? click HERE

Kindly forward this to all your family/friends Getting Married and make it a point to VISIT this wedding EXPO which is OPEN toPUBLIC

Tanzania's ONE & ONLY Wedding EXPO & bridal SHOW
VALENTINE OFFER: 10% OFF

WEDDING SUPPLIERS:
BOOK + PAY (by 14th February)
Get 10% Discount

Contact: +255787747918

INSTAFOLLOW: @harusitradefair

TWEET US: @harusitradefair
Share
Tweet
Forward
+1
Share
Copyright © 2015 Harusi Trade Fair, All rights reserved.
you are receiving this emailing as you are part of our 361 Network
 
Our mailing address is:
Harusi Trade Fair
Plot 48B Drive inn
Dar Es Salaam
Tanzania

PAZI BASKETBALL REUNION COMING SOON IN HOUSTON - WATCH THIS SPACE!

$
0
0

MARCH 14,2015 MORE INFORMATION COMING SOON!!!

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

$
0
0
Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. 
Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. 
Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. 
Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya hivi bila kufuata taratibu za kisheria. Kwakuwa wamemsaidia  mtu kwa kumkopa   basi  wamekuwa  wakiichukulia  hali  hiyo kama  leseni ya  kufanya  lolote  ilimradi  tu  wanadeni  na wewe. 
Mali  za watu  huuzwa  hovyo  , wengine hufikishwa  mpaka   vituo  vya polisi  ilimradi  tu wakopeshaji   hupenda  kupindisha  utaratibu. Hapa  tutaeleza  baadhi  ya  mambo  kadhaa  ya msingi  ambayo  mkopeshaji  haruhusiwi kumfanyia  mdeni. 

JK aendelea kupiga tizi mara mbili kila siku

ujumbe wa kampuni ya siemens kutoka afrika ya kusini wamtembelea waziri wa uchukuzi

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Siemens, Bi. Sabine Dall’Omo, wakati akifafanua jambo, alipomtembelea Waziri wa Uchukuzi akiwa na ujumbe wake, kutaka kufahamu fursa za uwekezaji katika sehemu ya reli, leo asubuhi.
Wakurugenzi wa Wizara ya uchukuzi, na ujumbe wa kampuni ya Siemens kutoka nchini Afrika Kusini wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Siemens, Bi Sabine Dall’Omo( wa nne kutoka kulia), wakati Afisa huyo na Ujumbe wake walipotembelea Wizara ya Uchukuzi, kufahamu fursa mbalimbali za uwekezaji katika sehemu ya reli leo asubuhi.
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Siemens, Bw. Kevin Pillay, akiwasilisha mada, wakati ujumbe wa Kampuni hiyo ulipomtembelea Waziri wa Uchukuzi, leo asubuhi kufahamu fursa mbalimbali za uwekezaji katika sehemu ya reli. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Mzee Majuto Sasa anapatikana Mtandaoni

$
0
0
Si Kila Unayemkuta Kijijini ni mshamba wengine wanajua na wanaweza kuliko wewe. Mzee Mbunda na wajukuu zake jembe na Edo Madirector Kutoka mjini wanaingia kijijini na kuwa na maisha ya kimbulu yaani Paka liloshindikana ila wnakwaa visiki baada ya kukutana na wanakijiji wanajua zaidi yao
Pata Filamu hii ya Kimbulu Kupitia Mtandao Taarifa nzuri zaidi ni kwamba Filamu zote za Kiswahili unaweza Kuzipata kupitia mtandao au ukaziangalia kupitia mtandao au kununua pia popote pale duniani
Tembelea Tovuti hii kwa kuangalia au kununua filamu hii ya KIMBULU na nyingine nyingi tu.

WANAHABARI TUCHANGAMKIE FURSA HIYO

AY (Ambwene Yesaya) ndani ya The Avenue Mawazohuru

Entries to the 2015 African Blogger Awards are now open!

$
0
0
Header_2
2014 marked the launch of the African Blogger Awards – the first programme that measures online and social influencers’ reach and influence through data analysis. This provides the opportunity for influencers to be measured objectively against their peers based on their reach, resonance, and relevance.
The competition was incredibly well received and 2014 saw over 520 entries from 27 African countries, with 25 winners being crowned.
In an effort to be an all inclusive programme, 2015 entries are now open to bloggers, Instagrammers, Tweeters, Facebookers and YouTubers across Africa, with categories including Advice, Fashion and Beauty, Events and Nightlife, Education, Sports, Political, Technology and Gadgets, Youth Culture and many others.

Think you have what it takes to claim your spot as the most influential in your field?  
Entries are free, but to enter you’ll need to have your blog, Twitter, Instagram, Facebook, or YouTube profile (or a combination thereof) registered on Webfluential.com - a platform designed to quantify the reach, resonance and relevance of users with over 1000 active, legitimate followers.

This year's winners will be based on the latest analytical metrics, so even if you entered last year, you'll need to re-enter this year to qualify. 
Winners in each category will receive a web banner announcing their achievement that can be personally leveraged through their social networks as well as a commemorative trophy.
Entries for the awards close on 9 April 2015 at midnight GMT+2, and results will be announced in May 2015 via the competition’s Twitter profile, @African_Bloggerfrom 11h00 GMT+2.
 
Please feel free to tweet us with any questions you may have.ENTER HERE.  

Kilahiro kuanika mpya Tamasha la Pasaka

$
0
0
 MWIMBAJI mahiri wa  nyimbo za Injili nchini, Upendo Kilahiro amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kushiriki kwenye miaka 15 ya Tamasha la Pasaka mwaka huu, ataimba nyimbo zilizopo katika albamu yake mpya inayotarajia kukamilika hivi karibuni.
 
Kwa mujibu wa Kilahiro tamasha hilo ni maalum kwa sababu  linatimiza miaka 15 tangu kuanzishwa kwake hivyo akipata nafasi katika tamasha hilo ataimba nyimbo mpya kama zawadi kwa watanzania.
 
Alipotakiwa kuitaja albamu hiyo na baadhi ya nyimbo zilizomo humo alisema ni mapema kuitaja hata hivyo nia yake ni kuwashitukiza watanzania watakaopata fursa ya kushiriki tamasha hilo ambalo litakuwa la aina yake.
 

Alisema iwapo atapata nafasi katika tamasha la mwaka huu ataimba nyimbo hizo mpya na zile za zamani ambazo zinatamba katika ulimwengu wa muziki wa injili huku akiwaomba watanzania kufika kwa wingi katika tamasha hilo litakuwa tofauti na mengine yaliyowahi kufanyika.

Vodacom Tanzania inakuletea Kilimo Klub

YALE YALEEE.....

$
0
0
Pamoja kupigiwa kelele matukio ya kutupa taka ovyo mitaani,lakini mdau huyu kama vile hana hata moja juu ya swala hilo na kuendelea na kazi yake hiyo kama alivyokutwa leo maeneo ya Manzese,jijini Dar es salaam.

DK.SHEIN AKUTANA VIONGOZI WA WIZARA,BIASHARA NA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO LEO

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko katika mpango wa utekelezaji wa malengo kwa robo mbili ya kutoka Julai-Disemba 2014-2015 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko na Idara zake wakimsikiliza Waziri Nassor Ahmed Mazrui(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa ya Wizara ya utekelezaji wa malengo kwa robo mbili ya kutoka Julai-Disemba 2014-2015 wakati Mkutano uliofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk/.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano katika mpango wa utekelezaji wa malengo kwa robo mbili ya kutoka Julai-Disemba 2014-2015 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu.]

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na kanisa la KKKT.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na kanisa la KKKT. PICHA NA IKULU

MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA

$
0
0
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya kupungua kwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Januari, 2015 leo jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa – MAELEZO.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Januari, 2015  umepungua hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.8 ya mwezi Desemba, 2014 kutokana na kuendelea kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa na huduma mbalimbali nchini.

Akitoa taarifa ya mfumuko huo leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa kupungua kwa mfumuko wa Bei katika maeneo mbalimbali nchini kumesababishwa na kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa za vyakula na  zile zisizo.

Amesema kiwango cha badiliko la kasi ya bei za bidhaa na huduma zote zinazotumiwa na kaya kimeonyesha kupungua katika maeneo mbalimbali nchini kikihusisha bei ya mahindi, Unga wa mahindi , ndizi, ndizi za kupika na mihogo.

Viewing all 110114 articles
Browse latest View live




Latest Images